Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hapa ndio uone blander aliyoifanya Nyerere ameleta mvurugano tu,Bahati nzuri ni kuwa Watanzania wengi ni mazezeta yatufatilii wala kujali ingekuwa Nchi za Watu wanaojielewa pasingetosha.hivi Makamu wa Rais, na Rais wa Zenji, nani mkubwa? mbona sijaelewa hapo.
Muungano wa udongo huuHata huyo waziri mkuu mamlaka yake yanaishia Tanganyika kule Zanzibar hana ubavu wa kumwajibisha yeyote.
Zamani Rais wa Zanzibar ilikuwa akitaka kugawa mipaka upya ya wilaya na mikoa basi lazima ashauriane na Rais wa muungano lakini baadaye wakafanya marekebisho ya katiba wameondoa kipengele hicho sasa anaamua bila ya kushauriana na Rais wa muungano, yaani kwa ujumla muungano wetu hauweleweki kabisa.
binafsi sioni madhara kwangu, kwasababu moyoni mwangu zenji huwa nahesabu sawa na wilaya fulani tu, na rais wao huwa sihesabu kama rais wangu au kama mtu mwenye wadhifa fulani kwangu.Hapa ndio uone blander aliyoifanya Nyerere ameleta mvurugano tu,Bahati nzuri ni kuwa Watanzania wengi ni mazezeta yatufatilii wala kujali ingekuwa Nchi za Watu wanaojielewa pasingetosha.
Anakosea sana.... Ubaya hakuna hata namna ya kumuuliza. Huyo Makamu wa pili anayemtambulisha ni nani?Ni makosa..period. Nilidhani ameteleza ulimi. Zanzibar ndio wana nafasi mbili za makamo ambazo Katiba ya Muungano haizitambui.
Huyu na u-profesa wake na cheo chake cha ujaji..., anafanya "makosa" ya namna hii? Na hata hakuna wa kumuuliza swali imekuwaje?Ni makosa..period. Nilidhani ameteleza ulimi. Zanzibar ndio wana nafasi mbili za makamo ambazo Katiba ya Muungano haizitambui.
Yalikua mawazo yangu tuKwa sheria ipi ?
Kiufupi kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Makamu wa Rais wa Tanzania+Jaji Mkuu wa Tanzania+Waziri Mkuu+Spika wote ni Wakubwa kuliko Rais wa Zanzibar maana Katiba imewatambua wao kushika Mamlaka ya Nchi kama Rais hayupo.
Lakini ukweli ni kuwa hao wote kule Zanzibar hawatambuliki-sasa huo ni Muundo gani wa Muungano??
Km yey mwenyew kazubaa watu wanamfunika gunia tu maisha yanaendeleaHuyu jaji anapaswa kufutwa kazi na kufunguliwa mashitaka. Anamdogosha VP wetu
Tumwambie asirudie kufanya "deliberate mistakes" more than once because it's not acceptable!kwahiyo huyu Ibrahim juma tumfanyeje ?
Kweli Mkuu!Unafanyika kiitifaki tu lakini kikatiba kuna utata
Ngoja nikitafute niki upload Mkuu.Kifungu kipi cha katiba mkuu ?
Ulete katiba latest edition .Ngoja nikitafute niki upload Mkuu.
N'est pas probleme!Ulete katiba latest edition .
Umeshaipata mkuu ?N'est pas probleme!
Ni kweli kabisa viatu havimtoshi ,haijui mahakama vizuriCJ wetu siyo mtu makini na ile nafasi aliipata kwa itikadi ya ukanda. Japo ni mtu mwema kama binadamu na mwalimu mzuri wa sheria, lakini kuwa CJ ni mzigo mkubwa sana kwake.