Nape nnauye na januari waachie ngazi mara moja maana wanachofanya ni kumpiga vijembe jpm tu fedha wizara zao zinaondoka tu bila stakabadhi.Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mama ametoa hela ndio ulikuwa wimbo wa kila mahali
USSR
"Styupind" mkuu tuongee lugha sahihi twende sawasawaMzee wa TRAB na TRAT ni kawaida yake kujikanyaga anapobanwa ila anakula mno "Stupid"
Pumbavu zako mjadili mama yenu aliyeshindwa kuendesha nchi achana na JPM! Mnapenda sana kujificha kwa Magufuli! Wajinga sana mkosoe Mama yenu!Huu mchezo wa kusema rais ametoa fedha, sijui ni fedha za rais ulishika kasi kipindi cha dhalimu. Mama na genge lake la kusifia nao wamebeba ujinga uleule.
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Acha kupanick boss, dhalimu ndio muasisi wa sifa za kijinga, hutaki jinyonge.Pumbavu zako mjadili mama yenu aliyeshindwa kuendesha nchi achana na JPM! Mnapenda sana kujificha kwa Magufuli! Wajinga sana mkosoe Mama yenu!
Mbona Rais anapopeleka maendeleo sehemu mbalimbali huwa wanamsifia? amejenga zahanati, barabara, madarasa, sifa zote kwake..
Tena Ole Sendeka ndie huwa kinara wa kutoa hizo sifa.
Kwanini basi hizo pesa Rais anazopeleka kwenye hayo maendeleo zikipigwa asihusishwe? badala yake lawama waangushiwe watendaji tena kwa kunukuu ibara ya Katiba?!
Basi kama ndio hivyo, kuanzia leo wanapojenga barabara, shule, zahanati.. pongezi wapelekewe hao watendaji.
Lakini tofauti na hapo, Rais anahusika kwa yote hayo, Mwigulu yupo sahihi, ndio maana Rais amekuwa mpole kwa wapigaji, anawabembeleza waondoke wenyewe ofisini.
Acha zako!Dhalimu baba yako! Mkosoe Samia Acha ujinga!Acha kupanick boss, dhalimu ndio muasisi wa sifa za kijinga, hutaki jinyonge.
Tulia mfuasi wa dhalimu, huyo mama mkosoe ww, mimi nadeal na dhalimu tu. Ni suala la kugawana majukumu.Acha zako!Dhalimu baba yako! Mkosoe Samia Acha ujinga!
Tulia mfuasi wa dhalimu, huyo mama mkosoe ww, mimi nadeal na dhalimu tu. Ni suala la kugawana majukumu.
Ww ndio unateseka ndio maana unajiliza hapa wakati tukiweka rekodi ya dhalimu sawa.Huna maana unachuki zako! Endelea kuteseka!
HollywoodMwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Nyie ndio mlikua walamba asali wa mwendazake[emoji3] mmepanick poleniHuna maana unachuki zako! Endelea kuteseka!