Kitakachofuata kwa Mdee na wenzake baada ya Rais Samia kuhudhuria mwaliko wa kongamano la BAWACHA, kitawaumiza sana CHADEMA

Kitakachofuata kwa Mdee na wenzake baada ya Rais Samia kuhudhuria mwaliko wa kongamano la BAWACHA, kitawaumiza sana CHADEMA

Mkt Mbowe na Sa100 wameamua kutuchezesha.

Sisiem hawamwelewi mkt wao, hapo hapo CDM hawamwelewi Mbowe.

Ama Kweli,

"Confusion is the home of DARKS".
 
Mkt Mbowe na Sa100 wameamua kutuchezesha.

Sisiem hawamwelewi mkt wao, hapo hapo CDM hawamwelewi Mbowe.

Ama Kweli,

"Confusion is the home of DARKS".
Fungua PM nikuambie jambo la kushangaza KIDOGO!halafu uniambie nini Maana yake!!?
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Atakua kiongozi wa ccm wa ajabu ikiwa atajiingiza kwenye mikutano na makomgamano ya chadema. Wanaccm wawe macho mama ana asili ya harakati zsiizokua na tija kwa sera na itikadi ya ccm. Tusisahau anatokea kwenye ngo ambazo kwa desturi zinakua financed na mabeberu. Kabla wanaccm hawajafungua macho atakivuruga chama hicho.
 
Kesi ikifutwa maana yake Waliofungua kesi wamekubaliana na uamuzi wa kufukuzwa Chadema na kufutwa ubunge wao.

Kitakachofuata ni Kamati kuu ya Chadema iwarudishie uanachama na kisha ianze upya kuteua wabunge.

Na Mama Samia huenda akamteua Lissu na Mbowe kuwa Wabunge maana Rais anayo mamlaka ya kuteua wabunge wataziba zile nafasi za kina Balozi Polepole.
Nafasi ya Polepole ilizibwa kitambo na nafasi za kikatiba alizonazo Rais za kuwateua wabunge zimekwisha kwa wabunge wa kiume
 
Kuna watu wataishia kupiga ramli chonganishi na za kubahatisha sana.. Kumbukeni CHADEMA sio CCM yenye matawi kibao
CCM asili
CCM maslahi
CCM makinikia
CCM jiwe
CCM samoa gang nknk
CHADEMA ni moja na itabaki kuwa moja ndio maana waasi wengi wanatamani kurejea
Muasi gani anatamani kurejea chadema. Chadema ni debe tupu linalovuma. Wakati ccm ya samia inawapa vigogo wake kamba wale malisho kwa urefu wa kamba zao chadema wamepewa kamba ya kujinyonga na samia.
Time will tell
 
Muasi gani anatamani kurejea chadema. Chadema ni debe tupu linalovuma. Wakati ccm ya samia inawapa vigogo wake kamba wale malisho kwa urefu wa kamba zao chadema wamepewa kamba ya kujinyongea na samia.
Time will tell
Mimi nimekuelewa kabisa.
 
Mama arudi nao tu huko alikowatoa hao walitusliti wakati mgumu sana sasa ndio wanaona mteremko wanajileta kinyumenyume.
Kina Mdee na Mzee Slaa watasamehewa na kurudi chamani...
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
mbona inajulijana kuwa wanasamehewa maana hiyo ruzuku wanayopewa ni pamoja na hao wabunge wakiwafukuza ruzuku hiyo hawataipata
 
Hili halihitaji utabiri. Linajulikana. Ambaye hafurahishwi na uamuzi wa Mbowe ahame chama. Aende hata CHAUMMA
Acha uchizi, mbowe syo kamati kuu, kina mdee walifurushwa na kamati kuu na ndo yenye mamlaka ya kuwasamehe.
Over
 
Acha uchizi, mbowe syo kamati kuu, kina mdee walifurushwa na kamati kuu na ndo yenye mamlaka ya kuwasamehe.
Over
Mbowe ndo CHADEMA na CHADEMA ndo Mbowe. Kamati kuu ni rubber stamp.
 
Kesi itafutwa kama ilivyofutwa ya Lema. Wewe mwanachama wa kawaida kaa kimya. Sisi tuko na Mbowe.

Kesi kafungua Halima Mdee, na akifuta kesi ina maanisha maamuzi ya baraza kuu na kamati kuu yanakuwa na nguvu.
 
Hili halihitaji utabiri. Linajulikana. Ambaye hafurahishwi na uamuzi wa Mbowe ahame chama. Aende hata CHAUMMA

Acheni kupotosha. Chama kimeshawafukuza kupitia baraza kuu na Kamati, hapo msamaha utaanzia kamati kuu na baraza kuu.
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.

Tatizo unadakia mambo katikati. Kwanza, wale walishafukuzwa na Kamati kuu na baraza kuu, huwezi kuwarudisha kienyeji mpaka vikao vikae upya Tena.
 
Hili halihitaji utabiri. Linajulikana. Ambaye hafurahishwi na uamuzi wa Mbowe ahame chama. Aende hata CHAUMMA

Mnajificha kwenye kauli za uongo, maamuzi ya kufukuzwa yalifanywa na Kamati kuu na baraza kuu, wale wahamia ACT.
 
Back
Top Bottom