Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Nyoko. Eti uwongo hauta kusaidia? Kwa taarifa yako tu mtafuta max melo.
Yeye mwenyewe kakiri. Na jana waataalam tumechek kwenye system maalum ni kweli.

So huniambii kitu bro.
Haya mtaalamu, nenda kapige kura,au jiandae kuingia road.
 
Ufike salama ndugu, uteleze kwenye barabara zilizojengwa chini ya uongozi wa JPM! Ukifika Mungu akuongoze ktk upugaji kura wako!
Kajenga kwa hela yake ya mfukoni?
 
Hawa ndiyo kila kukicha walikuwa wanapigiwa debe na Mwanakijiji! Sijui kapotelea wapi nguli huyu wa kutetea mateso na mauaji
 
LEO ni kuoneshana nani anafaa kukaa madarakabni na nani akakae chato
 
Kwahiyo lissu mnampigia debe ili aje kufanya kipi?
 
Walisema kuwa RA wamemfunga Jamming divice, hawezi kuwa hacked, na kuwa wanatekiniko timu.
"Ngoja tuonyeshane makali" 900 itapendeza voice
 
Nyoko. Eti uwongo hauta kusaidia? Kwa taarifa yako tu mtafuta max melo.
Yeye mwenyewe kakiri. Na jana waataalam tumechek kwenye system maalum ni kweli.

So huniambii kitu bro.
Hata hivyo Kama una akili kidogo tu,zitatosha kukujuza kuwa Jf ni minor sana ikilinganishwa na hiyo mitandao iliyopigwa chini. Asilimia kubwa ya nyuzi zinazoanzishwa humu chanzo chake ni twitter, raia wanachungulia tweets za viongozi uchwara wao kule Kisha wanakimbilia kuanzisha thread humu.

πŸ‘‰Ndio maana tangu mitandao mingine ifungwe,Jf imegeuka uwanja wa nyuzi za malalamiko na si kujadili mambo yanayoendelea kuhusu uchaguzi kama ilivyozoeleka.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Asilimia kubwa ya nyuz zinatokana na twitter? Hahaha nimecheka sana. Based on what bro?

Yaan ww unapima popularity ya social meadia kupitia post? Nigga pls.. grow up man. Social meadia hazipimei kwa post. Zinapimwa kwa idad ya watu.

Jf used to be minor.. but it is a growing sm..
Kuhusu sijui post za malalamiko..

Nklwambie tu i dont give a flying fuk about hayo malalamiko. Hayanihusu.
 
Nenda upige kura acha ujinga wa kulia, humu hatupigi kura
 
Duh,nadhani sasa safari ya watanzania ni ngumu bado.ila c kwamba hayana mwisho.
 
Nyuzi zenu hatuzioni tena tangu ile mitandao ifungwe,mmebaki kuanzisha nyuzi za malalamiko tu.
πŸ‘‰Ukubali au ukatae, Jf inaathirika pia kutokana na swala la mitandao mingine kuwa under control.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…