Umempa jibu murwa kabisa,upumbavu wa dot.com unaturudisha nyuma mno,kutwa kuhoji vitu ambavyo havitusaidii kupiga vita wale maadui wetu wakuu.Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempa jibu murwa kabisa,upumbavu wa dot.com unaturudisha nyuma mno,kutwa kuhoji vitu ambavyo havitusaidii kupiga vita wale maadui wetu wakuu.Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
Mara ya kwanza alifanya Uhuru Kenyata kule Chatto wakati wa Mazishi ya JPMLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Mimi sisimamishi hotuba kwa makelele ya azana....ni unafiki......watu wanakamua pa..chi na masupika yanakoroma huko kama kawaidaLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Mi sijaona tatizo maana kinachotamkwa pale ni ukuu wa Mungu ambae wote tunamwabudu Ile sio uisilam Bali ni ibadaLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Dini iheshimiwe ni mila na desturi.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Master MindAliona jinsi ilivyompa kiki Kenyatta. Nae kapitia humo humo.
Kwani mnaelekea wapi?[emoji17]Tunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama
Hii umeiweka vibaya hata kama ni jambo la kujadiliwa.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Wewe ni rubbish kabisaLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
AnaagwaJambo la kiungwana sana hili
Nakumbuka hata uhuru kenyatta pia alifanya hivyo nadhani siku magu anaapishwa
Alikuwa anaapishwa kuongoza malaika au una maana gani? Kumbukumbu zako ziko sawa kweli?Jambo la kiungwana sana hili
Nakumbuka hata uhuru kenyatta pia alifanya hivyo nadhani siku magu anaapishwa
Huna heshima. Aliyefanya hivyo amefanya kwa heshima si kwamba amependa hiyo dini.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Wewe utakuwa sukuma gang, siyo kwa akili hiiTunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama
Mleta mada ni sukuma gang, bado anaomboleza mungu wake kufaHii nchi kila kitu ni cha kupingwa. Upinzani wamelemaza sana vijana wa nchi hii..
Nchi ya hovyo sana..
Kumradh mkuu ,Sio Azana ni AdhanaTunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama