Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuInashtua Mno
Nisome Kwenye post #2Jaribu kueleza japo kidoogo
Nilikuwa Gizani ila nimeelewa Kuna mtu ametafsiri hapo juu.Hata hapo hujajua? Khaaaah
Umeziunganisha Vizuri sana, sikuwa nimeona kama Kuna ufanano. Hapa mambo yanaonekana ni Moto sana Huko na matokeo yake yataonekana.Mkuu
"Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState."
Kama unampitia yoga kuna mfanano flani wa story...
Yoga kule anasema Mzee wa 90's atamtoa born town kwa sharti la yeye pia kujitoa na hatakuwepo
kwenye new const..
Huku pia huyo anaeambiwa aage maana hatarudi...
Nadhan huyu wa tumia akili anaembiwa aage na na yule mzee wa 90's kwa Yoga ni mtu mmoja, the Unknown na huyu Boss nao wanaonekana kuwa mtu mmoja.
Ooooh hapo sawa.Nilikuwa Gizani ila nimeelewa Kuna mtu ametafsiri hapo juu.
Shukrani mkuu, code zilikua ngumu hadi nikawa naruka ruka mistari.Japo kinder lakini kusoma najua...rudia tena utakutana na hii nukuu "Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu"
Huo mstari sikuwa Nimeuzingatia, hii ni nzito.Japo kinder lakini kusoma najua...rudia tena utakutana na hii nukuu "Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu"
mnf ni kitu gani? kirefu chake
Au anaenda suicide mission?Kwamba Tumia akili hatarudi hadi aliyoaandika yakamilike.
Yaani hapa nimepata sifuri yenye macho na masikio makubwa.Hii ngoma unaweza kurudia mara kumi na bado kila unapoona umeelewa kumbe ndio unapotea! Katiba mpya pekee ndio wengi wamenasa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Namtafuta huyu jamaa atutafutie watu mia wenye utashi kama wake au zaidi yake tuanzishe Think Tank yetu "Tumia Akili"Hawa jamaa watatuua humu jamvini Wana akili kama MAJINI vile hatari TUPU AISEH!!!
Wakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.
Recrato ulitolewa kule na umekidhi vigezo. Utashughulika na upatikanaji wa watu. (Upatikanaji ulipokuwa mgumu kwasababu alikuwa nje ya stronghold ikabidi arudishwe tena kuwa namba mbili).
Baadae sana alipewa sifa ya juu kabisa ingawa hakushika nafasi ya juu. Aliendelea na kazi 'on the ground' mpaka alipomkabidhi 'Recrato II' miaka kadhaa kabla hajatangulia.
Logasto, ulifanikisha kazi mbalimbali siku zilizopita. Sasa utashughulikia kuwaunganisha wanaoletwa na Recrato kwa mafunzo. Utahakikisha wanafika kwenye handling ya Financo.
Baadae majukumu yake yalichukuliwa na 'Logasto II'. Hakufanikiwa kuaminika juu ya mawasiliano fulani. Ingawa alinyoosha mikono, lakini vyuma vilipenya.
Financo, wewe ni mkubwa kwa kukaimu, ninataka nikupeleke mbali. Nenda kajifunze namna ya kutunza mfuko wa ogani ili uendelee kukua. Pia utasimamia mafunzo mbali huko.
Aliendelea kufanya kazi mpaka alipokabidhi majukumu kwa 'Financo II'. Alirudi, akaongoza tena muunganiko wa nje. Akapelekwa kwingine na akatangulia akiwa huko.
Baadae ilibidi apatikane atakayeongoza wote. Recrato akafanya kazi hatimaye akapatikana mwanzoni mwa muongo mpya. Akapata mafunzo hapa na huko. In his early 30s akakabidhiwa.
Wanataka sasa kile kitabu cha zamani kiachwe. Kipya kiwe kile kilicholetwa mwanzo lakini kifanyiwe badiliko dogo ndipo kithibitishwe. Idadi zibakie mbili kama zilivyo. Wote kuanzia AIC, SIN na 6IM wamefanya utafiti.
Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.
Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState.
Hao watu wanne sijui ndio kin
Miaka miwili ijayo sitaendelea tena! Alianza kusema Director.Wakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.
Recrato ulitolewa kule na umekidhi vigezo. Utashughulika na upatikanaji wa watu. (Upatikanaji ulipokuwa mgumu kwasababu alikuwa nje ya stronghold ikabidi arudishwe tena kuwa namba mbili).
Baadae sana alipewa sifa ya juu kabisa ingawa hakushika nafasi ya juu. Aliendelea na kazi 'on the ground' mpaka alipomkabidhi 'Recrato II' miaka kadhaa kabla hajatangulia.
Logasto, ulifanikisha kazi mbalimbali siku zilizopita. Sasa utashughulikia kuwaunganisha wanaoletwa na Recrato kwa mafunzo. Utahakikisha wanafika kwenye handling ya Financo.
Baadae majukumu yake yalichukuliwa na 'Logasto II'. Hakufanikiwa kuaminika juu ya mawasiliano fulani. Ingawa alinyoosha mikono, lakini vyuma vilipenya.
Financo, wewe ni mkubwa kwa kukaimu, ninataka nikupeleke mbali. Nenda kajifunze namna ya kutunza mfuko wa ogani ili uendelee kukua. Pia utasimamia mafunzo mbali huko.
Aliendelea kufanya kazi mpaka alipokabidhi majukumu kwa 'Financo II'. Alirudi, akaongoza tena muunganiko wa nje. Akapelekwa kwingine na akatangulia akiwa huko.
Baadae ilibidi apatikane atakayeongoza wote. Recrato akafanya kazi hatimaye akapatikana mwanzoni mwa muongo mpya. Akapata mafunzo hapa na huko. In his early 30s akakabidhiwa.
Wanataka sasa kile kitabu cha zamani kiachwe. Kipya kiwe kile kilicholetwa mwanzo lakini kifanyiwe badiliko dogo ndipo kithibitishwe. Idadi zibakie mbili kama zilivyo. Wote kuanzia AIC, SIN na 6IM wamefanya utafiti.
Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.
Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState.
Ukiconnect dots na Yoga ni kwamba after mission hatasurvive ataenda kuonana na Yule aliesema ataongoza malaikaAu anaenda suicide mission?