Baba Masagu
Senior Member
- Aug 30, 2020
- 128
- 41
Nimekereka sana leo. Mambo gani haya karne hii?
Acheni uzushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekereka sana leo. Mambo gani haya karne hii?
Haaa...kafungia hadi Play store na App store?
Washamba kweli hawa....
Uafungia play store
Unafungia YouTube
Unafungia Facebook mtandao wa watoto
Yaani unamwaga petrol kwenye Moto unaowaka
Mwaka huu hawatokaa waamini kitakachowapata.
Sasa nimejua wewe ni mtu ganiwala sijaathirika chochote kabisa kutoka moyoni...[emoji2222]
Njoo pm nkupe VPN babyMwisho wako wa majungu umefika wacha kulialia kama kasuku. Mlikolalia ndio tumeamkia, si mlijipanga kupotosha na kujifanya mkwara wenu upo juu sasa muda umefika mbichi zinajulikana.
Kwa kauli ya Kinana akimjibu Nape (kwenye udukuzi wa simu)Magu siyo mshamba tuu ni Amechanganyikiwa, mwisho wa kumnukuuNimekereka sana leo. Mambo gani haya karne hii?
Tushafunga ingieni barabarani tenaa hapa Dar kama sasa hivi mji taaa zinawakaa tu Yaani bila CCM waibe Kura kuliko kumpa Lissu ushindi hakii gharama take ni kubwa sana kwa Nchi yetuuuu potelea mbaliii wafunge hata weekKwa bahati mbaya kushinda uchaguzi ndio jambo la muhimu kwa CCM kuliko maisha yenyewe. Wapo tayari kufanya lolote kwa namna yoyote lakini sio serikali iwaponyoke mikononi kisa "vijikaratasi vya kura"!!! They shoot first and apologise after
Sasa nimejua ww ni mtu gani
yaan Kama haujaathiriki na hiki kitendo you're not human being aisee you're an animal.
Majigambo ya wanachama 17m afu unafunga mitandao kwa wapinzani 5mYale majigambo yenu kumbe ni debe tupu?
Haya ndio madhara ya viongozi washambaTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Kitendo cha Serikali ya CCM kutufungia mitandao ya jamii ni dharau kwa Watanzania
Kwa akili zake n lile bichwa hana jipya la kutuambia,huko znz napo hafurukuti kajaza jeshi hukoUafungia play store
Unafungia YouTube
Unafungia Facebook mtandao wa watoto
Yaani unamwaga petrol kwenye Moto unaowaka
Mwaka huu hawatokaa waamini kitakachowapata.
Siwezi kuinyima kura CCM sababu ya mitandao
Do kwani unapiga kura ngapi hadi yako iwe ndio mwamuziSISI KAZINI KWETU TOKA JANA HAKUNA INTERNET, KI UKWELI TUMEUMIA SANA...TUMESHINDWA KUTOA SALES INVOICES NA CASH SALES KWA SABABU YA KUKOSA INTERNET...ACHA KESHO NIKAPIGE KURA YANGU...HALAFU NISIKIE MTU ANAKUJA KUMTANGAZA MWINGINE AMBAYE HAJASHINDA...TUTAELEWANA AISEE...
[/QUOTE]Utakuwa unawashwa ...
QUOTE="mr chopa, post: 37143974, member: 383440"]
Kura zote kwa magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, lisu ni loser
Wadanganye wajinga wenzako. VPN ndio unaifahamu leo?Njoo pm nkupe VPN baby
Soma Gazeti lako la Uhuru wewe mitandao wapi na wapiUzushi kama huu ndio hautakiwi kwa nyie msiopenda amani ya Nchi yetu
Njia alizopitaga Mu7 hizi
tena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko