Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Huko alikoenda hatapata kazi yo yote kwani hata elimu ya maana hana. Ataishi maisha ya jobless community ambayo huwa inapewa posho tu ya kujikimu kila wiki. Ni ya kununua chakula tu na malazi ya kiwango chini kuishi nchini Canada. Dr Slaa kwa kiwango chake cha elimu (PhD) angalao aliweza kupata kazi kwenye duka moja la super market. Hata hivyo hakuweza ku serve pesa yo yote ya maana inayoweza kujenga hata kibanda cha kuku nchini Tanzania.

Akili zenu zinahitaji mindset. Kufikiri kwamba mtu kuishi ulaya au amerika ndiyo anazowa mapessa ya kutakata hata kama hana kazi wala elimu ya maana ni uhawayani uliovuka kiwango!

Bora ukaishi jobless huko Canada kuliko kuwa waziri kondoo hapa nchini.
 
Huyo Lissu angefanya vijiji viwe mjini? Una mawazo ya kiboya
Kwanini mo dewji ni tajiri na wewe ni masikini? Kwanini msiwe sawa? kwanini Tanzania ba
Mkuu,

This quoted clause is derogatory to persevere "...Kawaambie mafala wa huko vijijini......."

Are you serious as a Chadema addict to insult the people living in the villages that are 'fools' to be able to discern what is written in the mining contrcats entered between teh state and elaborative investors.

Thuis is too pathetic and you are still desirously struggling to convince them support your bourgeoise activism?

If you are fed up with Tanzania you are not in sanctions therefore you better pack off and migrate to your favorable destination as soon as practicable at which you can continue spitting the hatred for futility.
ukishakuwa shabiki wa chama cha kijani you become a fool it doesn't matter how far you went to school.your cannot distinguish wrong and right you become completely useless
 
Yaani ni kwakuwa hakuna uwezekano wa kila mmoja wetu kuondoka hapa nchini, ingewezekana Canada waturuhusu tunaotaka kwenda huko, hapa nchini mngebaki nyinyi wazalendo uchwara muendelee na maisha ya dhiki. Maisha atakayoishi Lema na familia yake ni ya hali ya juu, huku watoto wake wakipata elimu bora, watoto wake watakaporejea hapa nchini watapata ajira nzuri, kuliko watoto waliosoma kwenye shule za kata.
Hujitambui wewe, unasema ingewezekana mngehama wote wala huelewi kanada wamekuwa wakitangaza watu waende huko kuongeza nguvu kazi? Si muende sasa

Mnadandia mambo msiyoyajua
 
Ukitaka kujua kwenda Canada ni kuula kimaisha, leo hii Wacanada waseme wanaotaka kwenda Canada waende, uone kama hamjabaki wazalendo uchwara tu hapa nchini. Yaani kwa kwenda Canada atakuwa na maisha bora kuliko aliyokuwa nayo hapa akiwa mbunge.
Masikini siasa unayoijua ni ya chadema tu wala huelewi siasa za dunia

Unachoandika ni aibu
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Uingereza ilimpa Oscar Kambona hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa kwa kutofautiana na Mwalimu Nyerere. Mwisho wa yote alirudi mwenyewe Tanzania, Mwalimu akingali hai, akaanzisha chama cha siasa ambacho hakikuwa na mafanikio yo yote hadi akafa.
Ujeremani nayo ilimpa Joseph Kaselabantu hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa kwa kutofautiana na Mwalimu, na walidiriki hata kumpa uraia. Mwisho wa yote alirudi mwenyewe, Mwalimu akiwa bado hai. Hakuna mtu aliyeshughulika naye hadi akajifia.
Tusubiri tuone ya wakina Lissu na Lema.
 
Lema anakimbia kivuli chake mwenyewe.
angalia mbona Mdee, Bulaya, Matiko, Sugu, Mbilinyi, Msigwa na Mbowe wote hao bado wapo hapahapa Tanzania na wanaendelea na mishemishe zao bila tatizo?
wanachama wote wa chadema tupo nchini tunaendelea na shughuli za ujenzi wa taifa letu bila bugudha. tupo nyumbani salama salimini.
Lema rudi nyumbani huna sifa za kuitwa mkimbizi wakati wanachama wenzio tupo hapa Arusha tunajenga nchi salama salimini
Madeni
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Kiongozi huo ni uchochezi, ina maana vyombo vya usalama, tume ya uchaguzi, bunge na serikali ya JMT kwa ujumla hawakujua kwamba Lema alikuwa jambazi na aliua watu? Ilikuwaje mtu wa aina hiyo awe mbunge? Ama unataka kusema serikali yetu inakumbatia wahalifu?
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Hili si jambo jema kwa nchi yenye hadhi yakupokea wakimbizi na kusuluhisha migogoro ya nchi nyingine.
Matukio mabaya ambayo hayakujulikana hatua zilizo chukuliwa na vyombo vya usalama/serikali vinachangia kwa baadhi ya ndugu zetu kulazimika kuwa wakimbizi.
Kuna vigezo na taratibu ngumu sana mtu kukubaliwa kuwa unayo haki ya kupewa ukimbizi, kama Canada wamekubali kwamba Lema na familia yake wanayo haki ya kupata hifadhi ina maanisha kwamba wamejiridhisha na sababu za wao kuomba ukimbizi, hivyo viongozi wetu wajue suala hili sio la kubeza hata kidogo.
 
Hawana unyama huo, usitake kuleta vitisho vya kishamba. Utakiwe mabaya na mzungu kwa lipi? Nchi hii bado tuko kwenye elimu ya kunawa mikono ukitoka chooni, ndio kuwe na wazungu wasiotutakia mema?
Skripal na binti yake wala hujawasahau nina hakika! Walifanywa specimens!!! Unataka hivyo hivyo hutaki hivyo hivyo.
===
Mkuu, waweza kujiunga na Lema ule ubweche wa bwelele baada ya kuukosa kwa Mzee Rungwe. Ha hahaa!

Wakuu, mwenye masikio na asikie, mwenye macho atazame na mwenye pua anuse! Dunia hii hakuna kitu cha bure!!.

Mkuu, Tindo wala 'sikutishi kishamba' (ndiyo lugha zenu za kifedhuli na kejeli).

Kwa taarifa yako, Mashirika makubwa ya kijasusi ya nchi kubwa na zenye nguvu yalikuwa yanatafuta kwa udi na uvumba sampuli za damu za raia wa nchi masikini ambapo mahasimu wao kijasusi walikuwa wamekita mizizi! Na hiyo ni sehemu ndogo sana ya 'ubaya ufanywao' kwa mujibu wa taarifa kutoka tovuti zinazoheshimika. Na si miaka mingi ujue. Hiyo tu, ikusaidie kujua kuwa mbali ya Tanzania kuingia uchumi wakati bado nchi hasimu za wezakuwa kututumia kama "uwanja wa mapigano ya kijasusi"!

Na sasa kwa tamaa za baadhi ya wenzetu na kushindwa kujikubali kuwa wana uwezo kusimama wenyewe wanajikuta wanajipeleka kwenye " mdomo wa chatu huku wakijipia vigelegele".

Kumbuka kuimarika kwetu kama nchi, kuna kera sana waliozoea kutudhulumu.
 
Lema sio mheshimiwa
Tupunguze chuki/jazba, maana kwenye uheshimiwa hata wewe umo. Tukiondoa nafasi aliyokuwa nayo Lema kiuongozi, bado anaingia kwenye kundi la waheshimiwa wananchi ukiwemo na wewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mnafikiri hao wazungu ni wajinga sana?

Wazungu wanajua kila kitu, isitoshe wana mabalozi wao hapa, kwahiyo kama kuna hali mbaya hawahitaji kinca Lema wakimbie ndio wajue kuna hali mbaya.

Wanajua kabisa kwamba hao kina Lema wanaenda tu kula bata baada ya kushindwa ubunge ila kwamba kuna hali mbaya au la, wanajionea wenyewe.
Ukimbizi una vigezo vyake, na moja ya kigezo kikuu ni usalama wa muhusika, kama nchi flani imempa mtu hifadhi ya ukimbizi ina maanisha imejiridhisha/ina fanyia uchunguzi maombi ya hifadhi kwa muhusika.
Nchi kuwa katika utulivu haimaanishi kwamba kila raia yuko salama, na pia nchi kuwa katika migogoro haimaanishi raia wote wako hatarini.
Hata raia kutoka nchi mbali mbali zenye migogoro wapo walio kubaliwa maombi ya ukimbizi katika nchi walizoomba hifadhi, na wapo walio kataliwa maombi yao kwa kigezo kikuu cha usalama wa muombaji kule anakotoka.

Ni kweli wazungu sio wajinga, na mabalozi wao wapo kweli na wanajua kila kitu, mfano mzuri ni hivi majuzi mabalozi hao hao walipo funga safari ya kumpeleka Lissu airport chini ya uangalizi wao. Hii ni hatari isiyo elezeka yaani mtu unakosa usalama ndani ya nchi yako adi inabidi wageni ndio wachukue jukumu la kukulinda.

