Kitabu kipya: Tanzania na propaganda za udini na prof. Ibrahim Noor

Kitabu kipya: Tanzania na propaganda za udini na prof. Ibrahim Noor

Kwanza inabidi nikuombe samahani lengo langu la kuandika ujio wa uislaam ulikuwa karne 4 hadi ya 5 nimefanya makosa ya kiuandishi.. Ndivyo nilivyo. Hilo nadhani tumelimaliza isipokuwa nachotaka kujua huyu mwandishi anapochanganya Ujio wa waarabu ma wahindi walokuja fanya biashara nchini walikuja fanya biashara na watu gani ikiwa Wabantu hawakuwepo? na kwa nini waarabu walilita bara letu bara la weusi. halafu anasahau kuna Utawala wa Kiarabu (Oman) tofauti kabisa na ujio wa WaYemen au Wa Afghan/Pakistan. Kuna swala la Dini kutoka Saudia kupitia Magadishu na kushika kwetu vinahusiana vipi vyote hivi na biahsara ya Utumwa au Mapinduzi ya Zanzibar.

Halafu nikwambie kitu, Ibrahim Noor anafanya makosa makubwa ya kujaribu kupamba historia mabya kwa mafuta, kwa sababu hata huku Marekani wapo wazungu wabaguzi na tunawajua, wanajaribu sana kusema hapakuwepo na Utumwa, hawakuwepo na mauaji ya watu weusi isipokuwa watu weusi ndio Thugs. Kwa hiyo mimi ananipa picha tofauti kabisa kwa sababu huwaona hawa wazungu wanavyojaribu kujikosha kwamba wao ni watu wazuri sana na kwamba yaloandikwa kuhusu wao ni uzushi mtupu, sisi waafrika ndio tuliuzana wenyewe ktk Utumwa..

Hii mbaya sana kuanza kutenganisha watu kwa rangi zao maana historia yetu haiandikwi kwa makundi ya rangi za watu ama imani zao ila kuna historia za makabila. na anapozungumzia Uislaam unazungumzia watu wote kwa sababu Uislaam ulisambazwa Afrika sio na waarabu bali wasomi walokwenda jifunza dini wengine walikuwa waafirka weusi waloijua dini kuliko waarabu wenyewe. Sio kila mwarabu aliujua Uislaam ama alikuwa mwalimu wa dini wengi walikuja kwa sababu ya biashara na wengine kutawala.

halafu biashara ya Utumwa inajulikana wazi kwamba wote wazungu, waarabu na wayahudi walishirikiana kufanya biashara hiyo hakuna mwenye nafuu zaidi ya mwenzake. Mwarabu akiwa mtawala alipewa deal la WATU kuwa wanatakiwa kwenda kufanya utumwa Ulaya na bara Amerika na kichwa ni Dollar 10,000. Mwarabu akaingia bara alikokubalika maana walikuwa wakifanya biashara za vito na spices wakakusanya watumwa na kuwaleta Coast kuwauzia Wazungu.

Ndio maana masoko yote ya Utumwa yalikuwa makanisa yenye undergraound kupitishia watumwa hadi ufukweni. Na Wayahudi ndio walokuwa na utajiri wa Melikebu zao wakinunua watumwa na kwenda wauza Ulaya, hii ni history ilofichwa na pande zote kwa sababu Muafrika haweki kumbukumbu zake na rahisi kudanganywa. Mimi sina sababu ya kumsma Ibrahim Alnoor kwa sababu anachokifanya ni makosa ni sawa kabisa na washawishi wa KKK wanaojaribu kuonyesha upendo kwa weusi huku ndani ya roho zao wakijua machafu yao hayasafishiki..

Uislaam has nothing nothing to do with Waarabu au Wahindi. Imani ya dini haihusiani na mambo waloyafanya waarabu au wahindi ama kuwapa uhalali juu ya bara hili isipokuwa tuishi pamoja na kwa mapenzi ya UTAIFA na kutojali tofauti zetu za rangi na imani maana leo hii wewe FaizaFoxy ukienda Arabuni hutapewa haki sawa na mwarabu hata kama babu wa mababu wako walikuwa na asili huko. Nenda Pakistan, Afghanstan japo weuzi walikuwepo kwa karne bado hawana haki sawa na mwarabu mweupe. Hata Hadith za Mtume zimetueleza juu ya Bilal iwe hawa! what happen - happened tuyaache tusianze kukumbushana yalopita.

Mkandara umechanganya mada nyingi sana mpaka inaniwia vigumu ku "concentrate" na majibu sahihi.

Kwa kuanzia, umekosea tena, najuwa kwa uandishi tu, kule uliandika 14 na 15 hapa umeandika 4 na 5. Unanchanganya.

Hilo la kuhusu Waraabu nimejaribu sana tena sana kuelezea humu JF mara nyingi kuwa Waarabu hawakuja Afrika, ni kwao. Walikuja kutoka wapi?

Hili la Waarabu linataka wasaa sana na ntakuelezea kiutaratibu kila tunavyoendelea kujadili lakini kabla sijaanza, naomba kukuuliza, Jee, umekisoma kitabu cha Professor Noor? mimi nnacho.

Maana tusijadili kitu ambacho mimi najibu kutokana na niliyoyasoma na kuyatafiti japo kiduchu kupitia mtandao lakini mwenzangu unajadili kwa uzoefu na bila kukisoma hicho kitabu.

Naomba tutatuwe hilo kwanza kisha ntaelewa kama nnajadili na aliyekisoma kitabu kinachoongelewa au la.
 
Mkandara umechanganya mada nyingi sana mpaka inaniwia vigumu ku "concentrate" na majibu sahihi.

Kwa kuanzia, umekosea tena, najuwa kwa uandishi tu, kule uliandika 14 na 15 hapa umeandika 4 na 5. Unanchanganya.

