Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Yule mzushi wa Twitter ameufyata. Kesho kura kwa JPM. Nimemsamehe alonikwaza
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...
Kwan unadhani wao wanategemea kura halali?, ndo maana unaona wanakiburi cha kufanya lolote bila khofu.
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)..
Yaani leo hata wale waliokuwa wameziba masikio kuhusu uovu wa magufuli leo wameipata.
 
tena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.

hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Shukuru vpn hata huo ujinga usingeleta hapa.
 
Kwenda we fala . Hakuna cha VPN wala mavi. CCM’s time . Mitano tena oyeee
Mla makande asubuhi asubuhi. Mna maana basi mnakikakamua hapa wakati hata pesa ya supu hamna. Mwenzenu sengerema kafa kwa makande mmeshamzika?
 
Mwisho wako wa majungu umefika wacha kulialia kama kasuku. Mlikolalia ndio tumeamkia, si mlijipanga kupotosha na kujifanya mkwara wenu upo juu sasa muda umefika mbichi zinajulikana.
Ndio maana Goooner tunafungwa kumbe wewe ni Lumumba FC
 
Suala ni Mipango yenu ya kibwege ya vurugu. Mmefeli mashoga tumebaki mababa yao. Wacha tuwakeree

Adjustments.jpg
 
Back
Top Bottom