Kitendo cha Yanga kumleta Koffi Olomide ni ujanja wa kujaza uwanja kwenye siku ya Wananchi, hawana watu wala nini

Hivi ile shoo ya Koffie kuna aliyeridhika kweli ?
 
Ndo maana ata sisi makoro koro fc tulimleta diamond asaidie kujaza uwanja msimu uliopita,,na tukamtaka ataje jina la bwana mwamed kwenye nyimbo kumpaisha na kunogesha tamasha hivyo ata hawa mabingwa wa kihistoria kumleta koffi ni jambo la kawaida na nyie mnaweza kumfata saida karoli akawasaidia kuwajaza watu uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…