Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hauna madhara kama hiyo ikiyofungiwa, maana hata watu wanaonzisha nyuzi humu, hasa wana ufipa kwa asilimia kubwa huwa wanategemea habari kutoka twitter kwa Mungu wao Kigogo.Mungu wangu haya mambo nilikuwa nayasikia! duh ila JF nao ni kiboko kwa ulinzi wa mtandaoni!
We huoni tangu mitandao mikubwa ipigwe pini Jf imegeuka uwanja wa malalamiko tu🤔?
😂😂😂