Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Naona unafanya smear campaign.

The Sukuma are feeling attacked.

You only remember what was, you are unable to accept what can be.
 
Huenda hajataka iwe na ugumu, ametaka tu iwe kama hadithi nyepesi kwa msomaji kuielewa, labda akipelekwa mahakamani hiyo "nimeambiwa" ataidadavua kisheria kama unavyopendekeza.
 
Iheshimu mbege acha dharau
 
Naona unafanya smear campaign.

The Sukuma are feeling attacked.

You only remember what was, you are unable to accept what can be.
Wewe una project ukabila wako tu.

Couldn’t care less about Magufuli’s ethnic background.

I benefit nothing from it. Sikuwahi kukutana naye hata siku moja.

Wewe ulivyo mkabila unadhani na wenzio tuko hivyo.

Mimi sijamtetea Magufuli.

Nimehoji tu veracity ya madai ya huyo Kabendera.

Mtu hajatoa ushahidi wowote ule kuhusu hayo madai yake.

Kwa nini tusihoji?

Mnataka wote tu fall in line in believing everything he’s saying?

That’s dumb.
 
Mbege iko wapi jamani, maana napenda sana.
 
Source ya uongo wako ni ipi ?
 
Beni ni mdogo sana mbele ya raisi, mpaka mtu uitwe ikulu ni kazi, kuonana na raisi ni kazi, huoni huo ni uwongo uliokolea? Bila aibu, raisi ainue bunduki na kumpiga mtu risasi!!! Angalau angesema japo hana ushahidi kuwa alituma wasaidizi.
Mbona unamsemea rais wewe ulikuwepo au ulikuwa unaishi na huyo rais?
Moyo wa mtu ni kiza kinene.
 
I'm
Hivi kile kitabu I am the.state cha.akina Meena nacho kilisemaje.

Tunaridhika kusikia the other side of the Late President John M. Lets embrace it. Tulikuwa kwenye vita ya kiuchumi na.wasaliti huwa wanakula lead or silver.
Yuko wapi sasa!?
 
Ni ujinga wa hali ya juu kujadili muonekano wa mtu. Mwanamme mzima hovyo!.
Tena jianamme la hovyo kabisa Hilo Nyani G Mkuu. Anafikiri watu wako serious na kazi wana mambo ya kujiremba? Kwanza mwanaume wa kweli ajirembe kwani ni shoga? Amezoea kuona mashoga wakijiremba huko wanakobeba box. Kabendera ndiyo Mwanaume haswa. Apewe heshima yake.
 
Umekisoma kitabu?
 
Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.

Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Wamshitaki Kabendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Hata hili nalo bado linamuonyesha kabendera hayuko timamu akilini
 
Umeanza maandiko ya kike. Yaani yule dem kwa mbali anamuangalia Kabendera tayari umeanza kuvaa, kufua na kuanika Kanga zenye maneno yenye mipasho..
Growup mkuu, you far better than this
Kuna watu mko wagumu sana kusoma picha.

Sasa ngoja nikujulishe leo ili kuokoa brain cells zako.

Hivi miaka yote hii hujagundua tu kwamba nilisha ku ignore? Mara ngapi unanikuu na mimi wala sikujibu?

Nawe hata kustuka tu kwamba huenda huyu jamaa kani ignore, hakuna?

Sasa sikiliza. I ignored you for a reason.

Usijihangaishe tena kuninukuu maana I’m going back to ignoring you.

Nimeamua tu nikujibu hapa maana nimeona hata hustukii kwamba nimeku ignore.

Don’t bother engaging me. Just mind your own business.

Your opinions are irrelevant to me.

Hope that helps. Back to ignoring you.

 
Huenda hajataka iwe na ugumu, ametaka tu iwe kama hadithi nyepesi kwa msomaji kuielewa, labda akipelekwa mahakamani hiyo "nimeambiwa" ataidadavua kisheria kama unavyopendekeza.
Akili za kuambiwa unachanganya na za kwako. Hili suala si jepesi. HALITAKUWA JEPESI. RAIS KUUA MTU LIVE. NI STORY KUBWA SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…