Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Waruhusu taasisi kutoka nje ya kimataifa kufanya uchunguzi wake tusikie .....kama mnaweza kumshauri raisi wenu shauri na ilo .........aw walikufa wangekua ndgu zenu pimbi nyie msingekua nakiherehere icho
 
Magufuri anapochafuliwa Samia yeye ndo anafurahi maana kuchaliwa kwa Magufuri ndo kupanda chati kwa Samia mbele ya mazombi
 
Serikali iite vyombo huru vya uchungu juu ya kifo cha Ben Saanane, ikibainika Magufuli hakuhusika Kabendera ashitakiwe. Uchunguzi ukibaini Magufuli alihusika kumuua Ben, Kabendera apewe maua yake.
 
Magufuri anapochafuliwa Samia yeye ndo anafurahi maana kuchaliwa kwa Magufuri ndo kupanda chati kwa Samia mbele ya mazombi
Huwezi kumchafua mtu mchafu, Magufuli alikwishachafuka kabla
 
Kuna watu wanaabudu mzimu mzee Magu.Wanaona alikuwa Mungu japo sikatai kwao anaweza akawa mungu.Ila hili la kumtetea bila kujua udhaifu wake linatia shaka sana juu ya huko tuendako.Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini familia haiongeaji!!.Pia hii ni kufuru kwamba Mungu hana watu wengine zaidi yake.Kama ingekuwa hivyo Mungu angemwacha,na ni vyema kujua akili za Mungu hazichunguziki,yeye ni zaidi ya viumbe vyote.
 
Mke mdogo ni wewe ambaye unebakia mjane. Nenda Chato kaomboleze kaburini kwake
Nakuona mke mdogo wa Magu mpaka unajua mke mwenzio alobebeshwa mchanga! Bila shaka ulijua hayo mzee akiwa kifuani/mgongoni pako huku mama wa watu anabeba mchanga
 
Nakuona mke mdogo wa Magu mpaka unajua mke mwenzio alobebeshwa mchanga! Bila shaka ulijua hayo mzee akiwa kifuani/mgongoni pako huku mama wa watu anabeba mchanga
Nakuona mke mdogo wa Magu mpaka unajua mke mwenzio alobebeshwa mchanga! Bila shaka ulijua hayo mzee akiwa kifuani/mgongoni pako huku mama wa watu anabeba mchanga
 
Kuna watu wanaabudu mzimu mzee Magu.Wanaona alikuwa Mungu japo sikatai kwao anaweza akawa mungu.Ila hili la kumtetea bila kujua udhaifu wake linatia shaka sana juu ya huko tuendako.Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini familia haiongeaji!!.Pia hii ni kufuru kwamba Mungu hana watu wengine zaidi yake.Kama ingekuwa hivyo Mungu angemwacha,na ni vyema kujua akili za Mungu hazichunguziki,yeye ni zaidi ya viumbe vyote.
Mwambie huyu pimbi Crimea maana haelewi kabisa na anadhani Magufuli atafufuka
 
Juzi tumemzika.shamte na.sababu kubwa ya kufa haraka ni stress maana serikali ilitaifisha pesa zote bank kwa.kesi.za.kubumba.

Huwa nashangaa sana wasomi na matajiri nguli hawataki kuunga.mkono katibampya ili.asije.akatokea kiongozi akawa tia jela kamamwendazake akina Noni. Dr Tenga. Kitilya na wengineo hawana kumbukumbu nzuri na magufuli. Mahabusu zilijaa watu wenye ukwasi.
 
View attachment 3190112
Kwa Jina la Rais: Kumbukumbu za Mwandishi wa Habari Aliyefungwa

Ni simulizi la Erick Kabendera kuhusu uzoefu wake chini ya utawala wa Rais John Magufuli wa Tanzania. Kitabu hiki kinaelezea jinsi uandishi wake wa uchunguzi ulivyomsababisha kukamatwa kwa madai ya utakatishaji fedha na ukwepaji kodi.

Anaelezea jinsi alivyotekwa nyara, kufungwa, na hali ya kisiasa iliyojaa ukiukwaji wa haki za binadamu na kukandamiza sauti za upinzani. Kitabu hiki ni onyo kuhusu udhaifu wa demokrasia na hatari wanazokumbana nazo wale wanaopinga utawala wa kiimla.

Kitabu kinatarajiwa kuchapishwa tarehe 3 Februari 2025.

Hiki kitabu ni cha kusoma si kusimuliwa, kwani makelele yamekuwa mengi sana!
 
Back
Top Bottom