Hilo la kuhusu Waraabu nimejaribu sana tena sana kuelezea humu JFmara nyongi kuwa Waarabu hawakuja Afrika, ni kwao. Walikuja kutoka wapi?

Hili la Waarabu linataka wasaa sana na ntakuelezea kiutaratibu kila tunavyoendelea kujadili lakini kabla sijaanza, naomba kukuuliza, Jee, umekisoma kitabu cha Professor Noor? mimi nnacho.

Maana tusijadili kitu ambacho mimi najibu kutokana na niliyoyasoma na kuyatafiti japo kiduchu kupitia mtandao lakini mwenzangu unajadili kwa uzoefu na bila kukisoma hicho kitabu.

Naomba tutatuwe hilo kwanza kisha ntaelewa kama nnajadili na aliyekisoma kitabu kinachoongelewa au la.
Bibie hukunisoma vizuri, kule nimesema nimekosea kuandika karne ya 14 hadi 15 nilitakiwa kuandika 4 hadi 5..Waarabu walikuja kiutoka Yemen - Washihir, Waburushi kutoka Pakistan na Afhganstan, wa Oman kutoka Oman na makundi mengine ya waarabu na wahindi kwa uchache wao.

Hata North Afrika kuna historia kubwa ya waarabu kuvamia toka Misri hadi hadi ukanda wa magharibi ya bara. Kumbuka zamani mshindi wa Vita ndiye mwenye nchi na ilikuwa sii rahisi kuwashinda, huku South walishindwa tu na waSudan (Wanubi) wakati huo wakiwa taifa yenye nguvu zaidi..Mbona zipo hadi documentaries za kuenea kwa Waarabu North Afrika na tawala zake. Au Wachina kufika bara la Amerika kabla ya wazungu. Sasa unataka kusema kwa sababu kiingereza kinazungumzwa sana duniani ina maana sehemu nyingi ni waingereza!
 
Bibie hukunisoma vizuri, kule nimesema nimekosea kuandika karne ya 14 hadi 15 nilitakiwa kuandika 4 hadi 5..Waarabu walikuja kiutoka Yemen - Washihir, Waburushi kutoka Pakistan na Afhganstan, wa Oman kutoka Oman na makundi mengine ya waarabu na wahindi kwa uchache wao.

Hata North Afrika kuna historia kubwa ya waarabu kuvamia toka Misri hadi hadi ukanda wa magaribi ya bara. Kumbuka zamani msindi wa Virta ndiye mwenye nchi na ilikuwa sii rahisi kuwashinda, huku South walishindwa tu na waSudan (Wanubi) wakati huo wakiwa taifa yenye nguvu zaidi..Mbvona zipo hadi documentaries za kuenea kwa waarabu North Afrika na tawala zake. sasa unataka kusema kwa sababu kiingereza kinazungumzwa sana duniani ina maana sehemu nyingi ni waingereza!

Ahsante kwa kurekebisha, hilo la miaka hiyo nalo lina mjadala pia lakini sitouingilia sasa hivi, kwanza naomba nijibu haya:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mkandara umechanganya mada nyingi sana mpaka inaniwia vigumu ku "concentrate" na majibu sahihi.

Kwa kuanzia, umekosea tena, najuwa kwa uandishi tu, kule uliandika 14 na 15 hapa umeandika 4 na 5. Unanchanganya.

Hilo la kuhusu Waraabu nimejaribu sana tena sana kuelezea humu JFmara nyongi kuwa Waarabu hawakuja Afrika, ni kwao. Walikuja kutoka wapi?

Hili la Waarabu linataka wasaa sana na ntakuelezea kiutaratibu kila tunavyoendelea kujadili lakini kabla sijaanza, naomba kukuuliza, Jee, umekisoma kitabu cha Professor Noor? mimi nnacho.

Maana tusijadili kitu ambacho mimi najibu kutokana na niliyoyasoma na kuyatafiti japo kiduchu kupitia mtandao lakini mwenzangu unajadili kwa uzoefu na bila kukisoma hicho kitabu.

Naomba tutatuwe hilo kwanza kisha ntaelewa kama nnajadili na aliyekisoma kitabu kinachoongelewa au la.

 
Ahsante kwa kurekebisha, hilo la miaka hiyo nalo lina mjadala pia lakini sitouingilia sasa hivi, kwanza naomba nijibu haya:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mkandara umechanganya mada nyingi sana mpaka inaniwia vigumu ku "concentrate" na majibu sahihi.

Kwa kuanzia, umekosea tena, najuwa kwa uandishi tu, kule uliandika 14 na 15 hapa umeandika 4 na 5. Unanchanganya.

Hilo la kuhusu Waraabu nimejaribu sana tena sana kuelezea humu JFmara nyongi kuwa Waarabu hawakuja Afrika, ni kwao. Walikuja kutoka wapi?

Hili la Waarabu linataka wasaa sana na ntakuelezea kiutaratibu kila tunavyoendelea kujadili lakini kabla sijaanza, naomba kukuuliza, Jee, umekisoma kitabu cha Professor Noor? mimi nnacho.

Maana tusijadili kitu ambacho mimi najibu kutokana na niliyoyasoma na kuyatafiti japo kiduchu kupitia mtandao lakini mwenzangu unajadili kwa uzoefu na bila kukisoma hicho kitabu.

Naomba tutatuwe hilo kwanza kisha ntaelewa kama nnajadili na aliyekisoma kitabu kinachoongelewa au la.

Kuhusu kukisoma kitabu sijakisoma ila nimesoma uloandika wewe na ndiyo nayoyapa hoja. Ulichokisoma wewe kinaweza kuwa na makosa na ndio maana nakurekebisha wewe kwa historia usiamini yaloandikwa na ukweli ni huu.

