Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

Msikilize myahudi mwenyewe utajua kua Israel ni taifa Kidini au La Kipagan.
Ukimaliza msikilize Imaam
Screenshot_20241027_205637_Google.jpg
 
70% ya waisrael hawaamini uwepo hata wa huyo Mungu. Muasisi wa hilo taifa David Ben Gulion alikuwa atheist.

Mashabiki wengi wa kikristo hawawajui wanaowashabikia. Hata Benjamin Netanyahu baba yake hilo jina Netanyahu alijipa walipohamia hapo middle east. Jina lake ni Benzion Mileikowsky

Mambo ni mengi kuliko muda.
Hivi kahawa inalewesha? Maana Maustaadhi mkishakunywa kahawa huwa mnapayuka tu! Kwamba wewe unaijua vema Israel na kumjua Netanyau kuliko waisrael wenyewe!? Aya, wasalimie Kyabakali.
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Uvivu wa kusoma dini.
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Wewe acha uzombi. Israel is a Democracy; Serikali yake haina dini. Ila inaruhusu watu wake waamini kile wanachoamini. Kuna Judaism, kuna Islam (wanapata 20%) kuna christian ( 2%)kuna Bahai kuna Atheists
Hivyo, usidanganywe kuwa Serikali ya Israel ina dini fulani
 
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.

Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.

Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Nikuulize,kwenye sabato hawakupigana?

yaani Enzi za biblia,Sabato ikifika walikuwa hawapigani vita?
 
Ni Taifa la atheist na illuminati,freemason, wakristo tena wa huku kiafrika ndio wanawapa hio title ya taifa teule. tizama mafreemason wakubwa ni wao na ndio wanaandaa ujio wa anti christ kwa hivi vita siku mnyama akija unategemea wakristo wapinge tayari wanawaamini wayahudi? Dhiki kuu inakuja ikiandaliwa njia na US na hao mazayuni, wapo wayahud wema na walio tayari kuishi na wenzao hapo palestine tatizo ni mizayuni
Illuminati na Freemason ni watu gani?
Unawajuaje Illuminati na Freemason?
Unayo mifano ya watu Illuminati na Freemason??
 
Kwa iyo kama umevamiwa usiku na majambazi siku ya Sabato, wewe na mke wako na watoto, mtulie tuu majambazi yafanye yao yaondoke? 😁
 
Illuminati na Freemason ni watu gani?
Unawajuaje Illuminati na Freemason?
Unayo mifano ya watu Illuminati na Freemason??
Hio ni mada kubwa ila itoshe kusema hao Israel wanamsubiri masihi hawaamini aliyekuja kua ndie hivyo atakae kuja wao ndio wanamuandalia makao hivyo hilo eneo hawataki achia hata damu imwagike vipi, sasa basi Mungu kashawapa mtihani kwakua Masihi aliyekuja walimkataa na walitaka kumuua(islam) na walimuua according to Christians, huyo wanamuandalia makazi ni Antichrist ambaye ni mtihani mwingine kwa ulimwengu Kabla YEsu sahihi hajarudi, hivyo wakristo wengi na wayahudi watamwamini kwakua atakua na miujiza mingi mno hivyo yeye atakua ni kuchapa tu mihuri wafuasi hao ambao wote waliopitia mihuri hio ni motoni japo duniani wao watastarehe kuliko mfano, bwana kaja kuwachukua ni mtihani amani kila Ijumaa mwislamu anatakiwa asome au kusikiliza surat Al kahf(18) kumuomba Mungu atuepushe. Kwa kifupi hao freemason ndio wako kwenye ajenda hio hapo mashariki ya kati.
 
Back
Top Bottom