Haya mtaalamu, nenda kapige kura,au jiandae kuingia road.Nyoko. Eti uwongo hauta kusaidia? Kwa taarifa yako tu mtafuta max melo.
Yeye mwenyewe kakiri. Na jana waataalam tumechek kwenye system maalum ni kweli.
So huniambii kitu bro.
Kajenga kwa hela yake ya mfukoni?Ufike salama ndugu, uteleze kwenye barabara zilizojengwa chini ya uongozi wa JPM! Ukifika Mungu akuongoze ktk upugaji kura wako!
LEO ni kuoneshana nani anafaa kukaa madarakabni na nani akakae chatoTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Kwahiyo lissu mnampigia debe ili aje kufanya kipi?Barabara zinajengwa kwa kodi nnayolipa mwenyew wala sio hisani ni wajibu wao
Tunataka taifa hili liongozwe na akili mpya maana akili ya CCM haina akili tena. Bila aibu unaongoza taifa zaidi ya miaka sitini bado unajisifia kujenga barabara tu, tuwape miaka mingapi zaidi mtakua mmemaliza barabara?
wao wanajiona ndio miungu watu humu nchini wanataka kuabudiwawaohapo kwenye App store ndo nimekwazika kulicho chochote jaman hivi kweli mtu unaenda kufungiaa app store
kwani wewe unatakaje labda ?Kwahiyo lissu mnampigia debe ili aje kufanya kipi?
yaani ni hiviii matokeo tutayapata tu kwa shari au kwa heri wakilianzisha tunalimalizatena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Unaonaje tukiungana pamoja kumpa kura Tundu Lisu ili tushuhudie kwa pamoja atakayoyafanyaKwahiyo lissu mnampigia debe ili aje kufanya kipi?
Hata hivyo Kama una akili kidogo tu,zitatosha kukujuza kuwa Jf ni minor sana ikilinganishwa na hiyo mitandao iliyopigwa chini. Asilimia kubwa ya nyuzi zinazoanzishwa humu chanzo chake ni twitter, raia wanachungulia tweets za viongozi uchwara wao kule Kisha wanakimbilia kuanzisha thread humu.Nyoko. Eti uwongo hauta kusaidia? Kwa taarifa yako tu mtafuta max melo.
Yeye mwenyewe kakiri. Na jana waataalam tumechek kwenye system maalum ni kweli.
So huniambii kitu bro.
Acha kubweka Jf, nenda kalianzishe Uraiani huko.yaani ni hiviii matokeo tutayapata tu kwa shari au kwa heri wakilianzisha tunalimaliza
sio kila unayemuona JF ukadhani yupo chumbani hata hao wanaoripoti vita huwa wapo vitani ndio maana unapataga matukio ya liveAcha kubweka Jf, nenda kalianzishe Uraiani huko.
Asilimia kubwa ya nyuz zinatokana na twitter? Hahaha nimecheka sana. Based on what bro?Hata hivyo Kama una akili kidogo tu,zitatosha kukujuza kuwa Jf ni minor sana ikilinganishwa na hiyo mitandao iliyopigwa chini. Asilimia kubwa ya nyuzi zinazoanzishwa humu chanzo chake ni twitter, raia wanachungulia tweets za viongozi uchwara wao kule Kisha wanakimbilia kuanzisha thread humu.
[emoji117]Ndio maana tangu mitandao mingine ifungwe,Jf imegeuka uwanja wa nyuzi za malalamiko na si kujadili mambo yanayoendelea kuhusu uchaguzi kama ilivyozoeleka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbwembwe za Jf bwanaππsio kila unayemuona JF ukadhani yupo chumbani hata hao wanaoripoti vita huwa wapo vitani ndio maana unapataga matukio ya live
Nyuzi zenu hatuzioni tena tangu ile mitandao ifungwe,mmebaki kuanzisha nyuzi za malalamiko tu.Asilimia kubwa ya nyuz zinatokana na twitter? Hahaha nimecheka sana. Based on what bro?
Yaan ww unapima popularity ya social meadia kupitia post? Nigga pls.. grow up man. Social meadia hazipimei kwa post. Zinapimwa kwa idad ya watu.
Jf used to be minor.. but it is a growing sm..
Kuhusu sijui post za malalamiko..
Nklwambie tu i dont give a flying fuk about hayo malalamiko. Hayanihusu.
Dictator uchwara huu