Kuhusu Karne kusema kweli inaonyesha baada ya wafuasi wa mtume kuingia Taifa la Ethiopia ambalo likuwa kubwa wakati huo hadi Somalia tuijuayo, ndipo walipoanzia kusambaza dini barani na hawakwenda kwa biashara wala kutawala. Zipo tawala zinajulikana toka zilikotoka wakipigana vita na kuteka nchi.

Na wapo Waarabu na Wahindi walokuja kufanya biashara na wengine wakahamia, huu ndio Ukweli. Na hata Wabantu wenyewe wamekuwa wakihama hama toka nchi moja kwenda nchi nyingine lakini kulikuwepo na Wabantu wakati wote walofanya biashara na waarabu na wahindi kwa spices, dhahabu na na vito.
 
Interesting sana.....tuendeleee.....mie kitabu ninacho na ninakisoma this now....kwa ufupi sana....pro noor...anachosema....waarabu na waislam wamepewa lawama yote ya biashara ya utumwa unfair....la pili....waarabu waliopo sasa....ni kizazi cha miaka mingi sana hvo wanahaki sawa au pengine zaidi....ya weusi baadhi walioko east africa....kwasababu wao pia ni wahamiaji toka seheme zingine za africa....so si haki kuwabagua...kwa misingi ya uasili wao....haya tuendeleee
 
Kuhusu kukisoma kitabu sijakisoma ila nimesoma uloandika wewe na ndiyo nayoyapa hoja. Ulichokisoma wewe kinaweza kuwa na makosa na ndio maana nakurekebisha wewe kwa historia usiamini yaloandikwa na ukweli ni huu.

Kuhusu Karne kusema kweli inaonyesha baada ya wafuasi wa mtume kuingia Taifa la Ethiopia ambalo likuwa kubwa wakati huo hadi Somalia tuijuayo, ndipo walipoanzia kusambaza dini barani na hawakwenda kwa biashara wala kutawala. Zipo tawala zinajulikana toka zilikotoka wakipigana vita na kuteka nchi.

Na wapo Waarabu na Wahindi walokuja kufanya biashara na wengine wakahamia, huu ndio Ukweli. Na hata Wabantu wenyewe wamekuwa wakihama hama toka nchi moja kwenda nchi nyingine lakini kulikuwepo na Wabantu wakati wote walofanya biashara na waarabu na wahindi kwa spices, dhahabu na na vito.

Anhaa, sasa nimeelewa kuwa tunajadili maandiko yangu na si kitabu cha Professor Noor. Swadaktaaaa.

Ntarudi kujibu kutokana na kuelewa hilo maana ungenichanganya.
 
Jembepori,
Kitabu changu "catalogue," katika maktaba zote duniani kipo chini ya "Political History."

Hii ya "malalamiko" ndiyo kwanza naisikia kwako.
Mohammed nikwambie kitu, hakuna kitu wazungu wanapenda kama vitabu vya aina yako. Na usidhanie wanakusifia ila wanapenda kuonyesha ujinga wetu wenyewe as uncivilized, ukiishi nao ndio utawajua vizuri maana kama waswahili vile wakikusifia jua utachekwa ukiwapa mgongo.

Kuwa mjanja sana na hawa wazungu ukiona wanakusifia sana basi jua kuna ujinga fulani unaufanya ni kebehi na watauza ujinga huo. Wazungu huwachukia watu kama Malcom X, Martin Luther King, Marcus Garvey, kina Gadaffi, Kim, Castro, Che, Steve Biko, Lumumba, Kwame, Saadam kwa sababu watu hawa walikuwa hawana akili za kushikiwa na walisema ukweli wasoupenda wazungu kamwe na hutakuta vitabu vyao katika maabara zao. Ukisha kuwa kama Mandela uka give in ktk matakwa yao aaah utapewa sifa kupita mfano wakati maisha ya wananchi South leo ndio mabaya kuliko maelezo..
 
Bibie hukunisoma vizuri, kule nimesema nimekosea kuandika karne ya 14 hadi 15 nilitakiwa kuandika 4 hadi 5..Waarabu walikuja kiutoka Yemen - Washihir, Waburushi kutoka Pakistan na Afhganstan, wa Oman kutoka Oman na makundi mengine ya waarabu na wahindi kwa uchache wao.

Hata North Afrika kuna historia kubwa ya waarabu kuvamia toka Misri hadi hadi ukanda wa magharibi ya bara. Kumbuka zamani mshindi wa Vita ndiye mwenye nchi na ilikuwa sii rahisi kuwashinda, huku South walishindwa tu na waSudan (Wanubi) wakati huo wakiwa taifa yenye nguvu zaidi..Mbona zipo hadi documentaries za kuenea kwa Waarabu North Afrika na tawala zake. Au Wachina kufika bara la Amerika kabla ya wazungu. Sasa unataka kusema kwa sababu kiingereza kinazungumzwa sana duniani ina maana sehemu nyingi ni waingereza!

Kama nilivyokuahidi kuwa ntarudi, nimerudi, tuendelee:

Historia yako hiyo unayoihadithia ndiyo hiyohiyo ambayo leo hiihii inayoongelewa kwa huku kwetu Afrika ya Mashariki, kwanini tusianzie na hapo ulipokiri kuwa Waarabu na Uislam ulikuwepo toka karne ya 4 au 5?

Kwa kukuuliza tu kutokana na maandiko yako haya "Kuhusu Karne kusema kweli inaonyesha baada ya wafuasi wa mtume kuingia Taifa la Ethiopia ambalo likuwa kubwa wakati huo hadi Somalia tuijuayo, ndipo walipoanzia kusambaza dini barani na hawakwenda kwa biashara wala kutawala".

1) Jee, huo wakati wa Mtume ndiyo msafara wa kwanza wa watu wa Hejaz kuja Habashi au watu wa Habashi kwenda Hijaz na Najd? (Hejaz ndiyo hukohuko walikotokea "wafuasi" wa Mtume Muhammad Sallahu Alayhi Wasalaam).

