Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Kesho siku ya mapumziko, tulia nyumbani na familia yako wacha kiherehere.Majigambo ya wanachama 17m afu unafunga mitandao kwa wapinzani 5m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho siku ya mapumziko, tulia nyumbani na familia yako wacha kiherehere.Majigambo ya wanachama 17m afu unafunga mitandao kwa wapinzani 5m
Si unaweza download kupitia googlePlay store nayo imezimwa kwa sababu inatoa mwanya wa kudownload universal VPN /APN ambayo ukiinstall kwenye simu yako inakuwezesha kufungua mitandao iliyofungwa/iliyozimwa katika ngazi ya Nchi.
JF nayo ikifungiwa ukose pa kutuma ujinga wakoKura zote kwa Magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, Lissu ni loser
Hali ya CCM mahamumu kama mnapendwa ya nini kufungia mitandao? Chama mfu hichoWakati ule waliwavuruga sana watu
Acheni kulialia.Hawajui maana ya network. Hawajiamini. CCM oyee
Kesho siku ya mapumnziko tulia nyumbani na familia yako wacha kiherehere.
Sasa mbona unavunja masharti ya mwenyekiti wako, kasema nkale kesho mkapige kula make kwenye TBC muangalie matokeo.kwani hata hii JF wangeiotea unadhani kesho ningeamka nikiwa marehemu ?
Haaa...kafungia hadi Play store na App store?
Washamba kweli hawa....
Hali ya ccm mahamumu kama mnapendwa ya nini kufungia mitandao?chama mfu hicho
Kura zote kwa Magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, Lissu ni loser
Sijawahi kuona Linchi Kama Hili Akili Hamna, Uhuru hamn doooh Haki ya Mungu Raia Tunaumia sana Ingefaa Kuhama Uraia ningefanya ivyo...Ukiskia kuminya uhuru bx ndio huku...Maafrika meusi ambao kustaaf kwao hadi wafariki SumakaTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Tunafahamu vizuri sana, ''mzarau mwiba.'' ''Unakuwa mjinga wakati wa kwenda sio kurudi.''Majigambo ya wanachama 17m afu unafunga mitandao kwa wapinzani 5m
Hata aibu hawana wasenge hawaMajigambo ya wanachama 17m afu unafunga mitandao kwa wapinzani 5m
Kwahiyo sisi tufanyiwebujinga wa kufungiwa mtandao hatuwezi kufanya chochote halafu tumpe na kura huyo anayetufanya kama mateka wake. Hapana bwana
Hama nchi mkuu. There is a free world out there to be explored.Sijawqhi kuona Linchi Kama Hili Akili Hamn Uhuru hamn doooh Haki ya Mungu Raia Tunaumia sana Ingefaa Kuhama Uraia ningefanya ivyo...Ukiskia kuminya uhuru bx ndio huku...Maafrika meusi ambao kustaaf kwao hadi wafariki Sumaka
Hata downloading engine za google zimefungwa. Ingia google ufanye kama unadownload kitu chochote itakupa majibu.si unaweza download kupitia google
Waulize USA walivyotahamaki Trumpet akawa rais.Hawajui maana ya network. Hawajiamini. CCM oyee
Mbona sisi tunaipata! Au umefungiwa wewe tu.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.