Kitakachofuata kwa Mdee na wenzake baada ya Rais Samia kuhudhuria mwaliko wa kongamano la BAWACHA, kitawaumiza sana CHADEMA

Kitakachofuata kwa Mdee na wenzake baada ya Rais Samia kuhudhuria mwaliko wa kongamano la BAWACHA, kitawaumiza sana CHADEMA

Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.

Kesi ya Mdee kafungua mwenyewe, akiifuta inamaana maamuzi ya baraza kuu yanasimama na wanakosa uanachama. Pona pona yao waendelee na kesi tu.
 
..kesi ya Lema ilifutwa na serikali.

..kesi ya Halima anatakiwa aifute mwenyewe.

..na akiifuta uamuzi wa baraza kuwafukuza unasimama.

..ndio maana nasema ili kuweka mambo sawa ni lazima kesi iishe kwa kuwapa ushindi Halima na wenzake.

Na huo ndio ukweli mkuu. Watu wengi wa CCM hawaijui hii kesi wanashabikia as if CHADEMA waliifungua.
 
Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.

Kesi bado inaendelea. Upande wa kina Mdee utaanza kuhoji upande wa CHADEMA. Msiwe na haraka ya kuongea.
 
Mzee mbona hauelewi hayo mambo yashaisha,wewe kama ulitegemea viti maalum wewe hachana na huo mpango tafta kazi ya kufanya.

Ulikuwepo mahakamani leo?. Proceedings zinazofuata ni baraza la wadhamini kuhojiwa Basi. Chama kikikataa kwamba hakikuwadhamini Basi kesi inaishia hapo.
 
Hayo ni mawazo yako madogo kama mwanachama wa kawaida. Sio hivyo unavyodhani. Wewe ukiwa kama mwanachama wa CHADEMA ulidhani kuwa kina Lema huwasiliana na watu wa CCM na kusaidiana mambo mbalimbali? Ulidhani ipo siku viongozi wako watasimama majukwaani na kumsifu mwenyekiti wa CCM? Ulidhani ipo siku mwenyekiti wa CCM atakuwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya CHADEMA? Nasisitiza CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA.

Unaongea hivyo huku ukiona aibu. Samiah kakaribishwa na BAWACHA Kama Rais sio Kama Mwenyekiti wa CCM. Ukisema hivyo inamaana Rais Samiah ni Rais wa CCM pekee yake ambacho sio kweli. Halafu siasa za kupigana ziliondoka na Magufuli Samiah kaja na diplomacy.
 
Mbowe ndo CHADEMA na CHADEMA ndo Mbowe. Kamati kuu ni rubber stamp.

Ingekuwa hivyo angejiamulia mwenyewe kuwafukuza uanachama. CHADEMA inaongozwa na katiba sio bla bla. Ndio maana akina Halima Mdee walikimbilia mahakamani basi. Ila kiukweli akina Halima walijiangusha wenyewe kwa kushindwa kuvumilia kwa muda mchache.
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Kwani hiyo kesi imefunguliwa na nani?

Amandla...
 
Muasi gani anatamani kurejea chadema. Chadema ni debe tupu linalovuma. Wakati ccm ya samia inawapa vigogo wake kamba wale malisho kwa urefu wa kamba zao chadema wamepewa kamba ya kujinyongea na samia.
Time will tell

Slaa mbona karudi kwa mlango wa nyuma?. Halafu mbona akina Halima Mdee wamekomaa mahakamani wanalilia uanachama wa CHADEMA?.

Kifo Cha CHADEMA sio leo wala kesho, alishindwa kikwete, akaja Magufuli na Sasa mama Samiah kaamua kukaa nao kwa pamoja. Kamba ya kujinyonge labda kwa CCM sio kwa CHADEMA. Chadema hawana Cha kupoteza, hawapo bungeni, serikalini na hata kwenye halmashauri na mitaa, una wanyonga kwa ajili ya Nini?
 
Kina Mdee na Mzee Slaa watasamehewa na kurudi chamani...

Labda Slaa, ila Halima na hao Wenzake hapana, kwanza kikatiba wamejifukuzisha chama kwa kufungua kesi, kuachana na usaliti.
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Mbona hujaandika hapo chini ni mganga kutoka wap,i namba hujaweka nguruwe wewe!!
 
Uamuzi wa Mbowe hauwezi pingwa na baraza kuu zaidi ya kuubariki.

Hayo unasema wewe. Baraza kuu laweza kukataa kuwasamehe mpaka waombe msamaha. Walipewa hiyo nafasi wakafanya kiburi . Hai waende ACT au CCM walipo Sasa hivi.
 
Ingekuwa hivyo angejiamulia mwenyewe kuwafukuza uanachama. CHADEMA inaongozwa na katiba sio bla bla. Ndio maana akina Halima Mdee walikimbilia mahakamani basi. Ila kiukweli akina Halima walijiangusha wenyewe kwa kushindwa kuvumilia kwa muda mchache.
Najua kwa sasa wanachama wa CHADEMA mnapitia wakati mgumu sana ila naona muendelee kula hiyo adhabu maana tukiwaambia CHADEMA ni mali binafsi ya Mbowe mnakuwa hamuelewi.
 
Ulikuwepo mahakamani leo?. Proceedings zinazofuata ni baraza la wadhamini kuhojiwa Basi. Chama kikikataa kwamba hakikuwadhamini Basi kesi inaishia hapo.
Watajua wenyewe ila mm nnachokiamini ni kwamba hayo Mambo yashaisha.
 
Mkuu mbona unaongea ujinga....ww husikiliza hotuba za LEMA na mama aliongea nini alipokuwa pale userliver?
Kwanza ni USA river not userliver, pili alisema atafuta kesi zote! Ndio maan nimekuuliz unaweza kutueleza hapa hayo madhambi ya Lema yaliyopelekea kua na kesi? Samia alisema atafuta kesi zote but hajaainisha hayo madhambi unayodai. Hivyo ni vzr ulieleze jukwaa hili hayo madhambi ya Lema!!!
 
Inaonekana uko ndotoni unaota, hata hujui kuwa Mdee na wenzake ndo wameistaki chadema mahakamani.... Kifupi hii ya Samia kukubali mualiko wa Chadema imewaumiza sana vijana wa Lumumba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom