Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.
..kesi ya Lema ilifutwa na serikali.
..kesi ya Halima anatakiwa aifute mwenyewe.
..na akiifuta uamuzi wa baraza kuwafukuza unasimama.
..ndio maana nasema ili kuweka mambo sawa ni lazima kesi iishe kwa kuwapa ushindi Halima na wenzake.
Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.
Mzee mbona hauelewi hayo mambo yashaisha,wewe kama ulitegemea viti maalum wewe hachana na huo mpango tafta kazi ya kufanya.
Hayo ni mawazo yako madogo kama mwanachama wa kawaida. Sio hivyo unavyodhani. Wewe ukiwa kama mwanachama wa CHADEMA ulidhani kuwa kina Lema huwasiliana na watu wa CCM na kusaidiana mambo mbalimbali? Ulidhani ipo siku viongozi wako watasimama majukwaani na kumsifu mwenyekiti wa CCM? Ulidhani ipo siku mwenyekiti wa CCM atakuwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya CHADEMA? Nasisitiza CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA.
Mbowe ndo CHADEMA na CHADEMA ndo Mbowe. Kamati kuu ni rubber stamp.
Uamuzi wa Mbowe hauwezi pingwa na baraza kuu zaidi ya kuubariki.
Kwani hiyo kesi imefunguliwa na nani?Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Muasi gani anatamani kurejea chadema. Chadema ni debe tupu linalovuma. Wakati ccm ya samia inawapa vigogo wake kamba wale malisho kwa urefu wa kamba zao chadema wamepewa kamba ya kujinyongea na samia.
Time will tell
Kina Mdee na Mzee Slaa watasamehewa na kurudi chamani...
Mbona hujaandika hapo chini ni mganga kutoka wap,i namba hujaweka nguruwe wewe!!Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
mbona inajulijana kuwa wanasamehewa maana hiyo ruzuku wanayopewa ni pamoja na hao wabunge wakiwafukuza ruzuku hiyo hawataipata
Uamuzi wa Mbowe hauwezi pingwa na baraza kuu zaidi ya kuubariki.
Mbowe na Mdee hawakukutana barabarani.
Najua kwa sasa wanachama wa CHADEMA mnapitia wakati mgumu sana ila naona muendelee kula hiyo adhabu maana tukiwaambia CHADEMA ni mali binafsi ya Mbowe mnakuwa hamuelewi.Ingekuwa hivyo angejiamulia mwenyewe kuwafukuza uanachama. CHADEMA inaongozwa na katiba sio bla bla. Ndio maana akina Halima Mdee walikimbilia mahakamani basi. Ila kiukweli akina Halima walijiangusha wenyewe kwa kushindwa kuvumilia kwa muda mchache.
NA KESI YAO ITAANZA KUUNGURUMA 8/3/23Mbona alishafukuzwa CHADEMA ndio kakimbilia kufungua kesi.
Watajua wenyewe ila mm nnachokiamini ni kwamba hayo Mambo yashaisha.Ulikuwepo mahakamani leo?. Proceedings zinazofuata ni baraza la wadhamini kuhojiwa Basi. Chama kikikataa kwamba hakikuwadhamini Basi kesi inaishia hapo.
Kwanza ni USA river not userliver, pili alisema atafuta kesi zote! Ndio maan nimekuuliz unaweza kutueleza hapa hayo madhambi ya Lema yaliyopelekea kua na kesi? Samia alisema atafuta kesi zote but hajaainisha hayo madhambi unayodai. Hivyo ni vzr ulieleze jukwaa hili hayo madhambi ya Lema!!!Mkuu mbona unaongea ujinga....ww husikiliza hotuba za LEMA na mama aliongea nini alipokuwa pale userliver?