Haya yanayo tokea ni mambo mazito na yakufikirisha sana, hivyo tunapo yaona mepesi kwa kigezo cha mtu kukosa ubunge inaweza kujengeka hisia kwamba tunaunga mkono maovu yanayo wakuta ndugu zetu.
 
Skripal na binti yake wala hujawasahau nina hakika! Walifanywa specimens!!! Unataka hivyo hivyo hutaki hivyo hivyo.
===
Mkuu, waweza kujiunga na Lema ule ubweche wa bwelele baada ya kuukosa kwa Mzee Rungwe. Ha hahaa!

Wakuu, mwenye masikio na asikie, mwenye macho atazame na mwenye pua anuse! Dunia hii hakuna kitu cha bure!!.

Mkuu, Tindo wala 'sikutishi kishamba' (ndiyo lugha zenu za kifedhuli na kejeli).

Kwa taarifa yako, Mashirika makubwa ya kijasusi ya nchi kubwa na zenye nguvu yalikuwa yanatafuta kwa udi na uvumba sampuli za damu za raia wa nchi masikini ambapo mahasimu wao kijasusi walikuwa wamekita mizizi! Na hiyo ni sehemu ndogo sana ya 'ubaya ufanywao' kwa mujibu wa taarifa kutoka tovuti zinazoheshimika. Na si miaka mingi ujue. Hiyo tu, ikusaidie kujua kuwa mbali ya Tanzania kuingia uchumi wakati bado nchi hasimu za wezakuwa kututumia kama "uwanja wa mapigano ya kijasusi"!

Na sasa kwa tamaa za baadhi ya wenzetu na kushindwa kujikubali kuwa wana uwezo kusimama wenyewe wanajikuta wanajipeleka kwenye " mdomo wa chatu huku wakijipia vigelegele".

Kumbuka kuimarika kwetu kama nchi, kuna kera sana waliozoea kutudhulumu.

Achana na hizo conciperancy theories ambazo unazitumia kujenga hoja za vitisho, kana kwamba hatujui lolote. Kwahiyo hayo mashirika ya kijasusi yalikuwa yamesimama shughuli zao walikuwa wanangoja Lema apate ukimbizi, kisha ndio waanze kuimplement huu utapeli unaousema hapa? Ni kipi wazungu wananikosa hapa kwetu wakikitaka kisa tumeingia huo uchumi wa chini wa kati?

Kama ni uchaguzi wote tumeona uhuni, ushenzi na uhayawani wa wazi uliojitokeza, je udhalimu ule umefanyika kwa hizo sababu zako ulizoweka hapo juu? Ni kipi so special ambacho wazungu wamekikosa hapa nchini mpaka wawe na chuki na sisi? Hayo madini hadi tunavyoongea wazungu ndio wanayachimba, na wala sio Lema aliwaruhusu au wanamtegemea yeye awaruhusu. Hizi story eti wazungu wamechukia sisi kuingia uchumi wa chini wa kati, ni story za wakomunist wenye mawazo ya kizee. Eti tumeimarika kiuchumi, nimecheka kwa nguvu, yaani kuwa na flyover, reli ambayo hata Morogoro haijafika ndio wazungu wachukie? Kwahiyo kuimarika kwetu kwa uchumi kuna mahusiano gani na dhuluma kwenye box la kura, ili ccm itawale kwa shuruti?
 

Peleka utoto mbali, kwahiyo kila anayedaiwa leo akienda ubalozi wa Canada atapewa ukimbizi wa kisiasa? Uza ubongo ubongo huo dogo, maana ni hasara kuendelea kukaa nao.
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Kwani alikwambia hiyo kazi anaichukia ? pengine anaipenda zaidi kuliko kazi aliyokuwa nayo
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.

Ati “...Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa...” Hivi unadhani ukimbizi katika mataifa ya magharibi ni sawa na ukimbizi kwenye mataifa ya dunia ya tatu?

Hakuna kambi za wakimbizi huko; hakuna kula kulala wala hakuna cha bure. Msaada mkubwa unaopata ni kibali cha kufanya kazi ili uweze kuendesha maisha yako!
 
Ukibeba box ughaibuni utakuwa na kipato kizuri tu. Kuliko kuishi kikondoo hapa bora ukabebe box ughaibuni. Kama huamini siku serikali ya Canada itangaze watanzania wanaotaka kubeba box Canada waende, utashangaa mpaka watu watu wanaofanya kazi TRA, TANAPA nk wanaacha kazi wanaenda kubeba box Canada.
Haahaaaa....
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Magufuli na genge lake watawajibika siku moja.
 
Back
Top Bottom