Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Una miaka mingapi bwana mdogo ?
Mdogo kuliko wewe ila maokoto zaidi yako 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi bwana mdogo ?
Kwa nini hizo kazi ngumu wasiwape nyie waafrika ?
Hivi kati ya wachina na waafrika ni watu gani wajinga ?
Wachina hata Afrika wapo unataka kusema nini ?
Kwanini China na sio IndiaIla jamaa ukishapenda kitu hua unafurahisha na kusikitisha sana, ila unatoa data ya graduate bila kuangalia idadi ya watu wa chini....wewe unataka nchi ya watu 200milion itoe graduates zaidi ya nchi yenye watu 1bilion! Inashangaza sana.
Mbona population ya India haija changiaPopulation matter....... Population kubwa ya china pia ime changia kuwa na engineers wengii than US
Maslahi. Usome chuo kiwanja uende China kulipwa $400 kwa mwezi si uzwazwa huo.
... wafanyakazi wakiwa wengi wanakuwa bei poa vilevile i.e cheap Engineers, cheap Technicians ....!Umemuelewa Tim Cook alichosema hapa?
No supply chain in the world is more critical to us than China.
We're not in China for low labor costs....In the United States if we have a meeting of tooling engineers and we might not fill a room. In China, we would fill multiple football fields."
Huyu ana ile notion ya cheap labor ndo itakuza tech na uchumi kwan hata wazungu waafrika wangap wako ulaya wawatumie wamfikie China au hujawahi kuwaza hlo dunia ya Leo cheap labor are no longer a solely factor for economic growth due to advanced prod technology and logistics hata ungeosema strong purchasing power for domestic market kama cheap labor na tz tupo tele hatuna kaz mbona we stagnatUmemuelewa Tim Cook alichosema hapa?
No supply chain in the world is more critical to us than China.
We're not in China for low labor costs....In the United States if we have a meeting of tooling engineers and we might not fill a room. In China, we would fill multiple football fields."
Umesema vyemadunia ya Leo cheap labor are no longer a solely factor for economic growth due to advanced prod technology and logistics
At least geo political economy umeitendea haki big up tunataka mtu at least add kitu kimoja tujifunze aliekua anasikia heresy asome apite tu ili nae ajifunze aelimishe watu vijiweniSupply chain za Marekani, Ulaya na India hazijaifikia China
Manufacturing ecosystem iliyoko China ni ya hali ya juu
Ndio maana bado hata hizo factories zilizopo India, Vietnam, Indonesia hata Marekani na Ulaya bado zinaimport critical components au parts kutoka kwa Chinese suppliers
Propaganda 100% angali CNN fox Newyork times wakiamua kukipaka rangi kitu chao utadhani kimeshushwa kutoka mbinguni uje kwenye uhalisia ndio kituko sasa..tuliaminishwa isreli air defence force is impenetrable iran amepiga target kutokea 2000km na yakalenga shabah zikaanza tena propaganda amna mtu aliyekufaKwa kweli Ila west wanacho Wazidi wachina ni propaganda tu
Hapa bongo mtu akisema kibaya kuhusu usa ..anasonineka kuliko akifiwa na mtoto wakeAt least geo political economy umeitendea haki big up tunataka mtu at least add kitu kimoja tujifunze aliekua anasikia heresy asome apite tu ili nae ajifunze aelimishe watu vijiweni
Hapa bongo mtu akisema kibaya kuhusu usa ..anasonineka kuliko akifiwa na mtoto wake wajua usa ameshaakuwa mdembedo na uchumi na mfumuko wa bei atafika mahali atashindwa kuhande kama zake za kujeshi zilizotapaaka kila pembe ya dunia akikokomaa ataanguka nazo
Wanazalisha wengi kwa idadi lakini sio kwa ubora tofauti na hao wanaozalisha wachache kwa idadi lakini wenye ubora wa juu.Kiwanja hawana uwezo wa kuzalisha kama China.
Upande wa graduates wa STEM (Science, Technology, Engineering, Maths) China ndiyo inaongoza duniani
Mwezi June China imezalisha engineers 1,700,000 wakati Marekani ni 120,000 tu
Mind the gap
Population size matters. Vyuo Bora duniani vipo wapi? Wachina wote ndoto yao ni kuja kusoma na kuishi kiwanja waache kazi za kitumwa huko.
Wanazalisha wengi kwa idadi lakini sio kwa ubora tofauti na hao wanaozalisha wachache kwa idadi lakini wenye ubora wa juu.
China hawana uvumbuzi wowote ila ni kunakili tu na kuiba teknolojia kwa wavumbuzi. Angalia ile ndege yao ya J-35 ni photocopy ya F-35 ya Marekani..!!Wewe ubora unaupimaje? Tuanzie hapo kwanza
China hawana uvumbuzi wowote ila ni kunakili tu na kuiba teknolojia kwa wavumbuzi. Angalia ile ndege yao ya J-35 ni photocopy ya F-35 ya Marekani..!!
Kumbuka pia china inawatu bilion moja na million mia nne na marekan wapo milion mia tatuKiwanja hawana uwezo wa kuzalisha kama China.
Upande wa graduates wa STEM (Science, Technology, Engineering, Maths) China ndiyo inaongoza duniani
Mwezi June China imezalisha engineers 1,700,000 wakati Marekani ni 120,000 tu
Mind the gap