Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Hili ni kosa kwa kuwa serikari haina dini.
Adili...
Hakuna serikali duniani isiyo na dini.

Ukitaka kujua dini ya serikali yoyote duniani angalia viongozi wake wengi wanaoongoza na kushika nafasi za maamuzi ni wafuasi wa dini gani?

Ukiwaona wafuasi wa dini fulani ndiyo waliohodhi madaraka basi hiyo ndiyo dini y serikali.
 
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia. Siwezi kuchoka kurudia hili.
 
Wee jamaa hata Rais Uhuru Kenyatta Mkristo saaafiiii alifanya hivyo! Au umesahau au ulikuwa hujazaliwa?
 
Adili...
Hakuna serikali duniani isiyo na dini.

Ukitaka kujua dini ya serikali yoyote duniani angalia viongozi wake wengi wanaoongoza na kushika nafasi za maamuzi ni wafuasi wa dini gani?

Ukiwaona wafuasi wa dini fulani ndiyo waliohodhi madaraka basi hiyo ndiyo dini y serikali.
Wakumbushe! Uhuru Kenyatta ni Muislamu au Mkristo[emoji1751]
 
Nadhani hukumuona Kenyata nae alifanya hivyo, tuache kuhoji vitu vidogo vidogo, yapo mambo ya msingi kama gharama za maisha, vitu kupanda bei n.k
 
Mwambie na kengele pia ikigongwa kanisani kuanzia saa kumi na mbili asubuhi,Saa sita mchana na saa kumi na mbili jioni asimamishe hotuba zake kupisha sala ya Malaika wa Bwana.

Kama ameamua kuchanganya serikali na mambo ya Dini. Akumbuke na hilo.
 
Ujinga tu Sasa serikali kutokua na dini unadhani wanayoongoza serikali Hawana dini na hawatambui umuhimu wa dini... Raisi kenyatta hufanya hivo, Paul kagame wa Rwanda ni mkristo ila pia ashawai katisha pia hotuba... Ts just the matter ya kutambua umuhimu wa icho kitendo no matter wew muislamu or not
 
Back
Top Bottom