Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mjinga wewe danganya nafsi yako tuBen saa nane ni kazi ya Mbowe ila wajinga hamjui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga wewe danganya nafsi yako tuBen saa nane ni kazi ya Mbowe ila wajinga hamjui
Mke mdogo ni wewe ambaye unebakia mjane. Nenda Chato kaomboleze kaburini kwakeMbona unajua mengi sana kumbe wewe ndio mke mdogo wa marehemu!
Wewe kenge hujui kitu zaidi ya chuki tuAaargh
Wenzako waliokuwa wanamchukia sasa hivi wanatajirika balaa, hawana shughuli nae tena
Kama chuki zako hazina uhusiano na deal, sijui usaidiwe vipi.
Halafu mama aliingia na bahati ya kumwagiwa mihela na wazungu. Uoni deni la taifa lilivyokuwa.
Wenzako matajiri
Mwendazake alikuwa kichaa mwenye faili Mirembe hospitalTulio ishi ADA ESTATE,Hilo la bi mkubwa kuhamisha mchanga ni kweli, Sema mzee alikuwa mkoloni dah na pick up lake pale home, Mkewe anaenda Mbuyuni shuleni na mguu dah
Kwa vile siyo yeye Samia anayewateka kama ilivyokuwa kwa Magufuli.Kipindi cha Samia tunaona watu wanatekwa na kuuwawa...
Kama kweli nia yenu ni njema!
Mbona sijawahi kuona nyuzi za kumtuhumu yeye moja kwa moja?
Au Kibao, Soka na wenzake wapo sehemu hawajafa?
Familia ilisema haitamjibu mtu yoyote muda ndo utajibuKwanza familia ya Magufuli ikiamua inaweza mfungulia kesi ya madai kwa kutumia picha yake kuuza kitabu bila ya ridhaa yao.
Uwezi kuokota tu picha ya mtu for commercial exploitation bila ya ridhaa yao,
Endelea kusoma magazeti yenu ya kichawa, habari leo, wamachinga nkAtauzia wajinga wenzie!
Hata Lissu hanunui hizo karatasi
View attachment 3190112
Kwa Jina la Rais: Kumbukumbu za Mwandishi wa Habari Aliyefungwa
Ni simulizi la Erick Kabendera kuhusu uzoefu wake chini ya utawala wa Rais John Magufuli wa Tanzania. Kitabu hiki kinaelezea jinsi uandishi wake wa uchunguzi ulivyomsababisha kukamatwa kwa madai ya utakatishaji fedha na ukwepaji kodi.
Anaelezea jinsi alivyotekwa nyara, kufungwa, na hali ya kisiasa iliyojaa ukiukwaji wa haki za binadamu na kukandamiza sauti za upinzani. Kitabu hiki ni onyo kuhusu udhaifu wa demokrasia na hatari wanazokumbana nazo wale wanaopinga utawala wa kiimla.
Kitabu kinatarajiwa kuchapishwa tarehe 3 Februari 2025.
Na ni bora wanyamaze tuu waendelee kula maisha yao kwa kodi za Watanzania. Hata mke wa Hitler Eva Braun angeulizwa kuhusu mumewe angesema ni mtu mwema.Familia ilisema haitamjibu mtu yoyote muda ndo utajibu
Ndio inayokupa ugali hapo nyumbani kwenu!Kipara kipya akili ya Zamani...trash 🗑️
Kichwa cha habari anauliza, content hamna mahali kauliza..Raisi samia kwa uwezo ulionao bila kujali piga marufuku ya taka taka ya kabendera ukiwacha upuuzi umee kesho atakuja kusema wewe pia ulishiriki kumpiga lissu risasi maana ulikuwa makamu wa raisi kabendera ni msaliti katika nchi hii kabendera ana chuki na tanzania si mzalendo na inasemekana si mtanzania......
Ili kukomesha ujinga kama huu usijirudie kwa wengine kulala na kuamua kuchafua wengine na taasisi ya uraisi kabendera ashtakiwe kwa uchochezi na kutunga uongo asiyo na ushahidi akishindwa na apigwe faini ya mabilioni ya shillingi......swali kabendera katumwa na nani na ni nani katika nchi hii aliye na ujasiri kuliko raisi wa tanzania?
Heri ya Mwaka mpya ndugu,muda sijakusikiRaisi samia kwa uwezo ulionao bila kujali piga marufuku ya taka taka ya kabendera ukiwacha upuuzi umee kesho atakuja kusema wewe pia ulishiriki kumpiga lissu risasi maana ulikuwa makamu wa raisi kabendera ni msaliti katika nchi hii kabendera ana chuki na tanzania si mzalendo na inasemekana si mtanzania......
Ili kukomesha ujinga kama huu usijirudie kwa wengine kulala na kuamua kuchafua wengine na taasisi ya uraisi kabendera ashtakiwe kwa uchochezi na kutunga uongo asiyo na ushahidi akishindwa na apigwe faini ya mabilioni ya shillingi......swali kabendera katumwa na nani na ni nani katika nchi hii aliye na ujasiri kuliko raisi wa tanzania?
Sijaona trako lako likileta ugali zaidi ya jasho languNdio inayokupa ugali hapo nyumbani kwenu!
........Mzee Kibao muda taongea pia...labda Yeye yumo kitabu kijacho cha .....TL ? Muda utasema yoote damu ya mtu nzito haitaenda bureRaisi samia kwa uwezo ulionao bila kujali piga marufuku ya taka taka ya kabendera ukiwacha upuuzi umee kesho atakuja kusema wewe pia ulishiriki kumpiga lissu risasi maana ulikuwa makamu wa raisi kabendera ni msaliti katika nchi hii kabendera ana chuki na tanzania si mzalendo na inasemekana si mtanzania......
Ili kukomesha ujinga kama huu usijirudie kwa wengine kulala na kuamua kuchafua wengine na taasisi ya uraisi kabendera ashtakiwe kwa uchochezi na kutunga uongo asiyo na ushahidi akishindwa na apigwe faini ya mabilioni ya shillingi......swali kabendera katumwa na nani na ni nani katika nchi hii aliye na ujasiri kuliko raisi wa tanzania?