Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ikiwa kama tunataka kupima uwezo wa timu kujaza mashabiki kwenye kinachoitwa Yanga Day , basi ni vema tuache kujidanganya kutumia ujanja ujanja kama huu ambao yanga wanautumia.
Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi halisi wa Rhumba na mimi ni mpenzi wa kutupwa wa Koffi , sasa kwenye nchi ambayo uchumi umekufa kiasi cha mapromota kushindwa kuleta mwanamuziki yeyote kwa miaka 8 , halafu inatokea nafasi ya kucheza Rhumba la Koffi hatuwezi kuacha.
Kwahiyo hata mkiona siku yenu watu wamejaa sana mjue sisi wengine tutakuja kusakata Rhumba tu , msije mkadhani MNA WATU , ukweli ni kwamba hamna lolote , kama mnabisha muondoeni Koffi Olomide muwekeni Konde Boy halafu muone nani atakuja.
Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi halisi wa Rhumba na mimi ni mpenzi wa kutupwa wa Koffi , sasa kwenye nchi ambayo uchumi umekufa kiasi cha mapromota kushindwa kuleta mwanamuziki yeyote kwa miaka 8 , halafu inatokea nafasi ya kucheza Rhumba la Koffi hatuwezi kuacha.
Kwahiyo hata mkiona siku yenu watu wamejaa sana mjue sisi wengine tutakuja kusakata Rhumba tu , msije mkadhani MNA WATU , ukweli ni kwamba hamna lolote , kama mnabisha muondoeni Koffi Olomide muwekeni Konde Boy halafu muone nani atakuja.