Kwahiyo ukishakua haukubali unachukua hatua gani au kulialia mtandaoni?Kwanini akosee kila mara mkuu? Rais Samia must behave. Amepora rasilimali za Tanganyika amewapa wajomba zake waarabu. Naona sasa amefika mbali hadi anapora vyeo vya watanganyika anawapa wazanzibar kimyakimya. Hatutakubali. Nchi imefika hapakwa sababu ya kuongozwa na Rais kutoka nchi ya kigeni (Zanzibar). Nchi ingekuwa inatawaliwa na mtanganyika mwenye uchungu na nchi yake, isingefika hapa.
Ametumia Desa lisilo sahihi!this is not fair, CJ kote huko ni ameteleza tuu ulimi!。
P
Amekwishajibu tayariMuulize Samiaagain2025 ndiye anajua vizuri jambo hili mkuu.
Tunajaribu kwanza kutoa somo la kijitambua kwa wananchi. Mkishakuwa wengi tutamia nguvu ya umma kumuadabisha bi Kiroboto hadi ashike adabu yake mkuu.Kwahiyo ukishakua haukubali unachukua hatua gani au kulialia mtandaoni?
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna tetesi huenda Makamu wa Rais wa JMT ni Rais wa Zanzibar lakini wakubwa hawataki kutuambia ukweli. Hebu sikiliza mwenyewe hapo chini utafakari.
View attachment 3260960
MAONI YANGU
Rais Samia ameibinafsisha Tanganyika anataka kuigeuza kuwa koloni la Zanzibar. Tazama ameamua kuchukua cheo cha umakamu wa Rais na kumpa ndugu yake (Rais Mwinyi) kimyakimya. Huyu mama inatakiwa mwaka huu tumpumzishe uongozi arudi nchini kwao Zanzibar atuachie nchi yetu.
Nimefikiri kwa haraka kidogo nikajiuliza swali,kama raisi wa Zanzibar ndiye makamu wa kwanza wa raisi na makamu wa raisi anayetambuliwa kama makamu wa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ndiye makamu wa raisi wa pili as per CJ,kwanini raisi alipofiRaisi vipi wakati raisi ni mwinyi. Usituchoshe.
Hiyo ilikua issue ya utambuzi na hiyo ni bara. Nothing else.
Laiti ungelijua, mimi huwa nafanya kazi ya uandishi na utangazaji kwa kujitolea tuu for the love of it,huwa silambi asali na silambishwi asali。Mayala tangu uanze kulamba asali kwenye vibahasha vya Press Umekuwa mtu wa ajabu sana
J. Kikwete aliwahi kusema atakuja rais ambaye ataiweka pembeni katiba.this is not fair, CJ kote huko ni ameteleza tuu ulimi!。
P
Ni kweli Utamshikisha adabu nyuma ya keyboardTunajaribu kwanza kutoa somo la kijitambua kwa wananchi. Mkishakuwa wengi tutamia nguvu ya umma kumuadabisha bi Kiroboto hadi ashike adabu yake mkuu.
Huu muungano ni JANGA Kwa watanganyika
Na tayari ameishakuja. Ni Saa100.J. Kikwete aliwahi kusema atakuja rais ambaye ataiweka pembeni katiba.
Title ya raisi wa zenji kua ni makamo wa jmt ilikufa mwaka ganithis is not fair, CJ kote huko ni ameteleza tuu ulimi!。
P
Nani ana uhakika na clip labda imechakachuliwa.Mimi sio ccm lakini ni muumini wa ukweli;
1.. Iweje umsingizie Samia kuwa ndiye aliyebuni hiyo nafasi ya makamu wa pili ilhali inaonyesha wazi ni makosa ya jaji mkuu tena aliyaanza tangu enzi za Magufuli?
Ukijibu hili swali nitakuuliza la pili
Hivi Mzee Mwinyi alikuwa mtu wa Bara ama Visiwani?Sheria haijavunjwa eeh? Una shida kichwani mwako mkuu. Inawezekanaje raia kutoka nchi ya Zanzibar (Samia Suluhu) aje kutawala nchi ya Tanganyika? Uliwahi kuona mtanganyika hata mmoja anatawala nchi ya Zanzibar?
Kwakweli watanganyika tunaonekana kama vile hamnazowa-Tanganyika wamekuwa mazombie kwelikweli. Nafikiri ule Mwenge unaozungushwa huharibu fahamu za wanadamu!
WATANGANYIKA tuamke kutoka usingiziniMuungano huu wa kikanyaboya ni janga la taifa la Tanganyika. Tangu nchi hii ianze kungozwa na Rais wa kigeni, kuna mambo ya ovyo sana yanafanyika.
Kaka usitake tukutajie hapa orodha ya asali ulizo lamba!Laiti ungelijua, mimi huwa nafanya kazi ya uandishi na utangazaji kwa kujitolea tuu for the love of it,huwa silambi asali na silambishwi asali。
P