Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Swali zuri sana.
Mimi nadhani Nuhu aliishi Middle east.
kama hivi leo utasikia Oman Kuna mafuriko, Au india,au China ,unadhanije itakuwa ndio dunia nzima?
Au ile Maangamizi ya Soma na Bomora ,si yalikuwa pale sodoma tuu!
Kwa hiyo yawezekana kabisa maisha yaliendelea sehemu nyingine za dunia kusikokuwa na Nabii yule .
Lakini pia Yawezekena kuwa Maeneo mengine kulikuwa bado hakuna Watu waliopata kuishi. na yawezekana kabisa ikawa watu wote zama zile walikuwa ni Ile communiity ya Noa peke yao duniani.
Hapo sawa
 
Mbona rahisi tu, we hujui nini hufata baada ya mtu kufa?

Hujui kuwa mtu akifa kinachofata ni mwili huanza kuoza?

Rejea hoja niliyo iweka usi pindishe hoja kijana.
 
Scripture and Logic/science are two undesirable extremes, their relation don't have a mean.

Its possible to find some correlation explanatory in a thing or two (its by chance) doesn't mean u can use them one another to find senses.

If go with scripture don't expect logic to make sense, or because by chance a certain issue has same perspective in both (it doesn't mean the issue/matter is an undisputably truth), And vise versa.

Goddess mchango wako tafadari

Sent using my Audi A6 [emoji593]2017 model
 
Unahabari imani hazitaki logics?
Ukiuliza maswali yenye complication utajibiwa hilo ni fumbo la imani!!

Biblia imeonyesha vitu kadhaa mwanzo lkn haijulikani viliumbwa au lah! Mfano maji na giza! Maana picha linaanza roho ya Mungu ati ilikuwa juu ya vilindi vya maji! So yalitokeaje? Giza liliumbwa vipi.

Vitabu vya dini viliandikwa kwa upeo wa mwanadamu na si kama tunavyoaminishwa.. Mungu huenda yupo lkn si vile azaniwavyo! It can be a kind of power na Kuna sheria za ulimwengu ambazo bado hatujazijua.

Samahani kwa kutoka nje ya mada.

Mwanzo 11 mstari wa 4

Usitake kuniambieni wajenzi wa babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi 'lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament) wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.

Turudi kwenye uduara project zinazoendelea duniani na nchi ni tofauti kuhusu mambo ya space. Ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza.

KATIKA vitabu ambavyo vinasifika kuwa na content ya maaana ni kitabu cha Mwanzo.

Study questions
Je, tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je, tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
Je, wajenzi wa babel walikuwa ni wajinga ivo? Au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko? Kumbuka Mungu ndiye alie stopisha ile activity

Nakaribisha mchango wenu wana bodi.
Wataalam wanasema kitabu kinaitaji roho mtakatifu akushukie ili ukielewe mm kila nikisoma ndo maswal yana jaa kichwan nikaona nisubir roho mtktifu.

Mkinieleza kwa kina logic yoyote mnayoiona kwenye jiwe hili la kucheza, naacha kwenda Kanisani kuanzia leo



 
eleza mwenyewe!
Acheni kukimbia wazee, tupeni logic. Kwa sababu mimi naona hizi sayansi mnazichanganya sana, unasoma moja inayofundishwa darasani unaielewa vizuri, halafu nyingine isiyofundishwa darasani unaipoteza kabisa unakuwa "zero". Logic kwenye scenerio ya wewe kuwa namna hii, inakuwa haipo kabisa, yaani wewe kupoteza kabisa kisichofundishwa na kubakiza kile kinachofundishwa tu. Usingebahatika kwenda shule ingekuwaje?
 
l
Acheni kukimbia wazee, tupeni logic. Kwa sababu mimi naona hizi sayansi mnazichanganya sana, unasoma moja inayofundishwa darasani unaielewa vizuri, halafu nyingine isiyofundishwa darasani unaipoteza kabisa unakuwa "zero". Logic kwenye scenerio ya wewe kuwa namna hii, inakuwa haipo kabisa, yaani wewe kupoteza kabisa kisichofundishwa na kubakiza kile kinachofundishwa tu. Usingebahatika kwenda shule ingekuwaje?
logic ya nn?
 
Usinisingizie uongo siwezi kuongea habari za kubuni kama ilivyo biblia na qoran
Wee unaetaka kuwaaminisha watu Adam alikuwa mtu wa kwanza ndio nashangaa

Bali na kutaka kuwaaminisha watu Adam ni mtu wa kwanza hata kutolea ushahidi kama aliwahi kuwepo huwezi na hutoweza zitabaki stori kama zile za riwaya ya kusadikika nchi iliyopo angani
 
Waterbender,
Usichoelewa ni kipi? Hivi huyo roho wa Mungu alikuwa anawaingia watu wa zamani tu? Siku hizi yupo bize au?

