Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na sias
ukiangalia na kutafakari kwa kina namna Lissu alivyoondoka nchini baada ya uchaguzi utajua kabisa kwamba Tanzania ni salama tu kwa waimba mapambio kama sisi.
 
Maamuzi magumu sana lakini yeye pekee ndie anayejua kwa nini kafikia hapo. Huenda kweli alitishiwa uhai wake.
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia ili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo nakufauli, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa...tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.

Labda kama wewe humjui Lema, Lema ni mtu mjinga na asie na maarifa ya kimaisha. Kiufupi Lema ni mkora and he has become desparate after loosing the seat. Hakujua nini afanye to combat life taking into consideration that watoto wanasoma shule za ghali na maisha yake kwa ujumla. Na ameona kabisa kwas siasa za Arusha kuja kumtoa Gambo labda ni baada y miaka 15. Sina sida na usanii alifanya mpaka kupata Political Asylum ila napata shida na sumu aliyopanda kwa watoto kwamba wao niwa kimbizi wa kisiasa mpaka wao kupoteza identity yao. Lema si mkimbizi wa kisiasa yeye kaosa tu Ubunge. Tundu Lissu mwenyewe siyo mkimbizi wa kisiasa
 
Ninapata shida sana kuelewa ulichoandika unachomaanisha, najiuliza lini Lema aliwahi kushiriki kuuza madini ya Tanzania kwa Canada?




WAPINZANI WASAINI MIKATABA NA KUWAUZIA MADINI CANADA, alisikikika msomi mmoja wa Tanzania akiandika hapa JF
Mkuu,

Wewe hujitambui na huelewi lolote na hutakuja kuelewa kilichoandikwa na critical thinker kuhusiani na suala la madini

Kwaulize Accacia, Barrick, North Mara na Simanjiro utajua uhusika wake kwa hujuma kwa nchi yake.

After all hana sifa ya kuitwa mkimbizi wa kisiasa kwa kuwa hakuna mazingira yanayokubaliki kupata hadhi hiyo. Ukiona mtu kakubaliwa na Kanada au nchi nyingine yoyote kuishi huko kwa hadhi ujue ni uthibitisho tosha kwamba alikuwa wakala kupitia siasa. Siasa ndio hubadili mifumo ya mienendo ya maisha hapa duniani ama iwe njema au mibaya chanzo chake ni siasa kupitia kwa watu wenye matamanio ya kutawakla sio kuongoza. Wewe hapo you are just a mouth piece to test the implication of the statement which in reality it doesn't inflict any pinch to feel it for the worse.
 
0Mkuu,

Your thread is emotionally polarized.

Wewe mpaka unaandika huu uzi uko Tanzania au nje ya Tanzania ?

Kama uko ndani ya Tanzania, je kuna mazingira hayo unayodai yamefanikisha huyo mtu wako kupata hadhi ya ukimbizi?

Hao wasomi unaodai waishauri serikali kutumia rejea ipi iliyothibitishwa na mamlaka halali za kitaifa na kimataifa?

Kupata hifadhi kwenye nchi kama Kanada (Quebec/Ottawa) ni mkakati wa kiuchumi kwa kuwa wawekezaji wengi wa madini ambao mikataba yao iligundulika kuwa ilikuwa ya kitapeli wanatokea huko (Reference Barrick Gold Mines & Associates).

Lema anauzandiki mkubwa sana yuko tayari kuuza utu, hadhi ya nchi ili mradi apate mali kwa yeyote.

Siasa huwa ni vichaka vya watu wenye historia mbaya, tabia mbovu na ukosefu wa maadili kwa baadhi yao kukimbilia huko kama kinga ya maovu yao.

Tambua uhalifu wote chanzo chake ni wanasiasa hasa wanaharakati ( Study on criminality, criminology and & crimes Source)

Mleta mada huyo aliyekimbia ni mwenzio kwa kumbukumbu tulizonazo hivyo amekutuma kupima joto la kisiasa litaashiria kitu gani kwa wananchi . The methodology you have agreed on to surface through a vagued political barometer survey shall not sustain teh status quo.

