Kiteknolojia China iko sawa na nchi za Marekani na Ulaya


Una wachina hawa hawa wenye vinasaba na hawa machinga wa kichina wa kariakoo?
 
Sababu ana washirika wengi wa kuaminika hiyo ni ishara ya ushawishi mkubwa alionao
Swali langu ni kwamba mbona kwenye hiyo project ya 6th generation Marekani amesimama peke yake
 
Unaelewa tofauti ya copy and paste na innovation?

Kuna tofauti kubwa kati ya J-35 na F-35. J-35 ni twin engine na F-35 ni single engine

Zina tofauti kubwa sana kwenye mission sets, power production, avionics n.k
Yeye unabishana na mtu akiona Shap ya nje anajua na cockpits nako kunafanana
 
Wabongo hawaambii baya kuhusu west yaa west wakianguka kuna wabongo wataokaomboleza kulik wakifiwa na watoto wao .kuanguka kwa west ndo ahueni ya dunia ya tatu
 
Unaifahamu historia ya China kwa udogo tu achana hata na hii inayo wahusu wakomunisti

Wewe unaifahamu historia ya West ambao ndo watabe wa dunia hadi sasa?

In terms of economic output and strength, the gap between America and China's GDP stands at about $10 trillion.

According to the World Bank, the per capita GDP in the US is $76,329 and for China it's $13,600. That's nowhere near each other. the US GDP per capita is 5.6 times higher than for China.

Nenda huko China kalipwe peanuts bila benefits zozote. Narudia, haki anazopata janitor kiwanja ni kubwa kuliko za CEO aliyeko China. Kinachoikwamisha West sasa ni maendeleo yao in terms of rights, wages, living standards zipo juu sana sasa they work against themselves (blessing in disguise).
 
Per capita ya Monaco ni ngapi na ya marekani ni ngapi ?

Per capita ya Macau ni ngapi na ya marekani ni ngapi ?

N.b: Huwa unasoma soma magazeti,machapisho na vitabu vinavyohusu uchumi ?
 
Wazungu wa magharibi walitia mguu pwani ya Afrika mashariki miaka mingi baadae baada ya wachina kutia mguu ooh sorry ni baada ya kuiba teknolojia ya kutengeneza karatasi kutoka kwa wachina ili kuja kuwa sainisha mikataba ya kilaghai wakina chifu mangungo, ni baada ya kuiba teknolojia ya unga wa risasi na kuanza kuuwa watu hovyo hovyo duniani, nilisahau bila priting technology ya wachina wasingeweza chapisha mikataba yao ya kitapeli, nilitaka kusahau tena bila compas ya mchina wasingeweza kusafiri na vimeli vyao, Duuh hata bila hela hawa wazungu wangeweza vipi kununua watumwa kweli wasingeweza ashukuriwe mchina kuwaokoa

Wakati wachina wanafanya maajabu haya hao wamagharibi walikuwa wanakunya vichakani bado hawajitambui
 
Per capita ya Monaco ni ngapi na ya marekani ni ngapi ?

Per capita ya Macau ni ngapi na ya marekani ni ngapi ?

N.b: Huwa unasoma soma magazeti,maharishi na vitabu vinavyohusu uchumi ?

Macao gdp per capita for 2023 was $66,835. US is $76,329. In other words, Macau haifikii average per capita ya US nzima. Au ni sawa na kusema janitor wa kiwanja anahela ndefu kuliko mfanyakazi wa kawaida huko Macau. Hapo sijaongelea per capita ya county kama LA au Manhattan ambazo ni counties tu zenye watu less than 2M.

Sijui Monaco inaingiaje kwenye hii convo.

Wewe ndo ujielimishe kuhusu uchumi na jiulize kwanini wachina wengi bado ndoto yao ni kuishi kiwanja au West wakati kiwanja janitor hana mpango kabisa wa kutembelea China let alone kuishi huko.
 

Wachina walipofika waliwaachia nini nyie cha maana hata kwa bahati mbaya tu?

Bila hao wazungu na ukoloni, ambao I don't support, ungekua bushman hadi leo. Shule, hospital, barabara ngapi walijenga? Taja kimoja tu cha mchina?

Kipindi wakoloni wanakuja Africa China ilikua kama Ileje tu hawana mbele wala nyuma. Haya maendeleo yao wameyapata in the last 50yrs. Ndo maana nasema wachina walipo sasa West ilikua huko miaka 100 iliyopita. Wachina wakifikia maendeleo ya West kwa kila nyanga yani rights, wages, living standards West itakua mbali zaidi. It's as clear as the day light.
 
Kwa nini tuachiwe ? Ulitaka nao wachina wasombe babu zetu kama mbuzi au watandike viboko ucgi wazee wetu mbele ya wanao hiyo ndio alama uliyotaka watuachie ?

Unaifahamu historia ya China duniani bwana mdogo au upeo hapa ndipo ulipoishia ?
 
Umewahi fika China ? Una uhakika hakuna wamarekani hawapo China bwana mdogo ?
 
Kwa nini tuachiwe ? Ulitaka nao wachina wasombe babu zetu kama mbuzi au watandike viboko ucgi wazee wetu mbele ya wanao hiyo ndio alama uliyotaka watuachie ?

Unaifahamu historia ya China duniani bwana mdogo au upeo hapa ndipo ulipoishia ?

The term "human right" doesn't exist kwa wachina. Uliza mambo wanayowafanyia wamatumbi wenzenu kila siku au google ujionee.

Wachina in the 60s tu hapo walikua sawa na Ileje. Haya maendeleo yao ni hivi recent tu kama unaijua historia nyingine sema wewe.
 
Umewahi fika China ? Una uhakika hakuna wamarekani hawapo China bwana mdogo ?

Wapo. Jiulize wangapi wanaenda kuishi huko permanently au kutembea tu. Hata kutembea tu wanaoenda ni wachache sana. Wakati wachina wanaingia kiwanja hadi kwa kuzamia kabisa yani wanakimbia maendeleo ya nchi yao wenyewe ili wazamie kiwanja 🤣

 
Bwana mdogo Bufa rudi kijijini kwenu ileje ukatambikwe maana inaonekana una ushamba wa states na ujinga wa asili.

Nashindwa hata nijadiliane na wewe nini maana unaandika utumbo au upo high muda wote bwana mdogo maana sikuelewi
 
Bwana mdogo Bufa rudi kijijini kwenu ileje ukatambikwe maana inaonekana una ushamba wa states na ujinga wa asili.

Nashindwa hata nijadiliane na wewe nini maana unaandika utumbo au upo high muda wote bwana mdogo maana sikuelewi

Njoo kiwanja ule mema ya dunia, braza. Huko China ni Ileje iliyochangamka tu. Maza mwenyewe kacheza DV green card lottery 🤣

I rest my case.
 

China itaipita Marekani. Halafu China nayo itapitwa na India.
 
China yenyewe si sawa na China.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…