2) Jee, umeshawahi kusoma historia ya Malkia Bilqis?

3) Jee, umeshawahi kusoma historia ya watu wa Tembo waliovamia Hejaz?

4) Jee, unaelewa kuwa hao watu wa Hejaz ni Semites na watu wa Habash ni Semites pia?

5) Jee, umeshawahi kusoma historia ya wa Iraqw wa Tanzania?

Wakati unapata majibu ya hayo,nakusihi pitia post yangu namba 128 nayoonesha Wabantu walikuja lini Afrika ya Mashariki kwa historia inayofundishwa na chuo cha zamani sana Afrika ya Mashariki, Makerere.

Ukishapata jibu kutoka kwenye hiyo historia ya Makerere, sasa rudi kwenye karne uitakayo wewe ya 4 na 5, ingawa hiyo nayo ukishayajibu maswali hayo juu itakuwa pia sivyo lakini for the sake ya mjadala tu tuichukuwe hiyohiyo halafu unambie ni nani aliyekuja kwanza Afrika ya Mashariki kati ya Wabantu na Semites.

Tukimaliza hapo tutaenda vizuri sana, badala ya kukisiakisia tu.
 
Mohammed nikwambie kitu, hakuna kitu wazungu wanapenda kama vitabu vya aina yako. Na usidhanie wanakusifia ila wanapenda kuonyesha ujinga wetu wenyewe as uncivilized, ukiishi nao ndio utawajua vizuri maana kama waswahili vile wakikusifia jua utachekwa ukiwapa mgongo.

Kuwa mjanja sana na hawa wazungu ukiona wanakusifia sana basi jua kuna ujinga fulani unaufanya ni kebehi na watauza ujinga huo. Wazungu huwachukia watu kama Malcom X, Martin Luther King, Marcus Garvey, kina Gadaffi, Kim, Castro, Che, Steve Biko, Lumumba, Kwame, Saadam kwa sababu watu hawa walikuwa hawana akili za kushikiwa na walisema ukweli wasoupenda wazungu kamwe na hutakuta vitabu vyao katika maabara zao. Ukisha kuwa kama Mandela uka give in ktk matakwa yao aaah utapewa sifa kupita mfano wakati maisha ya wananchi South leo ndio mabaya kuliko maelezo..
Alama Mohamed Said kaandika historia ya wazee wake waliosahauliwa kwenye historia ya TANU, hiyo ndiyo sababu ya kufanywa mjinga?

Kwa hiyo wewe unadhani kuwa historia ya kivukoni iliyowaacha watu muhimu kwenye historia ya Tanganyika ndiyo siyo wajinga?

Unashangaza sana tena sana.
 
Alama Mohamed Said kaandika historia ya wazee wake waliosahauliwa kwenye historia ya TANU, hiyo ndiyo sababu ya kufanywa mjinga?

Kwa hiyo wewe unadhani kuwa hisytoria ya kivukoni iliyowaacha watu muhimu kwenye historia ya Tanganyika ndiyo siyo wajinga?

Unashangaza sana tena sana.
Wazee wake walikuwa wakipigania Uhuru wa Watanganyika au uhuru wa Waislaam maana kuna historia ya Uislaam na historia ya Tangayika. Kama ni Tanganyika basi ni Watanganyika kwanza na wajinasibishe na Utanganyika sio Uislaam maana wengi hawakutajwa wapo hadi Baniani walopigania Uhuru.

Nikushangaze nini wakati tunawajua wengi walopigania Uhuru tena wengine hawakuwa hata Watanganyika wakitoka Malawi na Uganda. Acheni kuchochea mambo mnaonekana wajinga sana na wazungu wanawachora tu rahisi kushawishika, wakipata mwanya wanaingia kati baada ya kuujua mapungufu yetu kichwani..
 
Wazee wake walikuwa wakipigania Uhuru wa Watanganyika au uhuru wa Waislaam maana kuna historia ya Uislaam na historia ya Tangayika. Kama ni Tanganyika basi ni Watanganyika kwanza na wajinasibishe na Utanganyika sio Uislaam maana wengi hawakutajwa wapo hadi Baniani walopigania Uhuru.

Nikushangaze nini wakati tunawajua wengi walopigania Uhuru tena wengine hawakuwa hata Watanganyika wakitoka Malawi na Uganda. Acheni kuchochea mambo mnaonekana wajinga sana na wazungu wanawachora tu rahisi kushawishika, wakipata mwanya wanaingia kati baada ya kuujua mapungufu yetu kichwani..

Na wale walioandika historia ya Uhuru na kuwawacha Waislam waliokuwa mstari wa mbele na hata waliotowa jina la TANU nao walikuwa wakiandika historia ya Uhuru wa Tanganyika au ya Nyerere au ya Ukristo?

Utaandika vipi historia ya Uhuru wa Tanganyika bila kuonesha hata fedha za kwenda UNO kudai Uhuru zilitoka wapi? kuna zilizotoka hazina ya Al Jamitul Islamiya fi Tanganyika.

Ukiandika hivyo ndiyo umeandika historia ya Waislam? lakini ukiandika sijui kina father nani walitoa tiketi ya London - New York, hukuandika Historia ya Wakristo?

Au una babuyo alikuwa kwenye kudai Uhuru hajatajwa, tuletee tu tutakusoma.
 
Kama nilivyokuahidi kuwa ntarudi, nimerudi, tuendelee:

Historia yako hiyo unayoihadithia ndiyo hiyohiyo ambayo leo hiihii inayoongelewa kwa huku kwetu Afrika ya Mashariki, kwanini tusianzie na hapo ulipokiri kuwa Waarabu na Uislam ulikuwepo toka karne ya 4 au 5?

