Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Kama hapa anasema treni ya mpanda ilishakufa kumbe ipoWatu wanakwenda kwenye mikutano ya TundA Lisu kupoteza muda na kutizama Futuhi!
TundA ana vichekesho sana... Eti anawahutubia wakulima kuhusu tozo za mazao na wakati Magufuli alishazifuta tangu zamani za kale!
Sitaki kukuharibia siku, kwa taarifa tuu, Kuna association moja inafanya kazi overdrive. Mpaka 28th October, 2020 usishangae kwa matokeo yeyote.
,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
Kitatusaidia nini? Kina kazi gani?Mwambie TundA kwenye mkutano ujao aje na cheti cha darasa la saba.. Najua hana.. Labda aende kufoji.
Hebu usinipotezee mda na huo utumbo wakoPhD zinajionesha kwa vitendo.. Sio lazima ubebe makaratasi.. Wewe si unaona mshua ndani ya miaka minne keshaifikisha nchi kwenye uchumi wa kati... If Magufuli was not comming from Africa, he must have won Nobel Peace price on Economics by now!
Hata kipindi cha Lowassa mlisema zimechakachuliwa, sasa hivi za Lowassa zimekuwa 'original' kwenye 'feki' za Lissu!!Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Kinamaanisha ajiandae kupokea matokeo ya WAJUMBE kama walivyopokea wenzake kina PAULI
Maendeleo hayana vyama😃😃
Tuseme tu ukweli, hivi utaweza kuingia barabarani?Kwa mujibu wa Lissu , kutangaza matokeo yoyote kinyume na kura halali huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania , madikteta wote walioondolewa , kupinduliwa ama kukamatwa walikuwa na wapambe njaa kama wewe
Hiyo in ,analysis. Watu kuhudhuria mikutano ,ni kutaka 1.Kusikia Sera zake ,na si kumpigia kura.2.Wengine sana hamu ya kuona MTU mwenye vyuma mwilini.3.Si,wote wanaoudhuria watapiga kura ,wengine hawana kadi.Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.
Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.
Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.
Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
Wana vichaa haoHivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Jiwe hafai nakwambia!! Ndo mana hata kwao wamemkataa. Huyu jamaa ana roho mbaya haijawai tokea muulize yule mfanyabiashara wa Mwanza na Musoma Peter Zacharia aliyekuwa rafiki yake atakwambiaHata wazawa wenzake hawataki kupitia tena mateso waliyopitia kwa miaka mingine mitano, mitano imetosha ndugu kapumzike tunashukuru kwa machozi yote uliyotuliza.
Huu ujumbe mfikisbie Lisu Alie dai kuwa kuna umati mkubwa kwenye mikutano take hivyo yeye ni mshindi. Alafu beans take Amsterdam akashabikia huko TwitterHiyo in ,analysis. Watu kuhudhuria mikutano ,ni kutaka 1.Kusikia Sera zake ,na si kumpigia kura.2.Wengine sana hamu ya kuona MTU mwenye vyuma mwilini.3.Si,wote wanaoudhuria watapiga kura ,wengine hawana kadi.
Magufuli kutokana na kiburi hana uhusiano mzuri na watu wa geita kwa miaka na miaka , hawana time naye , ukitaka kuthibitisha hili rudi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2014 , vijiji vyote vya jimbo lake ikiwemo kijiji anachokaa yeye vilichukuliwa na Chadema , kumbuka hakuwa mbunge tu pia alikuwa waziriHivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Kuna majombo magu alishindwa 2015?Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Mkuu unaweza kurudia kusoma kwa makini ulichoandika?Huu unumbe mfikisbie Lisu Alie dai kuwa kuna umati mkubwa kwenye mikutano take hivyo yeye ni mshindi. Alafu beans take Amsterdam akashabikia huko Twitter
Hakuna mtu mshenzi Kama Peter Zakaria. Enzi za Kikwete Peter Zakaria alikuwa anaweza kuamrisha abiria wote kwenye basi lake wachapwe viboko na wakachapwa na mtu asiseme kitu.Jiwe hafai nakwambia!! Ndo mana hata kwao wamemkataa. Huyu jamaa ana roho mbaya haijawai tokea muulize yule mfanyabiashara wa Mwanza na Musoma Peter Zacharia aliyekuwa rafiki yake atakwambia
Ha ha ha wanatumia picha za lowassaTumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
AbeeeMama