Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Unajua kinachonishangaza eti hadi Hawa machawa wa Samia akiwemo huyo mzee Stuxnet na wenyewe wamepitiwa na huu upepo now wako bize ku-support na ku-spice up hizi habari za Kibendera.

Kwa akili zao ndogo hawajui kwamba hizi tuhuma zinamgusa Moja Kwa Moja mpaka Samia mwenyewe, maana yeye ndio alikuwa msaidizi mkuu wa Magufuli, na kama hiyo haitoshi hata vyombo vya ulinzi anavyotumia Samia ndio vile vile ambavyo vilifanya kazi na Magufuli.

Kwa hiyo ni dhairi kama Kuna athari yoyote itakayotokana na hiki kitabu basi, basi muathirika mkuu itakuwa ni serikali ya Samia na Wala sio mtu mwingine...

Hakika hakuna chawa mwenye akili hata kidogo.
Basi na wewe andika kitabu kinachomhusisha Samia na unyama wa Magufuli na ukiuze. Shida iko wapi?
 
Ndio utetezi Gani huu?

Kwamba uovu unaofanyika awamu hii Samia hausiki hata kidogo Bali ni watu wanatumia mamlaka waliyopewa Samia kufanya uovu huo Kwa maslahi Yao binafsi sio???

Ila kipindi Cha magufuli uovu wote uliokuwepo, ulifanywa na Magufuli mwenyewe si ndio?

Wewe mzee nilishakwambia Huwa ni MPUMBAVVU wa kiwango Cha mwisho sijui kama ulinielewa...!!

Kwanza Kwa umri wako wa miaka 66 Sasa, haya mambo ya uchawa ungewaachia wajukuu zako ambao ni wajinga wajinga kama wewe Babu Yao!!
Mpumbavu ni wewe ila hujijui. Unamuona Samia ni mtu wa kuagiza watu wauliwe? Samia anaweza akawa na udhaifu wake lakini siyo huo wa kuteka watu na kuua
 
Mpumbavu ni wewe ila hujijui. Unamuona Samia ni mtu wa kuagiza watu wauliwe? Samia anaweza akawa na udhaifu wake lakini siyo huo wa kuteka watu na kuua
Uwezo wako wa kifikra ni mdogo sana kuliko hata WA mtoto WA miaka mitano, ndio maana unatoa comments za kipuuzi hivi.

Inavyonekana kabla ya Samia hajaokota uraisi uliishi maisha ya dhiki sana na ndio maana Sasa hivi unamuona malaika yaani umededicate maisha yako kumtetea mpaka tone la mwisho.....

Kweli mpumbavu akizeeka anakuwa ni mzigo mkubwa sana Kwa taifa
 
Uwezo wako wa kifikra ni mdogo sana kuliko hata WA mtoto WA miaka mitano, ndio maana unatoa comments za kipuuzi hivi.

Inavyonekana kabla ya Samia hajaokota uraisi uliishi maisha ya dhiki sana na ndio maana Sasa hivi unamuona malaika yaani umededicate maisha yako kumtetea mpaka tone la mwisho.....

Kweli mpumbavu akizeeka anakuwa ni mzigo mkubwa sana Kwa taifa
Kila mtu ashinde mechi zake, tusipangiane nani wa kumsapoti. Wewe unayesubiri mungu wako Magufuli afufuke endelea kumtetea. Sisi tunaishi kwenye UHALISIA
 
Kwanza kama alikuwa anawaandikia watanzania Kwanini ameandika Kwa hiyo lugha?

Ni watanzania wangapi wanayoielewa hiyo lugha??
Labda wewe ndio huelewi, lakini inafundishwa kwa masomo yote kuanzia kidato cha kwanza na kuendelea. Na elimu ya sekondari kwa sasa ni lazima.
Pia sheria zote zinazopitishwa bungeni ni kiingereza tupu! Pole kama hujui, maana hata humu JF utakuwa unajipotezea muda wako bure!
 
Back
Top Bottom