Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
- Thread starter
- #61
Tatizo linakuja uyo wakumuoa ni nani🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo linakuja uyo wakumuoa ni nani🤣🤣
Fabian Vitus Mbona waolewajwi kibao tatizo mmegoma KUOA🤣🤣👋Tatizo linakuja uyo wakumuoa ni nani🤣🤣
Ndio saivi mabint mpo kasi ya 5GTatizo linakuja uyo wakumuoa ni nani🤣🤣
Mimi ndio naomba nianze na ww kama niivo lkn upunguze kasi Iyo ya 5GFabian Vitus Mbona waolewajwi kibao tatizo mmegoma KUOA🤣🤣👋
Jaman kasi ipi 🤣🤣👋Mimi ndio naomba nianze na ww kama niivo lkn upunguze kasi Iyo ya 5G
Weeeeh hauijui au vipi 🤣naishia ku zoom akilini pituitary gland imegoma kupokeaJaman kasi ipi 🤣🤣👋
Wewe mbona mapadri na maaskofu wenu wa kikatoliki hamuwaozi? Wanalemaa mpaka wanaoza wao.
Ndiyo maana yale mambo ya kuharibu watoto huko yamezidi.
Pokea some mind snaks 🍫🥜 walau akili iweze kupokea 🤣🤣👋Weeeeh hauijui au vipi 🤣naishia ku zoom akilini pituitary gland imegoma kupokea
🤣🤣🤣🤣Kwani wewe upo wapi maana inabidi nitafute wakuanza nae safari kwa pamojaPokea some mind snaks 🍫🥜 walau akili iweze kupokea 🤣🤣👋
Nipo hapa hapa endelea kunishawishi mpaka somo lieleweke vyema 🤣🤣👋🤣🤣🤣🤣Kwani wewe upo wapi maana inabidi nitafute wakuanza nae safari kwa pamoja
Aaaaah mpk vitu vya secret tuweke kwaiyo nimwage punje kwenye kuku wengi sio busara🤣Nipo hapa hapa endelea kunishawishi mpaka somo lieleweke vyema 🤣🤣👋
Eti wanasemaga Privacy is overrated 🤣🤣👋Aaaaah mpk vitu vya secret tuweke kwaiyo nimwage punje kwenye kuku wengi sio busara🤣
Sio kwer hataEti wanasemaga Privacy is overrated 🤣🤣👋
Fabian Vitus ukweli ni upi 🤣🤣👋Sio kwer hata
Wataka kuujua vitu vyengine sio kuongea nakuropoka 😂Fabian Vitus ukweli ni upi 🤣🤣👋
Hahaahha🤣🤣👋Wataka kuujua vitu vyengine sio kuongea nakuropoka 😂
Amuoe Nani sasa! Au jitoleeMzazi wako hataki uendelee kupata dhambi ya uzinzi
Hiyo amuoe nani muachie mleta madaAmuoe Nani sasa! Au jitolee
Kumbe tupo wengi.Me wamelazimisha mpaka wamechoka.Aisee i am facing this too.