Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Wavaa kobaz akili zime amia matterCorn tu
 
Sawa tufanye Zayuni hajafanikiwa kushambulia chochote,kwanini magaidi hayakuweza kumzuia aingie kwenye ardhi yao,mpaka akaingia na kutoka bila kumkamata huoni kuwa mmevuliwa nguo mchana kweupe,yaani nyinyi mlirusha makombora mkiwa kwenu yeye amekuja mpaka chumbani kwako amefanya anachofanya na ameondoka muda anaotaka hiyo ni aibu ya karne.
 
Sawa tufanye Zayuni hajafanikiwa kushambulia chochote,kwanini magaidi hayakuweza kumzuia aingie kwenye ardhi yao,mpaka akaingia na kutoka bila kumkamata huoni kuwa mmevuliwa nguo mchana kweupe,yaani nyinyi mlirusha makombora mkiwa kwenu yeye amekuja mpaka chumbani kwako amefanya anachofanya na ameondoka muda anaotaka hiyo ni aibu ya karne.

Magaidi ya Kizayuni yalirusha makombora kutokea katika anga la Iraki siyo Irani
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Hivi kama wewe ungekuwa mtoto au mdogo wa wale marehemu wa Iran waliouawa na hilo shambulio, ungebakia na hayo maneno kuwa shambulio limefeli? Au kwa sababu hukuguswa na hivyo vifo ndiyo maana ni rahisi kutoa kauli yoyote ile?

Maadam shambulio hilo limeondoa ubai wa binadamu, ni shambulio baya.
 
70% ya waisrael hawaamini uwepo hata wa huyo Mungu. Muasisi wa hilo taifa David Ben Gulion alikuwa atheist.

Mashabiki wengi wa kikristo hawawajui wanaowashabikia. Hata Benjamin Netanyahu baba yake hilo jina Netanyahu alijipa walipohamia hapo middle east. Jina lake ni Benzion Mileikowsky

Mambo ni mengi kuliko muda.
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Kwenye Torati yao ni rukhusa kupigana vita na yule anaetaka kukuuwa siku ya Sabato!
 
Hivi kama wewe ungekuwa mtoto au mdogo wa wale marehemu wa Iran waliouawa na hilo shambulio, ungebakia na hayo maneno kuwa shambulio limefeli? Au kwa sababu hukuguswa na hivyo vifo ndiyo maana ni rahisi kutoa kauli yoyote ile?

Maadam shambulio hilo limeondoa ubai wa binadamu, ni shambulio baya.

Hatujajua vifo vyao vimetokana na direct hit ya missiles za Israel, au mshtuko, au Debris ya intercepted missiles etc
 
70% ya waisrael hawaamini uwepo hata wa huyo Mungu. Muasisi wa hilo taifa David Ben Gulion alikuwa atheist.

Mashabiki wengi wa kikristo hawawajui wanaowashabikia. Hata Benjamin Netanyahu baba yake hilo jina Netanyahu alijipa walipohamia hapo middle east. Jina lake ni Benzion Mileikowsky

Mambo ni mengi kuliko muda.
Unajuaje labda alikuwa anaficha utambulisho wake halisi alipokuwa nje ya Israeli kwa sababu anazozijua yeye?
 
Sabato mwisho saa kumi na mbili au kumi na moja kama sikosei.

Wao walishambulia saa ngapi?
 
Back
Top Bottom