Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
Hapo sawaSwali zuri sana.
Mimi nadhani Nuhu aliishi Middle east.
kama hivi leo utasikia Oman Kuna mafuriko, Au india,au China ,unadhanije itakuwa ndio dunia nzima?
Au ile Maangamizi ya Soma na Bomora ,si yalikuwa pale sodoma tuu!
Kwa hiyo yawezekana kabisa maisha yaliendelea sehemu nyingine za dunia kusikokuwa na Nabii yule .
Lakini pia Yawezekena kuwa Maeneo mengine kulikuwa bado hakuna Watu waliopata kuishi. na yawezekana kabisa ikawa watu wote zama zile walikuwa ni Ile communiity ya Noa peke yao duniani.
Mbona rahisi tu, we hujui nini hufata baada ya mtu kufa?
Hujui kuwa mtu akifa kinachofata ni mwili huanza kuoza?
Unahabari imani hazitaki logics?
Ukiuliza maswali yenye complication utajibiwa hilo ni fumbo la imani!!
Biblia imeonyesha vitu kadhaa mwanzo lkn haijulikani viliumbwa au lah! Mfano maji na giza! Maana picha linaanza roho ya Mungu ati ilikuwa juu ya vilindi vya maji! So yalitokeaje? Giza liliumbwa vipi.
Vitabu vya dini viliandikwa kwa upeo wa mwanadamu na si kama tunavyoaminishwa.. Mungu huenda yupo lkn si vile azaniwavyo! It can be a kind of power na Kuna sheria za ulimwengu ambazo bado hatujazijua.
Samahani kwa kutoka nje ya mada.
Mwanzo 11 mstari wa 4
Usitake kuniambieni wajenzi wa babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi 'lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament) wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.
Turudi kwenye uduara project zinazoendelea duniani na nchi ni tofauti kuhusu mambo ya space. Ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza.
KATIKA vitabu ambavyo vinasifika kuwa na content ya maaana ni kitabu cha Mwanzo.
Study questions
Je, tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je, tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
Je, wajenzi wa babel walikuwa ni wajinga ivo? Au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko? Kumbuka Mungu ndiye alie stopisha ile activity
Nakaribisha mchango wenu wana bodi.
Wataalam wanasema kitabu kinaitaji roho mtakatifu akushukie ili ukielewe mm kila nikisoma ndo maswal yana jaa kichwan nikaona nisubir roho mtktifu.
eleza mwenyewe!Mkinieleza kwa kina logic yoyote mnayoiona kwenye jiwe hili la kucheza, naacha kwenda Kanisani kuanzia leo
Acheni kukimbia wazee, tupeni logic. Kwa sababu mimi naona hizi sayansi mnazichanganya sana, unasoma moja inayofundishwa darasani unaielewa vizuri, halafu nyingine isiyofundishwa darasani unaipoteza kabisa unakuwa "zero". Logic kwenye scenerio ya wewe kuwa namna hii, inakuwa haipo kabisa, yaani wewe kupoteza kabisa kisichofundishwa na kubakiza kile kinachofundishwa tu. Usingebahatika kwenda shule ingekuwaje?eleza mwenyewe!
logic ya nn?Acheni kukimbia wazee, tupeni logic. Kwa sababu mimi naona hizi sayansi mnazichanganya sana, unasoma moja inayofundishwa darasani unaielewa vizuri, halafu nyingine isiyofundishwa darasani unaipoteza kabisa unakuwa "zero". Logic kwenye scenerio ya wewe kuwa namna hii, inakuwa haipo kabisa, yaani wewe kupoteza kabisa kisichofundishwa na kubakiza kile kinachofundishwa tu. Usingebahatika kwenda shule ingekuwaje?
Usinisingizie uongo siwezi kuongea habari za kubuni kama ilivyo biblia na qoran
well saidWaterbender,
Usichoelewa ni kipi? Hivi huyo roho wa Mungu alikuwa anawaingia watu wa zamani tu? Siku hizi yupo bize au?
