Mkuu umekuwa mwaminifu kwa ahadi uliyoahidi kishuhudia...barikiwaLeo nilienda kuthibitisha hoja aliyopaswa aitoe Polepole(ajabu ikatolewa na mwenye mamlaka zaidi ya uenezaji propaganda) kuwa picha za upinzani ni za mwaka 2015, leo nimejuwa kuwa ni halisi.
Hiyo nyomi ya Geita, hata ile ya Lowasa 2015 haiingii. Vibe lote.
Kweli uchaguzi ukiwa huru, mjenga barabara anaweza kwenda kujenga ya kijijini kwake tu.
Jennga hoja tafadhali. Only fools wanafuatilia typosMkuu unaweza kurudia kusoma kwa makini ulichoandika?
Abeee
tunaomba jina la RPC wa hapoPana Taarifa zina sambaa kuwa Polisi wanapiga Watu Mabomu ya Machozi baada ya Fujo iliyozuka kwa kukutana wafuasi wa Chadema na CCM ,huko huko Geita.Mwenye Taarifa zaidi atujuze.
Mbeya ipi labda ya huko kwenu kusikojulikanaUmesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.
Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.
Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.
Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
NipooooUmepoteaa
Hata iwe mchana wao watarusha za Lowasa za mkutano alioufanya jioni jua linazama kuwa hizo ni za Leo mchanaHa ha ha wanatumia picha za lowassa
Haaahaaaa ila CCM bhana, yaani huwa mnajifanya confident ila ikifika 28 october mnaanza sarakasi. Kma mnajiamini hvi kwanni mnaogopa chaguzi huru na haki?Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Nipoooo
Only fools makes typosJennga hoja tafadhali. Only fools wanafuatilia typos
Hii tafakari italeta majibu soon, bado siku34 tuuHii ya Leo Geita, inatafakarisha mno, huko kwa jirani kuna taharuki kuu.
Sitaki kukuharibia siku, kwa taarifa tuu, Kuna association moja inafanya kazi overdrive. Mpaka 28th October, 2020 usishangae kwa matokeo yeyote.
Kwa **£*££ hawaendi wanaogopa kusikia matusiWatu wanakwenda kwenye mikutano ya TundA Lisu kupoteza muda na kutizama Futuhi!
TundA ana vichekesho sana... Eti anawahutubia wakulima kuhusu tozo za mazao na wakati Magufuli alishazifuta tangu zamani za kale!
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Nyie cha uraia hamnaMwambie TundA kwenye mkutano ujao aje na cheti cha darasa la saba.. Najua hana.. Labda aende kufoji.
Unatumia nguvu kubwa andika tu kwa herufi ndogoAKIPATA ATA DIWANI ATA MUMOJA HAPO GEITA, ATAKUA AMESHINDA UCHAGUZI MKUU.