Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Wewe popoma muabudu Magufuli unapoteza muda na alinacha zako.

Kwenye uhai wa Magufuli hata familia yake ilikuwa inateseka. Na alipokufa familia ilifurahi sana. Hivi unajuwa kuwa Magufuli alibaka binti yake mwaka 2012 na binti aka commit suicide? Hivi unajuwa Mama Janet Magufuli aliwahi kubeba kwa kwa kichwa mchanga kutoka sehemu ambayo Lori lime mwaka kwa makosa kwenda sehemu aliyotaka Magufuli pale Ada Estate?

Au nikuwekee picha ya mama Janet uone alivyonawiri sasa?? Tofauti na kipindi cha DIKTETA
Tulio ishi ADA ESTATE,Hilo la bi mkubwa kuhamisha mchanga ni kweli, Sema mzee alikuwa mkoloni dah na pick up lake pale home, Mkewe anaenda Mbuyuni shuleni na mguu dah
 
Aaargh

Wenzako waliokuwa wanamchukia sasa hivi wanatajirika balaa, hawana shughuli nae tena

Kama chuki zako hazina uhusiano na deal, sijui usaidiwe vipi.

Halafu mama aliingia na bahati ya kumwagiwa mihela na wazungu. Uoni deni la taifa lilivyokuwa.

Wenzako matajiri
Haya mapimbi yanalipwa elfu kumi kumi tu kuchafua watu...

Hii nchi iko chini ya wana mtandao..

Wanayatumia haya mapimbi kuchafua watu huku wao wanakula mkate.
 
Kwanza familia ya Magufuli ikiamua inaweza mfungulia kesi ya madai kwa kutumia picha yake kuuza kitabu bila ya ridhaa yao.

Uwezi kuokota tu picha ya mtu for commercial exploitation bila ya ridhaa yao,
Mbona umeongelea tu Magufuli na Sirro
Magufuli asingekua Rais familia ingemshtaki Kabendera ila kwa vile ni public figure kutumia Picha yake inakua siyo issue tena ya familia ni ya Serikali , ni kama Lisu alivyoshindwa kwenda mahakamani kumshtaki Samia kutumia picha yake kwa sababu haipo copyrighted na yeye wala kampuni yake maadam hajamdharirisha
 
Mbona umeongelea tu Magufuli na Sirro
Magufuli asingekua Rais familia ingemshtaki Kabendera ila kwa vile ni public figure kutumia Picha yake inakua siyo issue tena ya familia ni ya Serikali , ni kama Lisu alivyoshindwa kwenda mahakamani kumshtaki Samia kutumia picha yake kwa sababu haipo copyrighted na yeye wala kampuni yake maadam hajamdharirisha
Inategemea picha umeitumia vipi na kwa context zipi.

Kama umeitumia for ‘commercial gain’ unahitaji ridhaa ya familia.

Especially kama ni copy and paste (unahitaji ridhaa ya mpiga picha) yeye ndio mwenye copy right. Na mpiga picha pia ana limitations ya matumizi yake.

Uwezi tu kuamka asubuhi, kuokota picha na kuweka kwenye front cover ili kuuza kitabu chako.

Tena chenye story za kusadikika, ambayo nayo wanaweza kukushutaki uthibitishe baadhi ya maudhui.

Ndio shida yetu kudhani, unaweza jifanyia tu mambo.
 
Ben saa nane ni kazi ya Mbowe ila wajinga hamjui
Kama angekuwa ni Mbowe mbona ingekuwa ni rahisi tu kumkamata na kumshataki Mahakamani!! Unapoona kuwa hata RB ya Polisi haijafunguliwq ujuwe mhusika ni Taasisi.

Kadanganye watoto wako wapumbavu uliowazaa kwa mbegu mbovu tu, kuwa kifo cha Ben Saanane mhusika ni Mbowe
 
Aaargh

Wenzako waliokuwa wanamchukia sasa hivi wanatajirika balaa, hawana shughuli nae tena

Kama chuki zako hazina uhusiano na deal, sijui usaidiwe vipi.

Halafu mama aliingia na bahati ya kumwagiwa mihela na wazungu. Uoni deni la taifa lilivyokuwa.

Wenzako matajiri
Deni la Taifa linahimilika. So far Tanzania haiko kwenye top 10 ya most indebted countries in Africa.

