Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

First things first, serikali unayotamani ifungue mashtaka haina jeuri ya kufanya hivyo na wala haitafungua mashtaka. Mengi(if not all) ya ulichokiita biased allegations ni ukweli mtupu na Kabendera si mtu wa kwanza kuyamwaga peupe lakini amekuwa wa kwanza kuyaanika 'rasmi' tofauti na ilivyokuwa awali ambapo yalisambaa kama 'rumors'.
Being a scientist umepinga with zero facts, unadai ame-mislead pasina kuainisha ukweli(with your solid facts ili tulinganishe kati yako na Kabendera nani mkweli na nani ni muongo).
Bandiko lako ni manipulation 100%, unajifanya spin master kupotosha watu. Ikulu hawaishi malaika, ni watu kama wewe with their good, bad and ugly characters hivyo mtu kuuawa au kutokea jaribio la ubakaji ni kitu kinachowezekana kabisa. Unadai Kabendera can't prove anayodai yalitokea ikulu je upande wako can you prove kwamba hayakutokea?
Maelezo yako yameendeshwa na hisia(too bad) ila kwa zile tabia za Jiwe(namjua we used to be neighbors akiwa waziri) yote yaliandikwa kwenye kitabu hakuna cha kushangaza labda kwa wasiomfamu ndiyo watashangaa.
Kabendera hawezi proove claims zake kwakuwa anategemea watu ambao ndio waliompa hizo taarifa.

Hao watu kwa maelezo yake wanatoka kwenye vyombo vya usalama na wanakuwa na viapo vyao.

Ili athibitishe lazima hao watu waje kutoa maelezo , sasa nani atakuwa tayari kukiuka viapo vyake mbele ya mamlaka, maana huko kifichoni sio sawa na mbele ya mamlaka.
 
Alitaka kubakwa ulimuona, hiyo ni Accusation tena ya dhidi ya aliyekuwa Rais … hivyo ni lazima asimame mbele ya Mimbari atuambie ni wapi ametoa hizo taarifa.

Kitabu hiko kinapatikana Amazon, hivi ume imagine impact na reputation ya kitabu dhidi ya usalama wa taifa letu

Kabendera lazima aje asimame mbele ya Umma… kitabu hakisomeki….kina dirty info dhidi ya Serikali

Kama mnadhan hili ni shambulio la Dr JPM…… very wrong
Mkuu kitabu hakijaishia hapo tu, kinaenda mbali zaidi kwa kuwapa taarifa watanzania kuwa jiwe alikuwa kichaa. Sasa kama alikuwa kichaa anashindwaje kumbaka makamu wake??
 
Ila Jiwe bana..yaani akanyata na dole ngumba mzee....
😂😂 😂 Najaribu kufikiria yule jamaa (jiwe) akiwa amepandwa na upwiru halafu anainyatia k ya makamu wake. Nacheka mpk nalia.
 
Determinantor
Pascal Mayalla

Kuandika kitabu aina hii ni sawa na kuandika habari za uchunguzi?
Yeye amesoma kitabu bila kusikiliza mahojiano ya mwandishi, yaani alitaka kitabu kieleze data? Hii sio research report na sio thesis, hiki ni memoir ya Mwandishi. Akiona kuna kitu hakiko sawa ndio anatakiwa kuchukua step further ili kupata hizo evidence, Kama Samia alitaka kubakwa, si Samia yupo? Aulizwe. Kuhusu Ben the same, anasema wapo ambao aliwahoji.....
 
Hivi hichi kitabu faida yake kwa wananchi ni nini?
Ndo kitajenga shule?
Ndo kitajenga barabara?
Ndo kitaongeza mishahara ya watumishi?
Ndo kitajenga hospital?
Au ndo kitaleta maendeleo kwa wananchi?

Mtasema labda tujue aliyoyafanya mwendazake.
Alafu tukishajua itusaidie nini?
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Mfungulie wewe mashitaka kama vipi maana huo uwezo unao.
Msigwa huyu huyu ambaye siku hizi hata miradi aliyoanzisha magufuli akitajwa anasema achana na hiyo awamu imepita sasa hivi tunazungumzia awamu ya sasa yani kama anakereka kutajwa magufuli ndiye unayesema atoe ufafanuzi?
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Tuletee wewe FACTS.

unapokuwa critic,utuletee alternative, namna nyingine,tutatilia shaka udaktari wako!!

Utakuwa the comedy comedian kama BAMBO,MTANGA, SENGA, 🤣🤣🤣😃😃

HIVI HUKO CANADA, unafanya kazi professional au ndo unachuma matunda??🤣🤣🤣.

Umeandika na kuposti RUBBISH beyond repair 🤣🤣😃🤣🚴🚴🚴🚴
 
Hivi hichi kitabu faida yake kwa wananchi ni nini?
Ndo kitajenga shule?
Ndo kitajenga barabara?
Ndo kitaongeza mishahara ya watumishi?
Ndo kitajenga hospital?
Au ndo kitaleta maendeleo kwa wananchi?

Mtasema labda tujue aliyoyafanya mwendazake.
Alafu tukishajua itusaidie nini?
Eeghh wewe nawe buana!
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Huko mahakamani sasa mtaponzana. Yale yale ya GPO yatakwenda kujirudia..!!
 
Kabendera hawezi proove claims zake kwakuwa anategemea watu ambao ndio waliompa hizo taarifa.

Hao watu kwa maelezo yake wanatoka kwenye vyombo vya usalama na wanakuwa na viapo vyao.

Ili athibitishe lazima hao watu waje kutoa maelezo , sasa nani atakuwa tayari kukiuka viapo vyake mbele ya mamlaka, maana huko kifichoni sio sawa na mbele ya mamlaka.
Kwani huko mahakamani si kunakuwana na mashahidi ambao nao hutegemewa kutoa ushahidi? AU mashahidi wa Kabendera hawatakubali kujitokeza?
 
Kwani huko mahakamani si kunakuwana na mashahidi ambao nao hutegemewa kutoa ushahidi? AU mashahidi wa Kabendera hawatakubali kujitokeza?
Shahidi wa kwanza ni samia, je samia alihojiwa kabla ya publication ?

Mwingine ni Janeth, je alihojiwa ?

Baadh ya walinzi wa JPM wapo na wengine wapo hapo mbweni, je wamehojiwq ?

Major general alietajwq kwenye kitabu yupo, je amehojiwa……. ?

With all that , huoni kitabu kimebeba taarifa zisizo rasmi na shutuma zaidi ?
 
Shahidi wa kwanza ni samia, je samia alihojiwa kabla ya publication ?

Mwingine ni Janeth, je alihojiwa ?

Baadh ya walinzi wa JPM wapo na wengine wapo hapo mbweni, je wamehojiwq ?

Major general alietajwq kwenye kitabu yupo, je amehojiwa……. ?

With all that , huoni kitabu kimebeba taarifa zisizo rasmi na shutuma zaidi ?
Kabendera kasema ameongea na watu mbalimbali wakiwemo wanasheria. Amesema hayo yaliyoandikwa ni yale tu yanayoweza kutolewa ushahidi pindi ukihitajika. Ambayo hawana namna ya ku-prove ukweli wake wameachana nayo.
 
Back
Top Bottom