Mkuu ukileta logics kwenye hivi vitabu vya dini hakuna utakachoambulia utakuta wanakuita shetani na majina mabaya mabaya!
Hakuna cha roho wa Mungu wala wa shetani!!
naaam very factLengo la biblia ni kumtawala mtu basi
Ukiiangalia biblia na qoran zimejaa hadithi na visa vya kubuni ili waendelee kutawala watu
πππiyoiyo imeandika wafu huwa kama malaika (ancestors soo watu wa mchezo )ukienda nchi kama egypt ukasema ivo mbele za watu hakika utapigwa mawe hadi kufaaaπππ
wakati huo anafanya hivyo mungu anamtazama tu?Usisahau kuwa hata shetani anaweza kuleta mafuriko, kimbunga, tetemeko na majanga yeyote ya
watu kufua
Wakati Shetani anamjaribu Ayubu alipeleka kimbunga ikipiga nyumba watoto wake wakafaa.
Kuna tetemeko lilitokea Japan Ni mkono wa watu waliosababisha tetemeko.
ππSawa, hawa wengine waliumbwa baada ya gharika? Au walikuwepo ila gharika haikuwahusu?
πππUsinisingizie uongo siwezi kuongea habari za kubuni kama ilivyo biblia na qoran
Wee unaetaka kuwaaminisha watu Adam alikuwa mtu wa kwanza ndio nashangaa
Bali na kutaka kuwaaminisha watu Adam ni mtu wa kwanza hata kutolea ushahidi kama aliwahi kuwepo huwezi na hutoweza zitabaki stori kama zile za riwaya ya kusadikika nchi iliyopo angani
Hapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?wakati huo anafanya hivyo mungu anamtazama tu?
inashangaza sana... kuna wengine husema kwamba amefanya hivyo ili kuwapima watu imani zao...inamaana mungu mjuzi wa yote ameshindwa kutumia ujuzi wake wayote ili kiweza kubaini imani zawatu wake mpaka awajaribu kwanza ndio aweze kupata majibuya imani za waumini wake... sasa huo uweza wake wayote uko wapi.... hizi dini hizi... kuzi fuata yakupasa huna akiliHapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?
Kama mungu anajua maisha yako na mwisho kwanini aliumba shetani ambaye anakuja fanya maovu ili watu wamuasi yeye ?
Kama jibu hapana kwanini aliumba moto wa jahanam ?
Ole wake jibu liwe ndio kama mungu aliumba shetani hapa itakuwa inaonyesha mungu hana uelewa na anajipinga mwenyewe kwakuwa kaumba shetani halafu anataka watu wawe wema na kaumba moto halafu anataka watu waende peponi
Umeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakatiinashangaza sana... kuna wengine husema kwamba amefanya hivyo ili kuwapima watu imani zao...inamaana mungu mjuzi wa yote ameshindwa kutumia ujuzi wake wayote ili kiweza kubaini imani zawatu wake mpaka awajaribu kwanza ndio aweze kupata majibuya imani za waumini wake... sasa huo uweza wake wayote uko wapi.... hizi dini hizi... kuzi fuata yakupasa huna akili
exactly kabisa mkuuUmeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakati
Unajua kwanini Roman empire walijiita wacatholic ni kwaajili hiyo ukisema mungu maana ni catholic yote wala sio Allah wala sio Yesu wala sio Yhweh wala sio Adonai
Catholic means Universal
Umeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakati
Unajua kwanini Roman empire walijiita wacatholic ni kwaajili hiyo ukisema mungu maana ni catholic yote wala sio Allah wala sio Yesu wala sio Yhweh wala sio Adonai
kiranga anajibu apoHapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?
Kama mungu anajua maisha yako na mwisho kwanini aliumba shetani ambaye anakuja fanya maovu ili watu wamuasi yeye ?
Kama jibu hapana kwanini aliumba moto wa jahanam ?
Ole wake jibu liwe ndio kama mungu aliumba shetani hapa itakuwa inaonyesha mungu hana uelewa na anajipinga mwenyewe kwakuwa kaumba shetani halafu anataka watu wawe wema na kaumba moto halafu anataka watu waende peponi