Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
ANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?MTANGAZAJI maarufu nchini
Hana lolote. Ni Bongo tu nchi ya mahoka ndiyo mtu kama huyu mchumia tumbo eti anaitwa mtangazaji maarafuANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?
EXACTLY, NCHI YA WAJINGA KAMA HII ETI HUYU NI MTANGAZAJI MASHUHRI./..Hana lolote. Ni Bongo tu nchi ya mahoka ndiyo mtu kama huyu mchumia tumbo eti anaitwa mtangazaji maarafu
Mh, mbona unanitisha... hawezi waondoa? akiwaondoa watafanya nini ambacho kwa kutumia majeshi/polisi hawezi kukizima (kwa Imperial presidents wa Africa)Huyo sa100 kuna mawaziri hawezi wagusa kamwe hata waboronge vipi zaidi atawabadilishia wizara tena sio kwa kutaka yeye.
#MaendeleoHayanaChama
Huyu simtofautishi na Juma Bamia aliyetaka kuongeza miaka ya upresidaa kwa HayatiEXACTLY, NCHI YA WAJINGA KAMA HII ETI HUYU NI MTANGAZAJI MASHUHRI./..
Miongoni mwa watakaopitia mchujo huo wa kuteuliwa Mjumbe wa NEC ni Waziri wa Nishati, January Makamba.... CHANZO GAZETI MWANANCHIMwigulu & Makamba
Ni afisa kipenyoANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?
mostly likelyNi afisa kipenyo
Katumwa toka kule huyu...MTANGAZAJI maarufu nchini, Maulid Baraka Kitenge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama ikimpendeza kuwaondoa haraka kwenye Baraza la Mawaziri mawaziri waliotajwa kwenda nje ya nchi kusaka fedha kutaka kumuondoa 2025.
CHANZO: EFM uchambuzi wa Magazeti Oktoba 26,2022
sasa nani atagombea ?MTANGAZAJI maarufu nchini, Maulid Baraka Kitenge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama ikimpendeza kuwaondoa haraka kwenye Baraza la Mawaziri mawaziri waliotajwa kwenda nje ya nchi kusaka fedha kutaka kumuondoa 2025.
CHANZO: EFM uchambuzi wa Magazeti Oktoba 26,2022