Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

Nape nnauye na januari waachie ngazi mara moja maana wanachofanya ni kumpiga vijembe jpm tu fedha wizara zao zinaondoka tu bila stakabadhi.
 

Hawa jamaa wataanza mgeuka rais kuelekea msimu wa uchaguzi..............
 

Ibeni tu hela zetu
 
Hollywood
Bollywood
Bungywood

Asanteni kwa kunisikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…