Kwa kukuuliza tu kutokana na maandiko yako haya "Kuhusu Karne kusema kweli inaonyesha baada ya wafuasi wa mtume kuingia Taifa la Ethiopia ambalo likuwa kubwa wakati huo hadi Somalia tuijuayo, ndipo walipoanzia kusambaza dini barani na hawakwenda kwa biashara wala kutawala".

1) Jee, huo wakati wa Mtume ndiyo msafara wa kwanza wa watu wa Hejaz kuja Habashi au watu wa Habashi kwenda Hijaz na Najd? (Hejaz ndiyo hukohuko walikotokea "wafuasi" wa Mtume Muhammad Sallahu Alayhi Wasalaam).

2) Jee, umeshawahi kusoma historia ya Malkia Bilqis?

3) Jee, umeshawahi kusoma historia ya watu wa Tembo waliovamia Hejaz?

4) Jee, unaelewa kuwa hao watu wa Hejaz ni Semites na watu wa Habash ni Semites pia?

5) Jee, umeshawahi kusoma historia ya wa Iraqw wa Tanzania?

Wakati unapata majibu ya hayo,nakusihi pitia post yangu namba 128 nayoonesha Wabantu walikuja lini Afrika ya Mashariki kwa historia inayofundishwa na chuo cha zamani sana Afrika ya Mashariki, Makerere.

Ukishapata jibu kutoka kwenye hiyo historia ya Makerere, sasa rudi kwenye karne uitakayo wewe ya 4 na 5, ingawa hiyo nayo ukishayajibu maswali hayo juu itakuwa pia sivyo lakini for the sake ya mjadala tu tuichukuwe hiyohiyo halafu unambie ni nani aliyekuja kwanza Afrika ya Mashariki kati ya Wabantu na Semites.

Tukimaliza hapo tutaenda vizuri sana, badala ya kukisiakisia tu.
Katika haya uloyaandika nashindwa nianzie wapi maana umekuja na hoja tofauti kabisa. Haya ya Hijaz na Najd mbona uko mbali sana maana hukuanza na mtume mwenyewe kisha MaKhalifa na kibaya zaidi watu wengi husoma Historia iloandikwa na wazungu kuhusu vita vya kiislaam wakasahau kwamba Uislaam haukutembea kwa Upanga wa Omar na Othman bali elimu ya dini na hawa wengine walikuwa kuteka nchi kukuza Empire kama Waroma walivyoitawala dunia hadi Israel haina maana hapakuwepo na UKristu Israel kabla yao.

halafu zaidi ya hapo watu wengi wanachanganya sana utawala wa Kharifa Othman alompokea Omar na Ottoman Empire wasijue kwamba ni majina tu yanafanana lakini kuna muda tofauti baina yao japo Ottoman aliteka sehemu zile zile alopitia Othman na kuzirudisha katika hemaya yake.

Kwa hiyo nazungumzia karne za mwanzo kabisa wakati dini inatangazwa ilifika Ufukwe wetu mapema sana maana kuna watu walisambazwa kuitangaza dini na wapo watu walikuwa wafanya biashara hawakukaa na kulala misikitini kila kukicha. Wapo walokuwa karibu na mtume lakini sio kila mtu alokuwepo basi alikuwa akiandamana na Mtume atakula nini?

Na lipo swala la dini kupanuka kutokana na kuteka nchi nyinginezo lakini hakuna ukweli wowote kwamba watu hao walilazimishwa kuingia Uislaam wali convert kwa kupenda kwao kama imani nyinginezo, nchi hizo zilikuwa na Wakristu hata baada ya kutekwa hivyo Majeshi yalipigana na majeshi kuteka nchi sio kwa lengo la kubadilisha watu dini.
 
Katika haya uloyaandika nashindwa nianzie wapi maana umekuja na hoja tofauti kabisa. Haya ya Hijaz na Najd mbona uko mbali sana maana hukuanza na mtume mwenyewe kisha MaKhalifa na kibaya zaidi watu wengi husoma Historia iloandikwa na wazungu kuhusu vita vya kiislaam wakasahau kwamba Uislaam haukutembea kwa Upanga wa Omar na Othman bali elimu na hawa wengine walikuwa kuteka nchi kukuza Empire kama Waroma walivyoitawala dunia hadi Israel haina maana hapakuwepo na UKristu kabla yao.

halfu zaidi ya hapo watu wengi wanachangany sana utawala wa Kharifa Othman alompokea Omar na Ottoman Empire wasijue kwamba ni majina tu yanafanana lakini kuna muda tofauti baina yao japo Ottoman aliteka sehemu nzile zile alopitia Othman na kuzirudisha katika hekaya yake.

Kwa hiyo nazungumzia karne za mwanzo kabisa wakati dini inatangazwa ilifika Ufukwe wetu maana hawa watu walikuwa wafanya biashara hawakukaa na kulala misikitini kila kukicha. wapo walokuwa karibu na mtume lakini sio kila mtu alokuwepo basi alikuwa akiandamana na Mtume atakula nini?

Nimeanzia pale pale ulipoanzia wewe kutoka Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam, nilijuwa kwa kuanzia hapo lazima utakuwa unajuwa Hejaz na Najd ni nini, lakini kwa kuwa haujuwi, samahani sana.

Pata darsa dogo kuhusu Hejaz na Najd:

Hilo ndiyo bara linaloitwa kwa sasa Saudi Arabia ambako iko Makkah na Madina, siku hizo maarufu kwa majina hayo niliyokutajia. Hejaz ni Magharibi ya sasa Saudi Arabia na Najd ni Mashariki ya sasa Saudi Arabia, unajuwa jina Saudi Arabia limekuja mwaka 1932 tu, juzi juzi, na hapo kuna historia ya zamani sana na nikaona ni vyema nitumie majina hayo ya zamani. Ni kama vile Tanganyika na Tanzania.