Mkuu ukileta logics kwenye hivi vitabu vya dini hakuna utakachoambulia utakuta wanakuita shetani na majina mabaya mabaya!

Hakuna cha roho wa Mungu wala wa shetani!!
well said
 
Usisahau kuwa hata shetani anaweza kuleta mafuriko, kimbunga, tetemeko na majanga yeyote ya
watu kufua

Wakati Shetani anamjaribu Ayubu alipeleka kimbunga ikipiga nyumba watoto wake wakafaa.

Kuna tetemeko lilitokea Japan Ni mkono wa watu waliosababisha tetemeko.
wakati huo anafanya hivyo mungu anamtazama tu?
 
Usinisingizie uongo siwezi kuongea habari za kubuni kama ilivyo biblia na qoran
Wee unaetaka kuwaaminisha watu Adam alikuwa mtu wa kwanza ndio nashangaa

Bali na kutaka kuwaaminisha watu Adam ni mtu wa kwanza hata kutolea ushahidi kama aliwahi kuwepo huwezi na hutoweza zitabaki stori kama zile za riwaya ya kusadikika nchi iliyopo angani
😃😃😃
 
wakati huo anafanya hivyo mungu anamtazama tu?
Hapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?

Kama mungu anajua maisha yako na mwisho kwanini aliumba shetani ambaye anakuja fanya maovu ili watu wamuasi yeye ?

Kama jibu hapana kwanini aliumba moto wa jahanam ?

Ole wake jibu liwe ndio kama mungu aliumba shetani hapa itakuwa inaonyesha mungu hana uelewa na anajipinga mwenyewe kwakuwa kaumba shetani halafu anataka watu wawe wema na kaumba moto halafu anataka watu waende peponi
 
Hapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?

Kama mungu anajua maisha yako na mwisho kwanini aliumba shetani ambaye anakuja fanya maovu ili watu wamuasi yeye ?

Kama jibu hapana kwanini aliumba moto wa jahanam ?

Ole wake jibu liwe ndio kama mungu aliumba shetani hapa itakuwa inaonyesha mungu hana uelewa na anajipinga mwenyewe kwakuwa kaumba shetani halafu anataka watu wawe wema na kaumba moto halafu anataka watu waende peponi
inashangaza sana... kuna wengine husema kwamba amefanya hivyo ili kuwapima watu imani zao...inamaana mungu mjuzi wa yote ameshindwa kutumia ujuzi wake wayote ili kiweza kubaini imani zawatu wake mpaka awajaribu kwanza ndio aweze kupata majibuya imani za waumini wake... sasa huo uweza wake wayote uko wapi.... hizi dini hizi... kuzi fuata yakupasa huna akili
 
inashangaza sana... kuna wengine husema kwamba amefanya hivyo ili kuwapima watu imani zao...inamaana mungu mjuzi wa yote ameshindwa kutumia ujuzi wake wayote ili kiweza kubaini imani zawatu wake mpaka awajaribu kwanza ndio aweze kupata majibuya imani za waumini wake... sasa huo uweza wake wayote uko wapi.... hizi dini hizi... kuzi fuata yakupasa huna akili
Umeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakati

Unajua kwanini Roman empire walijiita wacatholic ni kwaajili hiyo ukisema mungu maana ni catholic yote wala sio Allah wala sio Yesu wala sio Yhweh wala sio Adonai

Catholic means Universal
 
Umeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakati

Unajua kwanini Roman empire walijiita wacatholic ni kwaajili hiyo ukisema mungu maana ni catholic yote wala sio Allah wala sio Yesu wala sio Yhweh wala sio Adonai

Catholic means Universal
exactly kabisa mkuu
 
ukitumia neno universal maana yake hakuna mungu bali nature
Umeongea ponts nzuri sana na hapo ndio inathibitisha bible na Quran ni vitabu vya watu kwakuwa huyo mungu wao ni mwenye kujichanganya kila wakati

Unajua kwanini Roman empire walijiita wacatholic ni kwaajili hiyo ukisema mungu maana ni catholic yote wala sio Allah wala sio Yesu wala sio Yhweh wala sio Adonai
 
Hapa ndio unashangaa kwanini mungu aliumba shetani?

Kama mungu anajua maisha yako na mwisho kwanini aliumba shetani ambaye anakuja fanya maovu ili watu wamuasi yeye ?

Kama jibu hapana kwanini aliumba moto wa jahanam ?

Ole wake jibu liwe ndio kama mungu aliumba shetani hapa itakuwa inaonyesha mungu hana uelewa na anajipinga mwenyewe kwakuwa kaumba shetani halafu anataka watu wawe wema na kaumba moto halafu anataka watu waende peponi
kiranga anajibu apo
 
Back
Top Bottom