Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Acha wivu wa kitoto, jana nilikuwa taifa pale Mwai Kibaki amepewa heshima kabla game haijaanza na katikati ya game walipewa dakika 3 za kufungulia swaumu kwa wachezaji waliofunga Ramadhani!
Naona hata Uingereza wanafanya hil mpirani wanasimamisha mpira ili wachezaji waliofunga wafungulie.
Ni kuheshimu tu dini za wengine maana dunia hii ni yetu sote. Mimi huzima redio au Tv mara adhana ianzapo tuvumiliane tu na haya mapokeo ya kila upande.
 
Mambo mengine ruhusu yakupite.
Tujitahidi kujadili masuala yenye tija kwa taifa - kama uchumi na biashara, amani na umoja wa kitaifa, haki, demokrasia na uhuru wa kutoa maoni, na masuala kama hayo. Rais kama muumini wa dini ya kiislamu na kama kiongozi mkuu wa taifa letu amefanya uamuzi wa busara kusimamisha hotuba yake kwa muda.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sawa ni maoni yako! Ukumbuke hata uislam unakiri kuwa Yesu ndo atakuja kuhukumu ulimwengu! Sasa hapo wakumfata nani? Anayekueleza brabra za hadithi au atakayekuja kuhukumu? Wewe jiulize tu kujua uongo wa uislam ni pale unapoambiwa kule ahera kuna moto ya pombe na mabikira 70 wanaobadilika rangi mara elfu kwa siku! Hapo ujiongeze mwenyewe kama haumwabudu shetani mwenyewe anayejivika Umungu kwa kujificha kwenye vitabu wa torati za Mussa!
Moto wa pombe? Hii ndio naisikia kwako pili hakuna sehemu kwenye uislam inasema yesu atarudi kuhukumu mzee, kwenye uislam atarudi nabii sio mungu na huyo nabii akirudi haji kuhukumu
 
Mungu gani sasa hapo ndo shida! Au huyu huyu allah wa wenzetu? Sio kila neno Mungu linamaanisha wa kwako! Kila mtu anamungu wake! Allah mimi hanihusu hata kidogo!
Allah kiarabu, Mungu kiswahili. Hivi unadhani wakristo waliopo uarabuni Mungu wanatamkaje? Au unahisi wanamwita Jehova?
 
Tuvumiliane tu ndugu zangu. Tusipokuwa na uvumilivu wa kidini, tunaweza tukaanza kuchinjana kama kuku!
 
hongeren WATANZANIA, nimepitia comments nying hapa, watanzania na udini ukabila mbalmbl
 
Neno Mungu sio tija tija ni maana! Hata Mganga wa kienyeji anamungu wake! Usidanganyike ndugu! Sio kila neno Mungu linamaanisha Mungu wa Kweli! Hata wahindi wana Mungu Ng'ombe!
Allah kiarabu, Mungu kiswahili. Hivi unadhani wakristo waliopo uarabuni Mungu wanatamkaje? Au unahisi wanamwita Jehova?
 
Ni utamaduni wa kuheshimiana tu,na mwanzilishi wa hili ni Mh sana rais wa Kenya Mh Uhuru Kenyatta pale Dodoma kwenye kuapisha mwendazake kama sikosei 2020
No! Kwenye kuaga mwili wa mwendazake
 
Ni jambo la kawaida..lazima tuheshimu dini za wengine..Sio jambo geni ata Rais Kenyata kipind cha msiba wa Jpm alisimamisha hotuba pia
 
Neno Mungu sio tija tija ni maana! Hata Mganga wa kienyeji anamungu wake! Usidanganyike ndugu! Sio kila neno Mungu linamaanisha Mungu wa Kweli! Hata wahindi wana Mungu Ng'ombe!
Mkuu nakuuliza wakristo wa kiarabu na wapo uarabuni Mungu wanamwitaje
 
Si kila uzi ni lazima uchangie. Kwa upande wangu hiyo siyo habari.
 
Mkuu nakuuliza wakristo wa kiarabu na wapo uarabuni Mungu wanamwitaje
Wanaita Allah ila wakiwa na maana Mungu wa Ibrahim,Isaka na Mungu wa Israel! Sio huyo wa kwenu aliyemtokea Muhammad kwenye mapango!
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Mkuu una nongwa Sana, Marehemu JPM alikuwa akitoa hotuba zinazohusu taifa akiwa kanisani, wengine waliheshimu imani yake na cheo chake regardless wapi alipohutubia.
 
Tujitahidi kujadili masuala yenye tija kwa taifa - kama uchumi na biashara, amani na umoja wa kitaifa, haki, demokrasia na uhuru wa kutoa maoni, na masuala kama hayo. Rais kama muumini wa dini ya kiislamu na kama kiongozi mkuu wa taifa letu amefanya uamuzi wa busara kusimamisha hotuba yake kwa muda.
Kabisa mkuu
 
Hizo adhana huwa ni kupigiana makelele tu yasiyokua na mpango, kwani kuna asiyejua muda wa kusali?
 
Back
Top Bottom