Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #41
Hii excuse sasa imebaki kutumiwa na wachache sasa hivi wewe mmoja wao
Huwa nawashangaa sana wanaotumia hiyo excuse
Imagine mtu kama Tim Cook wa Apple ameweka wazi kuhusu hilo wako China kwa sababu ya uwepo wa kwa sababu kuu 2 supply chain na skilled labourforce
Ingekuwa ni suala la low labor cost kuna mataifa yana low labor cost wangeenda kuwekeza huko
Imagine mtu kama Tim Cook wa Apple ameweka wazi kuhusu hilo wako China kwa sababu ya uwepo wa kwa sababu kuu 2 supply chain na skilled labourforce
Ingekuwa ni suala la low labor cost kuna mataifa yana low labor cost wangeenda kuwekeza huko