Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #21
Hata kama, wapo
Na Israel ya sasa sio taifa la kidini.
Sasa linakuwaje taifa teule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama, wapo
Na Israel ya sasa sio taifa la kidini.
Nani anasema ni taifa teule?Sasa linakuwaje taifa teule?
... na wakati mwingine vita ni abada ujue!Vita haina dini ujue
Unaelewa English lakini? Tafuta mtu akutafsilie huyo myahudu anachosema.Wavaa kobaz akili zime amia matterCorn tu
Ni Taifa la atheist na illuminati,freemason, wakristo tena wa huku kiafrika ndio wanawapa hio title ya taifa teule. tizama mafreemason wakubwa ni wao na ndio wanaandaa ujio wa anti christ kwa hivi vita siku mnyama akija unategemea wakristo wapinge tayari wanawaamini wayahudi? Dhiki kuu inakuja ikiandaliwa njia na US na hao mazayuni, wapo wayahud wema na walio tayari kuishi na wenzao hapo palestine tatizo ni mizayuniIsrael sio taifa la kidini
Dini ya kiyahidi ndio dini gani na alianzisha nani? Yaani mnaaza kuwapachika watu idea za kijinga kama zenu wakati wao hawajawahi waambia wana hiyo dini.Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.
Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.
Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Point ni kwamba wapo.Wa kumulika kwa tochi
Hili la sasa!! Nani kasema??Sasa linakuwaje taifa teule?
Sasa una kuja kuniuliza swali kama ilo we msoma madrasa ume tumia nini kufikiria ? Isije ikawa ni kile nilicho toka kumwambia mwenzio hapo juuUnaelewa English lakini? Tafuta mtu akutafsilie huyo myahudu anachosema.
Ukifuatilia kwa makini utagundua hili taifa lilianzishwa kimikakati.70% ya waisrael hawaamini uwepo hata wa huyo Mungu. Muasisi wa hilo taifa David Ben Gulion alikuwa atheist.
Mashabiki wengi wa kikristo hawawajui wanaowashabikia. Hata Benjamin Netanyahu baba yake hilo jina Netanyahu alijipa walipohamia hapo middle east. Jina lake ni Benzion Mileikowsky
Mambo ni mengi kuliko muda.
Israel walipata somo kipindi cha "Yom Kippur War" na waliahidi hawatarudia kufanya makosa hayo!Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.
Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.
Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Jifariji, picha za satellite zipo,zimepigwq irqniMagaidi ya Kizayuni yalirusha makombora kutokea katika anga la Iraki siyo Irani
Israel walipata somo kipindi cha "Yom Kippur War" na waliahidi hawatarudia kufanya makosa hayo!Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.
Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za kutubu. Hata hivyo tunaona kutubu kwenyewe wanavunja sabato. Hii inaonyesha kkuwa Zayuni hutumia slogan za kidini ili kudanganya ulimwengu ila haheshimu hata misingi ya dini.
Shambulizi la Zayuni limefeli kwa kiasi kikubwa, wamebaki maneno maneno maneno. Iran kwa ustadi mkubwa sana imepangua shambulizi lao, sasa hivi wamebaki wanawayawaya!
Huo ni uwongo, Iraq haikuruhusu anga lake kutumiwa na Israel kuishambulia Iran.Magaidi ya Kizayuni yalirusha makombora kutokea katika anga la Iraki siyo Irani