Kwa kuwa umepata darsa la kuijuwa Hejaz na Najd, sasa naomba uendelee kujibu niliyokuuliza na kupitia historia inayofundishwa Makerere niliyokuwekea hapo kwenye post namba 128 halafu unijibu swali langu.

 
Madafu,
Katika mambo ambayo mimi binafsi nimekutananayo na hakika yamenisikitisha
ni jinsi jamaa zetu walivyoathirika na propaganda.

Hicho kitabu wala si cha dini lakini kilichomkera ni hilo jina la mwandishi.
Kitabu hicho mathalan kingekuwa na jina la John Esposito asingejali.

Juu hayo ningependa ajue kuwa, "Islam," hivi sasa ni "Field of Enquiry,"
muhimu katika vyuo vingi sana hasa Marekani.

Aingie kwenye Google ataona mengi.

Kitabu changu kimepata umaarufu mkubwa sana katika vyuo vya Marekani
kwa kuwa nilikuja na, Islamic movement in nationalist politics ..." katika
Tanganyika ya 1950s.

Sidhani kama jembepori ameona tatizo la jina la mwandishi. Kilichopelekea fasiri hiyo ni vidokezo ambavyo mleta mada ameeleza kuwa ndivyo vilivyoongelewa ndani ya kitabu hicho. Kwa kuzingatia vidokezo hivyo, inaonyesha kuwa mwandishi anaonyesha jinsi waarabu na waislam (ambao kwa asilimia kubwa ni intersection subset) walivyo/wanavyonyanyaswa na hao 'wenyeji' ambao na-assume kuwa ni wale wasio wa makundi hayo yaliyotajwa. Sijakisoma, ila kwa vidokezo vya mleta uzi, kuna elements za propaganda pia, aidha kwenye maudhui ya kitabu au kwenye mtazamo na fasiri ya mleta mada hii.
 
Last edited by a moderator:
Nimeanzia pale pale ulipoanzia wewe kutoka Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam, nilijuwa kwa kuanzia hapo lazima utakuwa unajuwa Hejaz na Najd ni nini, lakini kwa kuwa haujuwi, samahani sana.

Pata darsa dogo kuhusu Hejaz na Najd:

Hilo ndiyo bara linaloitwa kwa sasa Saudi Arabia ambako iko Makkah na Madina, siku hizo maarufu kwa majina hayo niliyokutajia. Hejaz ni Magharibi ya sasa Saudi Arabia na Najd ni Mashariki ya sasa Saudi Arabia, unajuwa jina Saudi Arabia limekuja mwaka 1932 tu, juzi juzi, na hapo kuna historia ya zamani sana na nikaona ni vyema nitumie majina hayo ya zamani. Ni kama vile Tanganyika na Tanzania.

Kwa kuwa umepata darsa la kuijuwa Hejaz na Najd, sasa naomba uendelee kujibu niliyokuuliza na kupitia historia inayofundishwa Makerere niliyokuwekea hapo kwenye post namba 128 halafu unijibu swali langu.

FaizaFoxy dada yangu hatuna sababu ya kubishana haswa mimi na wewe maana naweza sema nchi hiyo ilikuwa ikiitwa Mesopotamia utakubali au kukataa!. Hezaj na Najd ni utawlaa wa Ottoman katika Empire yake na ilikuwa 12 something kama sikosei karne ya 12, mimi nazungumzia 632 kujia 670s wakait wa kina Abu Bakar, Omar na Othman. halafu ubishi wa kibongo siuwezi naijua dini yangu haya maswala ya waarabu na wahindi yasitupeleke kusiko kabisa maana sipendi ubishi wa dini JF kabisa..
 
FaizaFoxy dada yangu hatuna sababu ya kubishana haswa mimi na wewe maana naweza sema nchi hiyo ilikuwa ikiitwa Mesopotamia utakubali au kukataa!. Hezaj na Najd ni utawlaa wa Ottoman katika Empire yake na ilikuwa 12 something kama sikosei karne ya 12, mimi nazungumzia 632 kujia 670s wakait wa kina Abu Bakar, Omar na Othman. halafu ubishi wa kibongo siuwezi naijua dini yangu haya maswala ya waarabu na wahindi yasitupeeke kusiko kabisa maana sipendi ubishi wa dini JF kabisa..

Hapana, umekosea tena Mesopotamia siyo hapo ilipo Saudi Arabia sasa hivi, Mesopotamia ni kwenye mito Tigris na Euphrates, ambayo kwa sasa ni Iraq, Kuwait na Kaskazini Mashariki ya Syria.

Kumbe wewe unaona huu ni ubishi, mimi nilifikiri tunaelimishana. Si unaona kama hivyo umekosea kwanza karne ukarekebisha, ulikuwa Hejaz na Najd huijuwi sasa unaijuwa, na sasa hivi umekuja na Mesopotamia na haujuwi iko wapi lakini baada ya kukupa darsa dogo la Mesopotamia hapo juu, sasa unajuwa, ndiyo tunasoma hivyo.

Sasa naomba kajibu maswali yangu, kama yale umeyasahau, ngoja nikuulize moja tu:

Ngoja nikukumbushe, baada ya wewe kuisoma historia ya Wabantu na baada ya wewe kuja na historia ya ujio wa "wafuasi" wa Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam, naomba nijulishe ni nani alimkuta mwenzake pwani ya Afrika Mashariki, Mbantu au Mwarabu?

Mkandara nakushauri kitu kimoja, naomba nisikilize kwa makini sana, mimi Historia ni hobby yangu kwa hiyo ukija na mambo ya historia hakikisha unakijuwa unachokiandika, la sivyo, itabidi uwe unapokea darsa tu kutoka kwangu mpaka utakapo wiva.

