Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Huyu jamaa kazua kizaazaa naona mitandao yote inajadili kitabu cha kabendela ameamua kujitoa mhanga
Uzuri watanzania sio wanunuzi wa vitabu hawapendi kusoma tabu lake labda awauzie wazungu

Lakini kwa Tanzania asahau akiuza copy 500 aniiite mbwa koko

Soko la vitabu kama hicho chake halipo Tanzania

Akitarajia kutajirika kupitia hilo tabu lake soko Tanzania halipo
 
Labda ana tafuta pesa hata kwa kuuza fake news, si unajua alishindwa kesi na Vodacom majuzi kati, anafikiri mambo ni rahisi rahisi.
Huyo Kabendera anasoma Ph.D Katika chunky cha King’s College London moja ya vyuo vikuu bora kabisa duniani akiwa na Scholarship. Pia ni mwandushi wa magazeti mbalimbali duniani yakiwemo Guardian na the Economic
 
Hakujawahi kuwa na mkuu wa majeshi mwenye jina hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…