Kitendo Cha Israel kufanya Cyber attack kwenye mifumo ya nyuklia na silaha za Iran amewahi control ya silaha anaweza kuwalipua kwa silaha zao

Kitendo Cha Israel kufanya Cyber attack kwenye mifumo ya nyuklia na silaha za Iran amewahi control ya silaha anaweza kuwalipua kwa silaha zao

Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.

Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.

MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.

Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria
Cyber ikabonyeze button 😄 we uko sawa lakini Cyber ni computer code iwe na vidole kweli hi babkubwa.
 
Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.

Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.

MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.

Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria
Au siyo,rahisi tu hivyo kama kuzima taa!!?
 
Israel na Iran hawawezi kupigana, ushawahi kuona wapi kwenye mapigano mtu anakupiga kwanza afu anakuacha eti mpaka wewe urudishe, wanakua kama watoto bana!!!
Nilipokua mdogo mtaani kulikua na kamchezo cha watoto kurusha mawe juu ya bati,mimi ilikua nikisikia jiwe ya bati letu basi nitafanya uchunguzi wa kitoto hadi nijue mtoto gani alitupia jiwe kwenye bati letu na nikimjua kama ni juma ndie aliepiga bati letu,na mimi naenda kulipiga bati lao,sasa israel anajua iran ndie alierusha kombora tel aviv,iran ndie anawafund hamas na hezbollah kwanini aendi kuipiga iran ana kazi ya kuipiga syria ishajichokea,lebanon na gaza 😂
 
Hilo tukio limethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la Iran ni Dhaifu sana
 
Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.

Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.

MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.

Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria
Reverse computer engineering
 


Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.

Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.

MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.

Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria


Labda akawabandike wanajeshi wake wasenge , papuchi . Hizbullah anamshinda hapo kabaki kulipua masoko .

1728877439904.jpeg


Israel's First Openly Transgender Soldier
 
Back
Top Bottom