Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Kwani mtu akiwa na kesi si ndio madhambi,au ww unadhani KUZINI ndo dhambi tu?.Kwanza ni USA river not userliver, pili alisema atafuta kesi zote! Ndio maan nimekuuliz unaweza kutueleza hapa hayo madhambi ya Lema yaliyopelekea kua na kesi? Samia alisema atafuta kesi zote but hajaainisha hayo madhambi unayodai. Hivyo ni vzr ulieleze jukwaa hili hayo madhambi ya Lema!!!
Inaelekea hata hujui kesi ya kina Mdee nani kaifungua na msingi wa kesi ni ni nini!Kesi itafutwa kama ilivyofutwa ya Lema. Wewe mwanachama wa kawaida kaa kimya. Sisi tuko na Mbowe.
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Ugumu upo wapi wakati alishatolewa?Ni ngumu Sana kumtoa Halima Mdee Chadema
Wamesitisha kutoa maswali ya dodoso. Naona bado ni ngumu kwenu kuelewa maana ya jambo hili.Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.
Hakuna mwanachadema mwenye akili timamu atakaeteseka kwa sababu wanaamini katika maridhianoKeshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Mzeee ww tafta namna ya kuendesha maisha nje ya siasa kama sisi,hapo hakina mdee wanarudi kwenye chama na maisha yanaenda!Wamesitisha kutoa maswali ya dodoso. Naona bado ni ngumu kwenu kuelewa maana ya jambo hili.
Hapa JF kungekuwa na ule utulivu wa zamani na huu utoto uliojaa sasa hivi haupo tungemwalika mwanasheria yeyote nguli afundishe maana ya jambo hili maana mnatafsiri tofauti na uhalisia
HUO NI UONGO!mbona inajulijana kuwa wanasamehewa maana hiyo ruzuku wanayopewa ni pamoja na hao wabunge wakiwafukuza ruzuku hiyo hawataipata
Mbumbumbu na wapotoshaji ni wengi mnoHUO NI UONGO!
Acheni ujinga, hakuna ruzuku inayotolewa kwa ajili ya wabunge wa viti maalum, ni kwa kura za urais na asilimia ya kura za majimboni.
Kesi bado inaendelea. Upande wa kina Mdee utaanza kuhoji upande wa CHADEMA. Msiwe na haraka ya kuongea.
Tulikubaliana dhambi ya usaliti haisamehewi, au..!!?Mungu anasamehe makosa makubwa na madogo iweje mwanadamu awe mgumu kusamehe?.
nani uyo asiyetenda dhambi Dunia ya leo?.duh,,!Tulikubaliana dhambi ya usaliti haisamehewi, au..!!
Hiyo siku Mama atakuwa Jijini Mwanza.Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Hivi mkutano wenyewe ni lini? Erythrocyte I have lost track!Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Hapa ndipo naamin yanayosemwa humu kua wengi humu mnaandikiwa thread au kupewa notice hivyo mnafanya kucopy na kupaste!! That's why yakija maswal juu ya ulicholeta kujibu inakua ngum!!Kwani mtu akiwa na kesi si ndio madhambi,au ww unadhani KUZINI ndo dhambi tu?.
Mmechezeshwa sebene na DJ mnabadilishiwa midundo tuKipi cha kuwaumiza CDM hapo?
Kosa ni neno tafsiri ya kisheria ila dhambi ni neno tafsri ya maandiko matakatifu.Hapa ndipo naamin yanayosemwa humu kua wengi humu mnaandikiwa thread au kupewa notice hivyo mnafanya kucopy na kupaste!! That's why yakija maswal juu ya ulicholeta kujibu inakua ngum!!
kumbe chadema bado ipo ila samia akihudhuria bawacha ndo chadema itaumia, ndio maana huwa nawambia ccm ni wapumbavu kila siku mnatuaminisha kuwa chadema imekufa leo mnasema samia akihudhuria mkutano wa bawacha chadema itaumia na sio hata kufa empty brains discuss nonsensical issues and lies while full brains discuss developmental issues.Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.
Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.
Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.
Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.
Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.
Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?
Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.
Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.