Huyo yumo kwenye mnyororo wa mamluki, usaliti na pandiki uasi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio hawakubaliani na kiongozi wa nchi aliyeko madarakani kutokana na kudhibitiwa utukutu wao. Any elect regime that comes to power through the citizens endorsement and performs in accordance with teh citizen will he shall stay until such time.....so do not stir up panic among the good people of the lovely Tanzania and strangers enjoying its gracious haven peace.
Mkuu hiyo mikataba waliweka saini CHADEMA?
Mkuu I would wish to table my case to challenge the president elect and NEC.Is it practical in Tanzania?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapenda kitonga bana, fanya kazi dogo...au pambana na wewe ukawe mbunge wa upinzani..mkishindwa uchaguzi ukaombe hifadhi nchi za nje. Simple tu
Kwani huko Canada maisha ndio Kitonga? Kule maisha ni magumu pia ila ya uhakika, na kikubwa ni elimu bora kwa watoto wake. Watoto wake wakimaliza masomo huko Canada wanaweza kurudi hapa nchini na kupata ajira popote, narudia tena, kupata ajira popote hata kama kutakuwa na uhaba wa ajira. Hata wasipopata serekalini, bado wanaweza kupata kwenye kampuni binafsi zinazohitajika watu wanaofahamu kiingereza kwa ufasaha, na kwa vyovyote vile zitakuwa ni kazi za kipato kikubwa. Hutaweza kufananisha na hawa watoto wa wazalendo uchwara wanaomaliza vyuo vikuu wasioweza kuongea kiingereza hata kwa nusu saa mfululizo.
 
Labda kama wewe humjui Lema, Lema ni mtu mjinga na asie na maarifa ya kimaisha. Kiufupi Lema ni mkora and he has become desparate after loosing the seat. Hakujua nini afanye to combat life taking into consideration that watoto wanasoma shule za ghali na maisha yake kwa ujumla. Na ameona kabisa kwas siasa za Arusha kuja kumtoa Gambo labda ni baada y miaka 15. Sina sida na usanii alifanya mpaka kupata Political Asylum ila napata shida na sumu aliyopanda kwa watoto kwamba wao niwa kimbizi wa kisiasa mpaka wao kupoteza identity yao. Lema si mkimbizi wa kisiasa yeye kaosa tu Ubunge. Tundu Lissu mwenyewe siyo mkimbizi wa kisiasa
Mkuu hivi nani walitaka kumuua Lissu?
Mkuu hivi waliomuua Mawazo walikamatwa?
Mkuu ,hivi waliopoteza maisha huko Zanzibar wahusika wamekamatwa?
 
Pumzika Mh. Lema kwa watu waliostraabika, sisi huku wacha tuendeee kuimba mapambio mwanzo mwisho - ndiyo existence yetu kwa sasa hatuna option.
 
Mkuu hiyo mikataba waliweka saini CHADEMA?
Mkuu I would wish to table my case to challenge the president elect and NEC.Is it practical in Tanzania?
Mkuu,

I never knew you are Chadema addict and by the way nobody mentioned such a party

You do not have the room to challenge the president elect; however, seemingly you are mischief you attempt your inadvertent space.
 
Mkuu,

Wewe hujitambui na huelewi lolote na hutakuja kuelewa kilichoandikwa na critical thinker kuhusiani na suala la madini

Kwaulize Accacia, Barrick, North Mara na Simanjiro utajua uhusika wake kwa hujuma kwa nchi yake.

After all hana sifa ya kuitwa mkimbizi wa kisiasa kwa kuwa hakuna mazingira yanayokubaliki kupata hadhi hiyo. Ukiona mtu kakubaliwa na Kanada au nchi nyingine yoyote kuishi huko kwa hadhi ujue ni uthibitisho tosha kwamba alikuwa wakala kupitia siasa. Siasa ndio hubadili mifumo ya mienendo ya maisha hapa duniani ama iwe njema au mibaya chanzo chake ni siasa kupitia kwa watu wenye matamanio ya kutawakla sio kuongoza. Wewe hapo you are just a mouth piece to test the implication of the statement which in reality it doesn't inflict any pinch to feel it for the worse.
Kawaambie mafala wa huko vijijini maana ndio wasiojua lolote. Hakuna mkataba wowote wa madini ambao Lema amewahi hata kuuona kwa macho, labda ukatafute mazoba ndio uwaambie huu utoto.

Lema anastahili ukimbizi wa kisiasa maana mazingira ya ukatili na uhayawani dhidi ya wapinzani yako wazi, na wala sio ya kutafuta. Unaweza kuweka uzalendo uchwara wako lakini ukweli wote uko wazi, japo watu wanaogopa kuongea ukweli wasije kupoteza maisha yao.
 
