Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Kbsa ukaanzisha uzi kama huu mumeo ana kazi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang mtapata tabu sanaAnajifanya anaheshimu adhana wakati mchawi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wachawi wana ushupavu sana!!
Hata Kenyatta alipokuja Tanzania alisimamisha hotuba kupisha adhana, na mechi ya Simba na Yanga jana ilisimama pia hivyo si jipya ni heshima.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Hii huitwa Utanzania, huikuti kwingine kokote kule hapa duniani si CHADEMA si CUF. ZFZMWCCMLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Tena Kenyata alifanya Tanzania na hakuna mtu aliyelalamika badala yake watu walimsifu.Imekaa hivyo hivyo nafikiri kenyeta aliwahi kufanya hivyo pia
Yaan dada leo ndio nimeamin watanzania Wana stress sanaYani hilo nalo limekukera??? kuna ubaya gani?
Mungu gani sasa hapo ndo shida! Au huyu huyu allah wa wenzetu? Sio kila neno Mungu linamaanisha wa kwako! Kila mtu anamungu wake! Allah mimi hanihusu hata kidogo!Kweli kuna watu hamna jema kabisa katika dunia hii. Subiri saa ya kufa kwako ndio utajua kuwa kumheshimu Mwenyezi MUNGU ni jambo kubwa na la heshima
rais samia hakumsimamisha mtu kupisha adhana ila amesimama yeye kwa hivyo aliyemfuata ni kumuhishimu,uhuru kenyatta rais wa kenya ni mkristo lakini alisimamisha salamu zake wakati wa maziko ya magufuli au ulikuwa hujazaliwaTunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama
Nyie wanafiki hamna lolote! Hiyo kelele tu ya kutaka kulazimisha kila mtu atambue kuwa nyinyi ndo watu wa dini! Kwa hiyo aliset mda wa hotuba ukaribiane na ibada ili shekhe akianza kuswali asimamishe hotuba kupata ujiko?rais samia hakumsimamisha mtu kupisha adhana ila amesimama yeye kwa hivyo aliyemfuata ni kumuhishimu,uhuru kenyatta rais wa kenya ni mkristo lakini alisimamisha salamu zake wakati wa maziko ya magufuli au ulikuwa hujazaliwa
Kwa mara nyingine tena, tunashuhudia viongozi wakuu wa nchi wakionyesha kujali pale adhana inaposikika pale wapokuwa mbele ya umati mkubwa wa watu. Hiki ni kitendo cha kiungwana mbele za wale wenye kuishika imani ya Kiislamu.Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Kama wewe mgonga kengere subiri na ww ligongweLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Uhuru kenyatta alifanya nn ?Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Kuna watu ubongo zao sjui zkojeKenyata mkristo alisimamisha hotuba mpaka saivi 1-1