Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Right View is very important. Kusema hakuna uchawi siyo Right View kuhusu uchawi.
Unachotakiwa kuamini ni kwamba uchawi labda upo au labda haupo.
Kwamba,kama hakuna uchawi,watu wanaofanya uchawi haupo ,watu wanaofanya uchawi wanapoteza muda wao. Kama upo uchawi watu waelewe wakimdhuru mtu kwa uchawi KWA SABABU YOYOTE,wataadhibiwa.
Lakini kabla hujasema hakuna uchawi ni bora utafute kufahamu kuhusu mantra, mudra na mandala.
Au labda usome vajrabhairava tantras.
Hapo nadhani I have misrepresented the Great Beings kuhusu maoni ya kuhusu Right View.
Right View Ina vipengele viwili.
1. Kwanza lazima uamini kuhusu karma. Kuamini kuhusu karma maana yake Ni kuamini kwamba uovu unaadhibiwa na wema unazawadiwa.
2
Kuamini kwamba ndumba zipo.
Ngoja nikueleze kidogo kwamba mjadala wa Mungu yupo au hayupo, uchawi upo au haupo si mjadala wa kiimani, ni mjadala wa kisayansi.

basis ya argument yangu ni ya kisayansi siyo ya kiimani.

Yapo maandishi mengi sana yaliyo "base" kwenye hadithi au mapokeo ya kiimani yanayooeleza mambo mbalimbali ya kiimani na maandishi au simulizi hizi zinadai nyuma ya hayo kuna nguvu inayoitwa mungu, au inayoitwa uchawi inayowezesha hayo kutendeka.

Sasa anayejiuliza Mungu yupo au hayupo si mwana imani, anayejiuliza Mungu yupo au hayupo si mwana imani, anayejiuliza uchawi upo au haupo si mwana imani bali mtu huyu anatafuta kuthibitisha kwa kutumia maarifa ya kibinadamu kuwa Je Huyu anayetajwa mungu yupo au hayupo? je huu uchawi unaotajwa upo au haupo?

nimewaambia nyuma ya imani kuna siri imejificha na siri hiyo ndiyo wanasayansi wanapoitambua wataambieni mungu yupo au hayupo, uchawi upo au haupo na hiyo siri ndiyo kitabu changu kinataka kufunua

Narudia kusema nitaishangaza dunia
 
"Mauzauza: mawe ya ajabu ,anayerusha haonekanipolisi,waandishi wa habari wapigwa,ndio zatumika kujikinga'

Tazama hiyo poltergeist phenomena,imetokea Arusha. Cheki YouTube.
 
Hakuna imani yenye hoja iliyojengeka kielimu
Sio Kila imani ziko sawa,Kuna imani nyingine ni potofu.
Imani ya kweli Ina hoja yenye nguvu na ya wazi iliyojengeka kielimu.
Hao mababu zako walishindwa hoja za kutetea imani zao potofu wakaona wafuate imani ya kweli yenye hoja thabiti.

Wenye imani kama yako ya kutoamini uwepo wa mungu ni wengi na walikuwepo tokea kitambo Ila hoja zao ni dhaifu na ndio maana watu hawafuati.

Hicho kitabu chako utakisoma na wachawi wenzako (washirikina).
Usikute mtu anajifanya haamini uchawi kumbe yeye ndo mchawi mkuu. Anataka awalaze watu kwenye ujinga Ili afanye mashambulizi yake.
 
"Mauzauza: mawe ya ajabu ,anayerusha haonekanipolisi,waandishi wa habari wapigwa,ndio zatumika kujikinga'

Tazama hiyo poltergeist phenomena,imetokea Arusha. Cheki YouTube.
wanadamu wamekuwa wakitumia matukio kama haya kuthibitisha uchawi. Lakini ukweli ni kwamba hapo hakuna ushahidi wowote wa uchawi.

Hoja hapo ni anayerusha mawe haonekani lakini hoja ya watu kurushiwa mawe siyo ushahidi wa uchawi
 
Mleta mada unafanya janja ya kizamani sana.yoote haya ni ili uuze kitabu chako faster lkn kusema ukweli weye huna la maana ktk kitabu hicho!

Hata km utaamini Mungu hayupo uko sahihi!!...kwa sababu weye si mtoto wake!! ila walio wake wana mjua!...kutokuamini kwako kuwa hayupo haina maana kuwa na mie niamini hivo!

kwanza hata km hayupo kuwa sinta mkuta au haji!! lkn nikamuamini leo!...nikienda nisipo mkuta haita ni gharimu chochote!! zaidi ya mimi kuwa nimeishi kwa amani mda wote!

Tatizo linakuja sasa ukienda huko mbinguni ukamkuta......hebu piga picha itakuwaje kwanza??? na miwani yako mikubwa hiyo........utajinyea kwanza na kujihukumu kabla hajakugusa! moto utaukimbilia mwenyeweee!
 
Awepo asiwepo sisi tunamuabudu tu! KM HUTAKI KUFAAAA!! na kitabu chako hatusomi wala hatutaki kukisikia maarifa mbuzi yaliyomo!
 
Hapa ipo hoja mm nasubil ktabu chako Kwa ham sana,
Hv mungu kabla ya kuumba mbingu na Dunia na vyote vilivyomo yy alikuw wp wkt huo yaan alikuw akiish wp
Maana kila kitu kilianza kwke kw mjbu WA maandko kabla huo mwanzo yey alikuw wp anaish wp hapa Kuna haja ya kufkil nje ya box tusikalilishwe tu vtu na kuamin ndivo ilivo.
 
Uchawi kwa maana supernatural power haupo, ila kuna tricks ambazo watu wakishindwa ku decode wanaita uchawi
Hujakutana nao wazee wa kazi hizo bado ety...??? hongera sana kama unalala usingiz mzuri nani mzima wa afya
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Zaburi 14 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
 
Mbona mnampiga wakati bado hatujaona fact zake aachwe atoe kitabu chake na baada ya hapo
Mdahalo uanze.
 
Back
Top Bottom