Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Kuna watu baada ya oktoba watatelekeza id zao humu
 
Hiyo haitasaidia zaidi ya kumuongezea Lissu kura na umaarufu.


Na Wana Geita wengi niliowasikia mkutanoni, wana hasira za kila Jambo jema linapelekwa Chato ilihali Ni wilaya tu, makao ya mkoa yanaachwa hivyo hivyo. Sana sana mkoani kumejengwa kale ka-soko ka dhahabu, ambacho hakipo Geita pekee.
 
Endelea kukariri hivyo hivyo, wakati huu ni wakati muhimu kwa watanzania kuliko wakati wowote hakuna atakaye ib a kura wara kutangaza matokeo ya kub umba au ya kupika mm nipo kanda ya ziwa upepo uMEbadilika.
 
Wewe ni shoga ambae unaharisha muda wote,Lissu akutafutie nafasi akupeleke Ubelgiji.
 

Hizo picha za Karne ya 19 according to thesis ya Doctor Magufuli ya mwaka 1997.
 
"Kwa wasaniii wote wale kwa nn umati usiwe mkubwa " kazi tuwaachiee wajumbe wananchi
 
Mbumbu anayebisha aende YouTube aangalie mikutano yalissu nasio picha za humu Jf.
 
Wananchi wamechoka na udhalimu wa serikali iliyopo madarakani kwa miaka zaidi ya 50
 
wewe unatakiwa upimwe mkojo........................
 
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
You must be sick
 
Uchaguzi huu utakuwa na mishtuko mingi sana, kitu cha kujitayarisha ni vilio tutakavyo visikia. Kuna ambao weshaamua waraonewa
 
Achana na picha zilizochakatwa hizo picha ni Tundu akigombea ubunge miaka ya elfu mbili
 
Wewe ni shoga ambae unaharisha muda wote,Lissu akutafutie nafasi akupeleke Ubelgiji.

Sio ww tu umepanick, ni wanaccm wote wamepanick kuanzia mwenyekiti. Kabla ya Lisu kurejea ccm walikuwa wanatamba kwa tathmini za kupika, ilifikia mpaka mkawavika NCCR Mageuzi kilemba cha ukoka, kuwa watakuwa chama kikuu cha upinzani. Ww binafsi ni mtu uliyejifanya uko NCCR Mageuzi ili kuhadaa umma kuwa NCCR imerudi kwenye chart, lakini Mungu hamfichi mnafiki, hujawahi kuanzisha uzi wowote kuhusu NCCR, na sasa mmepoteana maana ukweli mliokuwa hamtaki ufahamike sasa uko wazi peupe. Ni hivi imeisha hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…