Kitabu cha Professor Noor Sharrif ni kizuri sana nakuomba kipate ukisome.

Pia nakushauri pata kitabu cha Empires of the Monsoon cha Richard Hall, nilichokuelezea hapo awali, utafaidika sana.
 
Interesting sana.....tuendeleee.....mie kitabu ninacho na ninakisoma this now....kwa ufupi sana....pro noor...anachosema....waarabu na waislam wamepewa lawama yote ya biashara ya utumwa unfair....la pili....waarabu waliopo sasa....ni kizazi cha miaka mingi sana hvo wanahaki sawa au pengine zaidi....ya weusi baadhi walioko east africa....kwasababu wao pia ni wahamiaji toka seheme zingine za africa....so si haki kuwabagua...kwa misingi ya uasili wao....haya tuendeleee
Sasa mkuu umemsoma vizuri, Uhindi au Uarabu au Uislaam haukupi miliki ya ardhi hata kama waafrika walikuwa wakihama. Wao India au Arabuni walikuwa wakihamahama lakini haiwapi watu weusi au wazungu walokwenda huko enzi ya Waroma kuwa na haki sawa au zaidi ya wazawa. Na enzi anazozungumzia yeye ni enzi za vita watu walihamishwa kwa vita, wengine kilimo kutafuta ardhi yenye rutuba, wengine mifugo yao kutafuta ardhi ya malisho hivyo huwezi kuitazama Afrika kwa sababu ya sehemu ambazo wabantu hawakuishi. Saudia yenyewe kuna sehemu hakuna watu kabisaa leo useme una haki hapo kwa sababu hakuna watu?..walikotoka wao kuna sehemu hawaishi watu ni jangwa ama kuna hali isokalika iwe msingi wa hoja ya nchi kuwa sio yao.

Hizo propaganda za Utumwa tunajua ni Waarabu walishiriki kweli lakini huwezi kuitumia dini kwenye picha ya mtu kwa sababu mwarabu basi ni Uislaam akiwa mweusi ina maana alikuwa Mkristu? Swala angesema Uislaam hawakuhusika kabisa na biashara hiyo hapo ndipo tungeanza hoja lakini kuwahusisha waarabu na Uislaam ni kuchanganya mambo.

Hizi propaganda za wazungu tuliisha zimaliza na wananchi wanajua historia hiyo haifundishwi tena mashuleni. Utumwa ulifanywa na Waarabu kama walanguzi, wakawauzia Wayahudi wenye fedha wakaenda Ulaya na Marekani kuwauza ndugu zetu na wala hatukua peke yetu Wahindi wenyewe walichukuliwa utumwa, waarabu wenyewe walichukuliwa Utumwa maana zamani enzi hiyo biashara kubwa ilikuwa ya watu. Nchi yako ikitekwa watu huchukuliwa utumwani hadi Uislaam ulipoingia na kulazimisha mateka kuachwa huru.
- Facts mbona zipo sana tu.
 
Hapana, umekosea tena Mesopotamia siyo hapo ilipo Saudi Arabia sasa hivi, Mesopotamia ni kwenye mito Tigris na Euphrates, ambayo kwa sasa ni Iraq, Kuwait na Kaskazini Mashariki ya Syria.

Kumbe wewe unaona huu ni ubishi, mimi nilifikiri tunaelimishana. Si unaona kama hivyo umekosea kwanza karne ukarekebisha, ulikuwa Hejaz na Najd huijuwi sasa unaijuwa, na sasa hivi umekuja na Mesopotamia na haujuwi iko wapi lakini baada ya kukupa darsa dogo la Mesopotamia hapo juu, sasa unajuwa, ndiyo tunasoma hivyo.

Sasa naomba kajibu maswali yangu, kama yale umeyasahau, ngoja nikuulize moja tu:

Ngoja nikukumbushe, baada ya wewe kuisoma historia ya Wabantu na baada ya wewe kuja na historia ya ujio wa "wafuasi" wa Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam, naomba nijulishe ni nani alimkuta mwenzake pwani ya Afrika Mashariki, Mbantu au Mwarabu?

Mkandara nakushauri kitu kimoja, naomba nisikilize kwa makini sana, mimi Historia ni hobby yangu kwa hiyo ukija na mambo ya historia hakikisha unakijuwa unachokiandika, la sivyo, itabidi uwe unapokea darsa tu kutoka kwangu mpaka utakapo wiva.

Kitabu cha Professor Noor Sharrif ni kizuri sana nakuomba kipate ukisome.

Pia nakushauri pata kitabu cha Empires of the Monsoon cha Richard Hall, nilichokuelezea hapo awali, utafaidika sana.
Ahahaha Faiza dadangu unakuwa kama sii wa mujini? mimi nimeweka Mesopotamia ili kujibu hoja yako ya Hezaj na Nejd ya kwamba naweza Google nikapata habari yote. Ndio maana nikasema utakubali au utakataa? Kwa maana ya kwamba sio shida kuijua nchi gani iko wapi siku hizi Google ina karibu kila kitu, mchezo huo sifanyi tuzungumze tunayoyajua juu ya Tanganyika!

Swali lako kuhusu nani alomkuta nani, sasa hapa unachotaka kujua hata sikuelewi maana kufikia karne hizo tayari wakazi wengi walikuwa mchanganyiko kuna waarabu wahindi, waafrika walozaliana maadam biashara baina ya watu hawa ilianza toka BC lakini kila mtu alikuwa na kwao. Sasa unaponiuliza miye walikuta watu gani ni sawa na kuniuliza Wajarumani walipokuja Tanganyika walikuta watu gani?