Wewe ni ANTI -Samia, ila wakati mwingine shirikisha halmashauri ya ubongo wako.
 
Haya mapimbi yanalipwa elfu kumi kumi tu kuchafua watu...

Hii nchi iko chini ya wana mtandao..

Wanayatumia haya mapimbi kuchafua watu huku wao wanakula mkate.
Hivi unamchafuaje mchafu? Magufuli ameingia madarakani akiwa mchafu, na akaendelea kuwa mchafu. Tungewezaje kumchafua?

Ndiyo maana Mungu akamtupilia jehanam kwa uchafu wake
 
Deni la Taifa linahimilika. So far Tanzania haiko kwenye top 10 ya most indebted countries in Africa.

Wewe ni ANTI -Samia, ila wakati mwingine shirikisha halmashauri ya ubongo wako.
Life goes on

Unadhani huko serikalini wana shughuli tena na huyo Magufuli

Watu wanaangalia 2025, washatoka huko kwa Magufuli; yao yanaenda.

As far as mafisadi are concerned ‘asiekuwepo na lake halipo’.

Ni muda sasa na wewe u-move on kama wenzako.
 
View attachment 3190112
Kwa Jina la Rais: Kumbukumbu za Mwandishi wa Habari Aliyefungwa

Ni simulizi la Erick Kabendera kuhusu uzoefu wake chini ya utawala wa Rais John Magufuli wa Tanzania. Kitabu hiki kinaelezea jinsi uandishi wake wa uchunguzi ulivyomsababisha kukamatwa kwa madai ya utakatishaji fedha na ukwepaji kodi.

Anaelezea jinsi alivyotekwa nyara, kufungwa, na hali ya kisiasa iliyojaa ukiukwaji wa haki za binadamu na kukandamiza sauti za upinzani. Kitabu hiki ni onyo kuhusu udhaifu wa demokrasia na hatari wanazokumbana nazo wale wanaopinga utawala wa kiimla.

Kitabu kinatarajiwa kuchapishwa tarehe 3 Februari 2025.
Hicho kitabu kinauzwa TZS??????
Nataka nkinunue nijue yaliyomo.
 
Hivi unamchafuaje mchafu? Magufuli ameibgia madarakani akiwa mchafu, na akaendelea kuwa mchafu. Tungewezaje kumchafua?

Ndiyo maana Mungu akamtupilia jehanam kwa uchafu wake
Kipindi cha Samia tunaona watu wanatekwa na kuuwawa...

Kama kweli nia yenu ni njema!

Mbona sijawahi kuona nyuzi za kumtuhumu yeye moja kwa moja?

Au Kibao, Soka na wenzake wapo sehemu hawajafa?

Hiki kitu ndio kinanifanya niamini, nyinyi mnatumwa.
 
View attachment 3190112
Kwa Jina la Rais: Kumbukumbu za Mwandishi wa Habari Aliyefungwa

Ni simulizi la Erick Kabendera kuhusu uzoefu wake chini ya utawala wa Rais John Magufuli wa Tanzania. Kitabu hiki kinaelezea jinsi uandishi wake wa uchunguzi ulivyomsababisha kukamatwa kwa madai ya utakatishaji fedha na ukwepaji kodi.

Anaelezea jinsi alivyotekwa nyara, kufungwa, na hali ya kisiasa iliyojaa ukiukwaji wa haki za binadamu na kukandamiza sauti za upinzani. Kitabu hiki ni onyo kuhusu udhaifu wa demokrasia na hatari wanazokumbana nazo wale wanaopinga utawala wa kiimla.

Kitabu kinatarajiwa kuchapishwa tarehe 3 Februari 2025.
 
M
Tulio ishi ADA ESTATE,Hilo la bi mkubwa kuhamisha mchanga ni kweli, Sema mzee alikuwa mkoloni dah na pick up lake pale home, Mkewe anaenda Mbuyuni shuleni na mguu dah
Kitabu kingeandikwa in the name of Jiwe
 
Kwanza familia ya Magufuli ikiamua inaweza mfungulia kesi ya madai kwa kutumia picha yake kuuza kitabu bila ya ridhaa yao.

Uwezi kuokota tu picha ya mtu for commercial exploitation bila ya ridhaa yao,
Hamna mazuri ndani yake?
 
Back
Top Bottom