Ni zaidi ya mara tano Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma Juma anatamka au kutaja kwa nafasi zao Makamu wa Rais kuwa Makamu wa pili wa Rais .
Je, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tuna Makamu mmoja tu wa Rais ;
Kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 47.-(1) inasema; "Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla",
Sheria ya 1994Na.34 ib.1,
Sheria ya 2000Na.3 ib.9.
"MKAMU MMOJA
WA RAIS",
Katika hii video Profesa Ibrahim Juma Juma kwa nyakati tofauti amekuwa akimtaja Makamu wa Rais wa Tz kama Makamu wa pili wa Rais.
Amefanya hivyo kwa Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Hayati Magufuli na amefanya hivyo kwa Dkt Isdor Mpango na kumtaja kuwa Makamu wa pili wa Rais.
Je ni ulimi kuteleza ?
Ni Makusudi
Au anajua sana Katiba na sheria zake mbona amekuwa akitaja bila woga?
Kipindi cha kimoja , Rais wa Zanzibar alikuwa makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu alikuwa makamu wa pili wa Rais... Mh. John Samwel Maleccela ndio alikuwa Waziri Mkuu wa mwisho kuwa na cheo hicho cha Makamu wa pili wa Rais.I stand to be corrected.
Wasalaam,
Ni zaidi ya mara tano Jaji Mkuu wa Tanzanis Prof Ibrahim Juma Juma anatamka au kutaja kwa nafasi zao Makamu wa Rais kuwa Makamu wa pili wa Rais .
Je Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tuna Makamu mmoja tu wa Rais ;
Kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 47.-(1) inasema; "Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla",
Sheria ya 1994Na.34 ib.1,
Sheria ya 2000Na.3 ib.9.
"MKAMU MMOJA
WA RAIS",
Katika hii video Prof Ibrahim Juma Juma kwa nyakati tofauti amekua akimtaja Makamu wa Rais wa Tz kama Makamu wa pili wa Rais
Amefanya hivo kwa Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Hayati Magufuli na amefanya hivo kwa Dr Isdory Mpango na kumtaja kuwa Makamu wa pili wa Rais.
Je ni ulimi kuteleza ?
Ni Makusudi
Au anajua sana Katiba na sheria zake mbona amekua akitaja bila woga?
Wasalaam,
Ni zaidi ya mara tano Jaji Mkuu wa Tanzanis Prof Ibrahim Juma Juma anatamka au kutaja kwa nafasi zao Makamu wa Rais kuwa Makamu wa pili wa Rais .
Je Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tuna Makamu mmoja tu wa Rais ;
Kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 47.-(1) inasema; "Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla",
Sheria ya 1994Na.34 ib.1,
Sheria ya 2000Na.3 ib.9.
"MKAMU MMOJA
WA RAIS",
Katika hii video Prof Ibrahim Juma Juma kwa nyakati tofauti amekua akimtaja Makamu wa Rais wa Tz kama Makamu wa pili wa Rais
Amefanya hivo kwa Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Hayati Magufuli na amefanya hivo kwa Dr Isdory Mpango na kumtaja kuwa Makamu wa pili wa Rais.
Je ni ulimi kuteleza ?
Ni Makusudi
Au anajua sana Katiba na sheria zake mbona amekua akitaja bila woga?