Ila nachoelewa mgeni anapofika mahala hutafuta mwenyeji wake ama mtu anayeijua lugha yake kisha humtembeza na pengine kumwambia shida ilomleta pale hawakuzunguka na memo kuandika walowakuta. Kifupi Waafrika walikuwepo kona zote na na ndio maana wakaiita nchi ya weusi! sio wazungu ni waarabu waloipa jina hilo. Huyu mwandishi amezungumzia Tanganyika hivyo kuwepo kwa waarabu na wahindi Afrika haiwapi miliki ya ardhi ya Wabantu. Haya ndio walosema hata Makaburu juu ya weusi wa South ya kwamba walipokwenda pale waafrika hawakuwepo wao ndio watu wa kwanza kuishi South waafrika wakahamia baadaye. Haya ni matusi ya nguoni kwetu.
 
Hana jipya pamoja na usomi wake ila kichwani kumejaa makamasi, yani muarabu ni mwenyeji wa Pwani ya AM? Mbona waafrika sio wenyeji wa Oman na arabuni hata kama ni waislam. Baada ya kuwaua kinyama kiasi kwamba leo huwezi kuta kizazi cha mtu mweusi arabuni japo walienda kibao kama watumwa zaidi wahamiaji weusi wanaishiwa kunyanyaswa tu kama mbwa.

Pili, anaanzaje kukanusha kwamba waarabu hawakuwatesa watu weusi? Anajaribu kuficha ukweli sababu tu yeye ni muarabu

Kikubwa nilichojifunza hapa ni kwamba hawa jamaa wanafundishwa kulalamika yani hata wasome kiasi gani kulalamika kuko damuni mwao, sijui kulalamika ni moja ya ibada kwao
 
Ahahaha Faiza dadangu unakuwa kama sii wa mujini? mimi nimeweka Mesopotamia ili kujibu hoja yako ya Hezaj na Nejd ya kwamba naweza Google nikapata habari yote. Ndio maana nikasema utakubali au utakataa? Kwa maana ya kwamba sio shida kuijua nchi gani iko wapi siku hizi Google ina karibu kila kitu, mchezo huo sifanyi tuzungumze tunayoyajua juu ya Tanganyika!

Swali lako kuhusu nani alomkuta nani, sasa hapa unachotaka kujua hata sikuelewi maana kufikia karne hizo tayari wakazi wengi walikuwa mchanganyiko kuna waarabu wahindi, waafrika walozaliana maadam biashara baina ya watu hawa ilianza toka BC lakini kila mtu alikuwa na kwao. Sasa unaponiuliza miye walikuta watu gani ni sawa na kuniuliza Wajarumani walipokuja Tanganyika walikuta watu gani?

Ila nachoelewa mgeni anapofika mahala hutafuta mwenyeji wake ama mtu anayeijua lugha yake kisha humtembeza na pengine kumwambia shida ilomleta pale hawakuzunguka na memo kuandika walowakuta.
Kifupi Waafrika walikuwepo kona zote na huyu mwandishi amezungumzia Tanganyika hivyo kuwepo kwa waarabu na wahindi Afrika haiwapi miliki ya ardhi ya Wabantu. Haya ndio walosema hata Makaburu juu ya weusi wa South ya kwamba walipokwenda pale waafrika hawakuwepo wao ndio watu wa kwanza kuishi South waafrika wakahamia baadaye. Haya ni matusi ya nguoni kwetu.


Unajichanganya na ndiyo yaleyale uliyodanganywa, Waafrika si wabantu tu. Nimekueleza kuwa hata Semites ni Waafrika pia.

Historia inatueleza kuwa semites (ambao si Wabantu) walikuwepo Afrika ya Mashariki kabla ya Wabantu, sasa sijuwi unataka nikueleze nini zaidi ya kukuwekea ushahidi kutoka Makerere katika somo ambalo wanafundisha, soma post namba 128.

Wewe unakuja na ubishi ambao hauna ushahidi nao wowote bali fikra zako tu zinavyokutuma.

Sasa napenda uelewe kuwa Waarabu ni Waafrika na Uafrika haumaanishi rangi kama unavyofikiria. Kontineti la Afrika lugha ya kwanza inayoongewa na wengi ni Kiarabu.

Hata neno Afrika linatokana na Kiarabu.

Bantu na Semite zote zinatokana na lugha na Bantu historically hapa Afrika ya Mashariki wamehamia.

Soma kidogo magwiji wa Makerere wanasema nini:

BANTU MIGRATION

Between 1000-1800 AD, East Africa experienced a wave of migrations from different parts of Africa. The Bantu from the Congo or the Niger Delta Basin were the first to arrive, followed by the Luo from Bahr el Ghazel in Southern Sudan and then the Ngoni from Southern Africa.

Who were the Bantu?

The term Bantu refers to group of people who speak the same or similar language with common word "NTU" which means a person. The Bantu-speaking groups include the Baganda, Banyoro, Batoro in Uganda, Kikuyu, Akamba, Meru, Embu, Taita, Giryama, Digo in Kenya and Pokomo, Chagga, Yao, Segeju, Zaramo in Tanzania, as well as many other smaller groups.

Origin

There are two versions explaining the migration of the Bantu. The first version asserts that the Bantu came from West Africa around the Cameroon Highlands and Baunchi plateau of Nigeria; therefore, this points to the Niger basin as the possible cradle land of the Bantu. The second version posits that the Bantu came from the Katanga region in Southeastern Congo. Gradually they spread eastward north of the forest and southward to the forest's edge near the lower Congo or Zaire and lower Kasai. The occupation of the north western (Cameroon- Gabon) was fairly slow due to difference in languages. Else where especially in eastern and southern Africa beginning at the edge of the forest, the spread must have been fast due to the relationship in languages.

The study of migrations will help the learners to understand their origin and settlement patterns, appreciate the interrelationship between the different peoples of East Africa like cultures, customs, etc. They will also understand change and continuity in societies i.e. life is not static but dynamic and this explains the current movements of people to different parts of East Africa.

Soma zaidi: ELATE
 
Back
Top Bottom