Hivi atakuwa anapewa kila kitu bure au kuna namna atawezeshwa aweze kupiga Moshe zake halafu Lema anapenda sana Moshe za forex & cryptocurreny naona huko ndio ameenda sehemu sahihi
atafanya kazi na kuwa na kipato cha uhakika.
 
Walitaka kummiminia kama za Lisu. Amewawahi. Nenda salama kamanda.
 
Ni watanzania wangapi? Wanaishi Canada au kwakuwa Ni mwanasiasa ndo mnachonga ssna
 
Mkuu,

I never knew you are Chadema addict and by the way nobody mentioned such a party

You do not have the room to challenge the president elect; however, seemingly you are mischief you attempt your inadvertent space.

Nyie ndio wahafidhina wa mifumo outdated, ndio maana unaleta hoja za utetezi wa kipuuzi, huku watu wakichukua nia sahihi kwa mustakabali wa maisha yao. Nampongeza Lema kupata ukimbizi wa kisiasa ili akapate maisha bora.

Wakati mnajikongoja kujenga flyover na bwawa la umeme, yeye ataishi kwenye flyover kila panapostahili, huko ataishi mahali umeme usipokatika. Watoto wake watapata elimu bora. Nyie kaeni vikao vya kutaka kutoa uhai wa kila asiyekubali kuwa kondoo. Endelea kuongoza vikao vya wizi wa kura, huku wanaume wakitumia hizo tabia zenu za kihuni, kupata fursa ya kwenda kwenye nchi bora.
 
Mkuu,

I never knew you are Chadema addict and by the way nobody mentioned such a party

You do not have the room to challenge the president elect; however, seemingly you are mischief you attempt your inadvertent space.
Do you mean the president is( premier president) and has a divine right.
Uncontrolled president... Aaah
Okay can you give the premises under why the president elect should not be challenged?
I mentioned CHADEMA following what you have expressed. Lastly, let Lema be free bcoz it is unlawful decision
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Hakuna sababu yeyote kwa mtu yeyote kwa sasa kuomba hifadhi ya kisiasa kwenye nchi yeyote duniani Beatrice.Nchi yetu ni salama kabisa,unless you have your own problems.Wanaomba hifadhi nje wanampango mpana wa kutumiwa na nchi wanakoenda kui-destabilize nchi yetu kwa maslahi mapana ya mabeberu.
 
Ni ujinga huo, wala hakuna la maana hapo! Mtu mzima unaamua kujipeleka utumwani wewe pamoja na familia yako! Watoto wake watapoteza mengi hapa duniani, Kizazi cha tatu cha Lema ndicho kitakuja kuinjoi maisha huko kwani ujinga wa Babu yao mzaa Baba au Mama ( ambaye ni Lema wa sasa) wa kukimbia Nchi yake kwa sababu za kutunga zitakuwa zime-fade away!
Kwa taarifa yako ni bora kuishi utumwani huko Canada kuliko kuwa hata waziri hapa nchini. Ni vile tu hakuna uwezekano wa sisi wote kwenda huko. Ingewezekana leo hii mngebaki nyie mlio na raha na hapa.
 
Kwani huko Canada maisha ndio Kitonga? Kule maisha ni magumu pia ila ya uhakika, na kikubwa ni elimu bora kwa watoto wake. Watoto wake wakimaliza masomo huko Canada wanaweza kurudi hapa nchini na kupata ajira popote, narudia tena, kupata ajira popote hata kama kutakuwa na uhaba wa ajira. Hata wasipopata serekalini, bado wanaweza kupata kwenye kampuni binafsi zinazohitajika watu wanaofahamu kiingereza kwa ufasaha, na kwa vyovyote vile zitakuwa ni kazi za kipato kikubwa. Hutaweza kufananisha na hawa watoto wa wazalendo uchwara wanaomaliza vyuo vikuu wasioweza kuongea kiingereza hata kwa nusu saa mfululizo.
Kama anahudumiwa kila kitu maana yake maisha yatakuwa marahisi kwake, na hilo ndilo lengo lake haswa.
Mbowe yupo katulia hakuna aliyemtishia kuuwawa aje atishiwe Lema muhuni tu hana lolote
 
Back
Top Bottom