Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Ndio maana nimesema BBC, CNN, VOA au Aljazeera wamuhoji kuhusu haya madai kwani ni wazi anajua mengi
 
Inasemekana lakini pia , kipipa alikuwa ana toroka peke yake usiku akiwa na Benz, akianaenda kumtafuna dada wa kichaga.

Aliye waambia ikulu ni mahali patakatifu aliwadaganya sana
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Hii picha ni siku anatoka gerezani alikokua amefungwa kwa hili, ulitaka akitoka akimbilie saluni? Au Siku Hizi ukiwa rumande unaruhusiwa kunyoa na kuvaa suti??
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Tuache kuokoteza picha, hao ni mabosi wa IPTL wakitoka gerezani. Same na Erick hapo juu. Tutafute SABABU nyingine
 
Kila mundu Avena kwao hapa pa chilambo hicho ni kimakonde yaani hapa duniani Kila mtu ana asili ya nyumbani kwake kwa hio na yeye kabendera aende kwao kwenye asili yake asitulete matatizo kwenye nchi yetu tulivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…