Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Mshana Jr kwa Maandalizi na Mikakati niliyoiona na ninayoiona kwa 2020 hii, Afe Mmaasai au Mmang'ati CCM analichukua Jimbo la Kawe rasmi.
Kwa kumsimamisha mcheza porno Gwaji au Mwijaku? Alitemeshwa kiazi cha Moto kipi ndio wataweza wacheza porno?
 

Very plausible. Naona hata hiyo idadi kubwa ya wagombea wa CCM ni kutokana na kuaminishwa kuwa mgombea wa CCM ndiye, automatically, atakuwa mbunge wa Kawe. Mbona imeshasemwa. Uchaguzi wa Mwaka huu utaamuliwa kwa mkono wa chuma (eti demokrasia inatuchelewesha!)

Huo wingi na miparurano ya wagombea wa CCM kwenye majimbo ni kiashiria tosha kuwa sasa mafisi yameona fursa kubwa na rahisi ya ulaji bungeni. Huhitaji ridhaa ya wananchi bali kete ni kumridhisha mtu mmoja na wapambe wake basi. Kwingine unapiga blabla za kawaida kwa malofa (wananchi!). Na kawaida yetu tutakuja kuamka tena wakati nchi iko kwenye deep s.h.
 
Mshana update taarifa mpaka jana usiku kulikuwa na wagombea 137 wa CCM jimbo la kawe.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]hii sasa ni rekodi ya mpaka mwezini na Pluto
 
CCM ni jalala..Kila mtu anataka uongozi kwa sababu asilimia kubwa wanafanya biashara kharamu..wanataka walinde maslahi yao, wanakharamu hawa!!
 
Form ikitoka moja shida, zikitoka nyingi shida, binadamu Hatuna jema
 
Ccm wa kawe wanazingua hata hawarushi ngumi,big up sana Moro kwa kupigana
Nalog off
 
Unaweza kuwa sahihi maana halima 2010 aliupata baada ya Katibu wa Mkoa wa CCM kuingiza jina la Kizigha kinyemela wanaCCM wakanuna na kumpa mdee.
Mdee anakubalika sana Kawe. Ni mtu wetu ni dada yetu na amefanya mambo mengi mazuri sana Kawe pamoja na figisu za ccm.
Tano tena kwa Mdee
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]hii sasa ni rekodi ya mpaka mwezini na Pluto
CCM watapiga pesa sana kwenye fomu , ukipiga laki laki nchi nzima kwa watiania inaweza kugonga 1.3B+ kwa Evarage ya kila Jimbo wagombea 50 na jumla ya majimbo 260+
 
Nilitamani Daudi Albert Bashite achukue fomu Kawe apambane na Mdee.
 
huu ni mwaka wa kuizika rasmi ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…