Pre GE2025 Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

Pre GE2025 Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umesikia hoja za mapingamizi ya serikali kuhusu kesi hii :
  1. Kesi ni ya kikatiba haiwezi kuamuliwa na Mahakama, maana yake ni bunge la chama kimoja libadilishe katiba
  2. Waliotuma maombi *(Waliofungua kesi ) Bob Wangwe na wenzie 3 watawanyima nafasi mamilioni ya watanzania wasipige kura November 2024
Msikilize wakili kutoka Ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali hoja zake kwanini serikali inataka TAMISEMI iendelee kuwa msimamizi wa uchaguzi 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=X-Qk-eBMyxs

Kwa mawazo yangu,huyu wakili wa serikali anapotosha umma,kesi hailengi kusitisha zoezi la uchaguzi wa November 2024,inalenga kuzuia TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi husika,kuwa jukumu ilo kwa sheria mpya ya tume huru ya uchaguzi ya mwaka 2024 ilo ni jukumu la tume ya huru ya uchaguzi pekee.
Wewe ndo uwe Tff,uwe refa na uwe mchezaji halafu kuwa na fairness kwa timu pinzani!?

Kitu nnachokiamini ni kuwa CCM wenyewe wanajua kuwa katika mizania ya usawa hawawezi kushinda zaidi ya nusu ya viti vinavyokuwa vinagombewa.
 
Zitto Kabwe alishawaambia kuwa mpiganie mpate tume huru kwanza badala ya katiba mkakataa na kumtukana sana. Sasa hivi bado miezi kadhaa tuingie kwenye uchaguzi ndo CHADEMA mnaamka na kutaka tume huru. Hiki chama cha wachaga kimejaa wajinga mno kwa sasa.
 
Zitto Kabwe alishawaambia kuwa mpiganie mpate tume huru kwanza badala ya katiba mkakataa na kumtukana sana. Sasa hivi bado miezi kadhaa tuingie kwenye uchaguzi ndo CHADEMA mnaamka na kutaka tume huru. Hiki chama cha wachaga kimejaa wajinga mno kwa sasa.

Kumbuka CCM napo kuna Wachagga. Akina Kimei, Ndakidemi, Saa Shisha, Mkenda, n.k. ni Wachagga na hawapo CHADEMA bali ni wanachama wa CCM.

Tumia akili!
 
CCM wenyewe wanajua kuwa katika mizania ya

Kweli kabisa hawataki kubadilisha katiba au kuweka viraka vya ziada ktk katiba kwa kuwa ndiyo kisingizio kinatumika kuwa hili suala ni la kikatiba na hivyo Mahakama zetu zinafungwa mikono na kupelekea hukumu kuwa suala hili ni kwa ajili ya Bunge la chama kimoja kutatua mkwamo huu wa kikatiba.
 

Katiba kupitia Bunge la chama kimoja CCM, maana ndiyo mamlaka ya bunge kutunga sheria. Je Bunge hili la CCM lipo tayari kujitundika kitanzi yenyewe kwa mustakhabali mpana wa nchi, au litataka kuendelea na katiba ya 1977 ambayo wakili msomi Fatma ameiita ni Katiba ya Uchu (1977) wa Madaraka CCM ibaki madarakani.
 
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba Mahakama na Jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.

Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki, tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa Serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mahakama wakishaambiwa waamue kutokana na Mwenendo wa serikali.....sasa kwa mwenendo ule aliovujishe DC wa Longido ni wazi Mahakama itazuia hawa watu wasishiriki usimamizi.
 
Katiba kupitia Bunge la chama kimoja CCM, maana ndiyo mamlaka ya bunge kutunga sheria. Je Bunge hili la CCM lipo tayari kujitundika kitanzi yenyewe kwa mustakhabali mpana wa nchi, au litataka kuendelea na katiba ya 1977 ambayo wakili msomi Fatma ameiita ni Katiba ya Uchu (1977) wa Madaraka CCM ibaki madarakani.
Bunge lenyewe liko wapi? Kile kikao cha makada wa Tulia?
 
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba Mahakama na Jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.

Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki, tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa Serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Hakuna jaji hapa ni makanjanja tu yako na majoho mekundu!
 
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba Mahakama na Jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.

Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki, tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa Serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Punguza kupiga nyeto bro
 
Katiba kupitia Bunge la chama kimoja CCM, maana ndiyo mamlaka ya bunge kutunga sheria. Je Bunge hili la CCM lipo tayari kujitundika kitanzi yenyewe kwa mustakhabali mpana wa nchi, au litataka kuendelea na katiba ya 1977 ambayo wakili msomi Fatma ameiita ni Katiba ya Uchu (1977) wa Madaraka CCM ibaki madarakani.
Nyie CHADEMA mngejitia kitanzi? Katiba ya chama tu mlishindwa kuitiaa na kuibadili ili Mbowe awe mwenyekiti wa maisha sasa hii ya nchi si ndo itakuwa balaa?
 
CCM haiwezi kutoka madarakani mpaka pale watanzania watakapomwaga damu. Hakuna wa kuitoa CCM kwa sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom