Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa hatar sanaMtu kama huyu akiambiwa Yesu alikuwa Mwafrika ataandamana.
Kwakuwa tayari kapata Brain Genocide.
🔨🔨🔨🔨Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
Ni kweli hata Rais Kenyata alifanya hivyo hivyo wakati wa kumuaga Hayati Rais Magufuli hapo hapo uwanjani Dodoma ilipofika AdhanaImekaa hivyo hivyo nafikiri kenyeta aliwahi kufanya hivyo pia
Siku anaapishwa kuwa Mkuu wa MalaikaJambo la kiungwana sana hili
Nakumbuka hata uhuru kenyatta pia alifanya hivyo nadhani siku magu anaapishwa
Mbona Hata Rais Uhuru Kenyatta alifanya hivyo wakati wa mazishi ya Magufuli pale uwanja wa Taifa? Ni suala la kuheshimu Dino ya Mawenzi on tu.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Kenyeta ndo nane wewe bichwa maji la Jf?Imekaa hivyo hivyo nafikiri kenyeta aliwahi kufanya hivyo pia
Hapo na wewe ulikusudia kuandika nani badala ya nane sio? Kwa hivyo nawe umekosea kama alivyokosea Mr. Q? Halafu ukamwita bichwa maji la Jf kwa kukosea kwake?Kenyeta ndo nane wewe bichwa maji la Jf?
HapanaHapo na wewe ulikusudia kuandika nani badala ya nane sio? Kwa hivyo nawe umekosea kama alivyokosea Mr. Q?