Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Jk ktk ubora wako, aya bhana yupo hakimu wa wote.
 
Nchi hii IPO juu sana ktk mambo hayo. Yule jamaa kutaka atawale kinyume Cha KITABU ni challenge ndomana ni lazima wakuu wapunguziwe nguvu kupitia KITABU kipya.
Wamesema kitabu Kipya kikichoachwa ndio kitatumika ila kitafanyiwa editing kidogo ili nyumba zisiwe tatu bali ziwe mbili.

Hii mi Katiba ya Warioba.

Hapa namimi nitaanza kuwakubali hao watu wasiojulikana wanaoitwa the State nje ya hapo ni wale wale tu.
 
Kay

Katiba mpya haikwepeki Kwa mazingira ya sasa, ni takwa la wananchi. Uchaguzi hauwezi fanikiwa Kwa Katiba hii. Wananchi Wana majeraha makubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…